Pre GE2025 January Makamba Mbunge wa Bumbuli (CCM), Bumbuli wanasema hivi

Pre GE2025 January Makamba Mbunge wa Bumbuli (CCM), Bumbuli wanasema hivi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Kwako mbunge wa Bumbuli January Makamba,

1. Uliwaahidi kuwatengenezea uwanja pale Toghotwe! Ukaishia kuuchimba uwanja ule bila kuumalizia hilo haliwezi kukuacha salama. Ni bora ungeuacha ulivyokuwa uwanja ule ingekusaidi. Wanawake Bumbuli uliwadanganya. Wao walikaa kimya wakijua ungetenda hukutenda. Hutabaki salama.

2. Bumbuli hawana maji japo wapo karibu na vyanzo vya maji watu wameongezeka vyanzo vilevile. Hutabaki salama kwa hili.

3. January barabara toka soni kwenda bumbuli ni mbovu na ya msimu. Uliadi kuijenga kiwango cha lami . Barabara hiiii mbovu hujaijenga uliwdanganya. Wazir bashungwabalikuja na kiwaamba ni ya kiwango cha cha changarawe na si lami. Ulifanganya? Tuseme ullikuwa hujui? Hujui vipi wewe ni Waziri na mjumbe wa baraza la Mawaziri?

Mbunge wa bumbuli unakuja bumbuli kwa million tena ya hafla, unawaza uraisi badala ya kiwaza jimbo liliokufikisha hapo?,twafa. Unajua matatizo ya maji yaliyopo mahezqngulu? Bila shaka hujui?,utajuaje unawaza urais! Uraisi wakati jimbo linakushinda?

Nani aliuza mashamba ya chai? Ulimuuzia MO Wa simba? Tunajua hata ulimuoa babra ili upate pesa ya kampenì toka kwa mo. Hutafanikiwa .

4. Kuhamishwa kwa halmashauri bumbuli to kwehangala,, ilikuaje hata ukakubali hali kule bumbuli majengo yale yakabaki magofu?

Tunajua kwann unapita bila kupingwa, tunapambana na weww mwakani. Tunajua kazi anazofanya katibu wa mbunge pale bumbuli.

Tutakuonesha

.
 
Atapita kwa goli la mkono,wagombea wengine fomu zao hazitapokelewa au zikipokelewa zitaharibiwa kwa kuwekewa vema vyumba vyote kwa maelezo hawajui kusoma au hawakujaza vizuri
 
Kwako mbunge wa Bumbuli January Makamba,

1. Uliwaahidi kuwatengenezea uwanja pale Toghotwe! Ukaishia kuuchimba uwanja ule bila kuumalizia hilo haliwezi kukuacha salama. Ni bora ungeuacha ulivyokuwa uwanja ule ingekusaidi. Wanawake Bumbuli uliwadanganya. Wao walikaa kimya wakijua ungetenda hukutenda. Hutabaki salama.

2. Bumbuli hawana maji japo wapo karibu na vyanzo vya maji watu wameongezeka vyanzo vilevile. Hutabaki salama kwa hili.

3. January barabara toka soni kwenda bumbuli ni mbovu na ya msimu. Uliadi kuijenga kiwango cha lami . Barabara hiiii mbovu hujaijenga uliwdanganya. Wazir bashungwabalikuja na kiwaamba ni ya kiwango cha cha changarawe na si lami. Ulifanganya? Tuseme ullikuwa hujui? Hujui vipi wewe ni Waziri na mjumbe wa baraza la Mawaziri?

Mbunge wa bumbuli unakuja bumbuli kwa million tena ya hafla, unawaza uraisi badala ya kiwaza jimbo liliokufikisha hapo?,twafa. Unajua matatizo ya maji yaliyopo mahezqngulu? Bila shaka hujui?,utajuaje unawaza urais! Uraisi wakati jimbo linakushinda?

Nani aliuza mashamba ya chai? Ulimuuzia MO Wa simba? Tunajua hata ulimuoa babra ili upate pesa ya kampenì toka kwa mo. Hutafanikiwa .

4. Kuhamishwa kwa halmashauri bumbuli to kwehangala,, ilikuaje hata ukakubali hali kule bumbuli majengo yale yakabaki magofu?

