Dude please.....yaani hiko kijamaa ni nazina kwa taifa? Ndio maana tumelosti sisi....khaaaaaaa
Wamesema hawaamini katika kujibizana na watu invisible!
Hebu acha hizo Mwafrika wa Kike. Unamjua January wewe? Kwa taarifa yako, hana skendo yoyote Minnesota au popote. Huo ni wivu wenu tu nyie mnaosota.
Hapa tunajadili kuhusu blogu yake, hayo mengine ni ya kwako
........ndiyohiyo
bora kule kuliko kule mwanakijiji.com
January, since you seem to be a linguist who cannot use his national language to blog, I am hereby supporting the fact that you have a serious scandal that is soon or later going to explode.
Mwafrika wa Kike might not be in position to credibly give the exact descriotion of the scandal, I will do so at my time of choosing.
All, I know is that, numerous times you have extracted some lines and quotes from other famous speeches without aknowledging the fact that you did so, and that may cost your job and reputation as someone who was never qualified anyway.
NY Times may not be enough.
unamanisha jamaa ni bingwa wa kukopi na kupaste au anadesa hotuba za watu?
unamanisha jamaa ni bingwa wa kukopi na kupaste au anadesa hotuba za watu?
Na vipi blogu ya yule ALIYEFOJI CHETI CHA KIDATO CHA NNE?Hivi dhambi kubwa kati ya hizo mbili ni ipi?Kutokwenda shule au kufoji cheti cha shule?Let's be honest,GT ukianzisha blog yako haitokuwa tofauti na ya January,na pengine "mbovu kuliko ya Mnyika" (according to your analysis).Unajua kwanini?Because you're TOO SUBJECTIVE.Unasema blog ya January ni bora kuliko mwanakijiji.com sio kwa vile huo ni ukweli bali ni kwa ajili ya hizo never ending beefs zako na Mwanakijiji.Ili uweze kuwa OBJECTIVE,you have to move beyond that.And if you do so,utagundua kuwa si kweli kwamba wote wanaomkosoa January ni WAPENZI (neno tata hilo) wa Mwanakijiji,Mbowe,na Chadema.hivi yule blogger wa CHADEMA bwana JJ MNYIKA alishakwenda shule au?
maana ile blog yake utafikiri anaandika kitabu
inatia uviu kuisoma
namuunga mkono January na najua hii yote ni CHADEMA kuleta woga usio na kichwa wala miguu
kazi kwenu
AL MUHIM tumpe support huyo JANUARY
Hebu acha hizo Mwafrika wa Kike. Unamjua January wewe? Kwa taarifa yako, hana skendo yoyote Minnesota au popote. Huo ni wivu wenu tu nyie mnaosota.
Hapa tunajadili kuhusu blogu yake, hayo mengine ni ya kwako
........ndiyohiyo
How did you know kwamba jamaa hana skendo?Unless you're January's nanihii!!!
Mlalahoi
Usipoteze muda kuuliza kupata ukweli. Hakuna kiumbe dhaifu kama January unless kuna watoto tofauti wa Makamba wanaoitwa January, if is the one I know. Let's forget about him...jamaa ni mapengo mzee hata akipewa meno ya bandia hang'ati mtu. Ni hiyo surname tu