Tunajua kwann unapita bila kupingwa, tunapambana na weww mwakani. Tunajua kazi anazofanya katibu wa mbunge pale bumbuli.

Tutakuonesha

.
January ni wa kwetu Bukoba. Huko amekuja kupatia Ubunge tu. Kwanini ajihangaishe na maisha yenu? Kaka Paskali Mayalla wa humu JF huwa anahubiri sana kuhusu "Karma". Ninyi Wana Bumbuli mwaka 2010 mlimkataa Mzee William Shellukindo mkamkumbatia "Mhaya" January Makamba. Sasa karma inawala mnalalamika! Karma hainaGA mchezo mjue ninyi Wana Bumbuli maana hata Kaka Paskali Mayalla aliwasema vibaya Wabunge hadi akaitwa kwenye kamati yao ile na mwaka 2020 "ETI" akagombea Ubunge Kawe! Ahahahahaha! Karma haikumuacha SALAMA! Ahahahahaha!!!
 
Wapeni chadema watawaletea maendeleo makubwa kama hamumtaki January!, oneni maendeleo, hai, Arusha mjini kwa enzi zile!
 
4. Kuhamishwa kwa halmashauri bumbuli to kwehangala,, ilikuaje hata ukakubali hali kule bumbuli majengo yale yakabaki magofu?
Duh Kumbe? Bumbuli Mjini Pana historia KUBWA Sana kuliko kwehangala, sema Tu au basi
 
Wagosi tatizo mmelala sana ...
1722565694908.png

Hapo ndio bumbuli Mjini
 
Nimefika Bumbuli. January alipita Bumbuli nadhani Mara tatu. Ya kwanza kuiba Kira, ya pili kumuwekea mpinzani upinzani, ya tatu Ni hii juzi.
Huyu mtoto wa kihaya Ni very selfish Kama yule mnyakyusa rafiki yake.
 
Kwako mbunge wa Bumbuli January Makamba,

1. Uliwaahidi kuwatengenezea uwanja pale Toghotwe! Ukaishia kuuchimba uwanja ule bila kuumalizia hilo haliwezi kukuacha salama. Ni bora ungeuacha ulivyokuwa uwanja ule ingekusaidi. Wanawake Bumbuli uliwadanganya. Wao walikaa kimya wakijua ungetenda hukutenda. Hutabaki salama.

2. Bumbuli hawana maji japo wapo karibu na vyanzo vya maji watu wameongezeka vyanzo vilevile. Hutabaki salama kwa hili.

3. January barabara toka soni kwenda bumbuli ni mbovu na ya msimu. Uliadi kuijenga kiwango cha lami . Barabara hiiii mbovu hujaijenga uliwdanganya. Wazir bashungwabalikuja na kiwaamba ni ya kiwango cha cha changarawe na si lami. Ulifanganya? Tuseme ullikuwa hujui? Hujui vipi wewe ni Waziri na mjumbe wa baraza la Mawaziri?

Mbunge wa bumbuli unakuja bumbuli kwa million tena ya hafla, unawaza uraisi badala ya kiwaza jimbo liliokufikisha hapo?,twafa. Unajua matatizo ya maji yaliyopo mahezqngulu? Bila shaka hujui?,utajuaje unawaza urais! Uraisi wakati jimbo linakushinda?

Nani aliuza mashamba ya chai? Ulimuuzia MO Wa simba? Tunajua hata ulimuoa babra ili upate pesa ya kampenì toka kwa mo. Hutafanikiwa .

4. Kuhamishwa kwa halmashauri bumbuli to kwehangala,, ilikuaje hata ukakubali hali kule bumbuli majengo yale yakabaki magofu?

Tunajua kwann unapita bila kupingwa, tunapambana na weww mwakani. Tunajua kazi anazofanya katibu wa mbunge pale bumbuli.

Tutakuonesha

.
Duh... !, this is adding an insults to an injury!.
It's not fair, not now, ungesubiri subiri apoe, haiwezekani mtu amekutwa na yale badala ya kumfariji na kumpa pole, wewe unampelekea moto!
This is not fair at all.
P
 
Back
Top Bottom