Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Wanaliwa na system zao za kibwege plus roho za kimaskini kwenda shule na kurudi wezi.😂Ndivyo system ya sasa inavyofanya kazi ni ama ulambe asali ufunge mdomo au upambane na dola
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaliwa na system zao za kibwege plus roho za kimaskini kwenda shule na kurudi wezi.😂Ndivyo system ya sasa inavyofanya kazi ni ama ulambe asali ufunge mdomo au upambane na dola
Wafute ndoto zao kwa wananchi gani,hawa hawa wanaofanya uongozi kuwa mabishano ya Simba na Yanga ?Vijana mmeaminiwa na Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kwa kupewa uwaziri lakini mnachokifanya kwenye wizara zenu ni madudu tu. Hamjaonesha kuwa mko competent kuweza kugombea nafasi ya Urais hapo mbeleni.
i.
Ha ha ha,Wasijisumbue, Rais baada ya Samia ni Mwinyi na inaeleweka wao warudi kulima matunda, kulima korosho na kuchunga ng'ombe.
Kwa Wananchi mimi na wewe, na wengine wanaounga mkono mabadiliko.Wafute ndoto zao kwa wananchi gani,hawa hawa wanaofanya uongozi kuwa mabishano ya Simba na Yanga ?
Kabisa. Hata wakiongea jambo huoni kama wapo upande wa Wananchi wapo upande wa kujijali wao tu.Hakuna uzalendo kwa hao vijana ukiangalia hapo mwanzo tulikuwa na imani nao lkn hakuna kitu ni stomach sorrounder km wengine tu na wametokea familia nzuri wakati nchi nyingine unabaki kujenga nchi ulishaiba vya kitosha lkn wetu hapa ndio kwanza mpk mizizi wanachimba ila ipo siku
utendaji sio utendaji - wao wanamridhisha aliyewaweka! limits zinazingatiwa na kuwa bendera fwata upepo enough to impress their boss!Ukiona hawafukuzwi maana yake ni utendaji wao unamridhisha aliyewateua
Katiba Mpya itakapatikana muda si mrefu kwa hiyo hiyo ndoto yao ifeWakiamua kugombea urais hakuna mtz yyte WA kuzuia Hilo. Sio wewe sio Mimi Tanzania kama Kuna mwanasiasa umpendi dawa ni moja tu. KUMOMBEA AFE KIFO CHA GHAFLA vinginevyo tutabaki kufarijiana tu JF
Majaliwa muongo muongo Sana yuleMajaliwa, baadae Mwinyi.
Hao akina Mwinyi na Majaliwa kwani sasa hivi si wapo na ni viongozi wakubwa tu,lipi la maana wanalilifanya-na bado wote ni zao la system la akina Makamba & Mwigulu hata wakiwa leo Marais bado machaguo yao katika Uwaziri watakuwa hao haoMajaliwa, baadae Mwinyi.
Kabisa mkuu. Yaani wamekosa maarifa ya uongozi hawa watu. Wao wanapewa vifurushi kupitia kodi zetu, kodi zetu ndizo zinafanya wafanye maamuzi ya hovyo.Katika Jambo Magufuli alijatibu kufanya lenye manufaa ni kuondoa mizizi yote ya wanajiona kama Icon katika Nchi-bahati mbaya baada ya kufariki wamerudi wale wale.
Mkuu hawa hawawezi kuwa viongozi wa Nchi hii. Mmojawapo ikitokea akawa Rais, basi tambua kuwa hii Nchi itaenda mramaJikoni wakiamua watakuwa
Hawa uliowataja, ninadhani sisi raia kuwataja kila mara na bila ya Rais kuwaondoa kwa madhaifu yao ya wazi, anawaunga mkono.Vijana mmeaminiwa na Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania kwa kupewa uwaziri lakini mnachokifanya kwenye wizara zenu ni madudu tu. Hamjaonesha kuwa mko competent kuweza kugombea nafasi ya Urais hapo mbeleni.
Mwigulu Nchemba umeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi badala yake umeweka tozo kubwa na Wananchi ndiyo wanaoumia.
Nape Nnauye umeshindwa kudhibiti mitandao ya simu inajipandishia tu gharama za vifurushi. Hebu fikiria ndani ya mwaka huu mitandao ya simu imebadilisha vifurushi na kupandisha gharama za vifurushi zaidi ya mara tatu mfululizo.
Mwaka jana tu, tumenunua vifurushi GB 1 kwa TZS 1000 na 1500, lakini tangu tuanze mwaka huu mpaka sasa hivi vifurushi TZS 3000. Hivi kweli umeshindwa kudhibiti mitandao ya simu isiwe inapandisha gharama kiholela pasipo utaratibu maalumu? Watu wengi siku hizi wanafanya biashara kwa kutumia mtandao wa intaneti, sasa mnapopandisha gharama kiholela hamuoni kama mnazidi kuongeza ukali wa maisha kwa Wananchi?
January Makamba umeshindwa kutafuta majibu ya nishati hapa Nchini. Kila siku umeme unakatika na kuwa wa mgao. Sababu mnazotoa ni kuwa maji machache. Hivi kweli sisi tunategemea maji pekee kuzalisha umeme? Hivi sisi si tuna gesi nyingi tu? Hivi sisi si tuna maeneo mengi yenye upepo wa kutosha? Hivi sisi si tuna makaa ya mawe mengi tu? Kama ni ndiyo hizo sababu za visingizio zinatoka wapi?
Mbona kipindi cha Magufuli umeme ulikuwa haukatikati kila siku kama sasa hivi? Kuna hujuma mnafanya nyie. Huwezi kutoka waziri na kutoa sababu ya kwamba umeme ni wa mgao kwa sababu ya upungufu wa maji wakati tuna njia nyingi za kupata umeme.
Linakuja suala la maji. Hivi kweli sisi ni wa kuwa na mgao wa maji wakati tumezungukwa na maji kila kona? Hapa Dar ES Salaam tumezungukwa na bahari, lakini mmeshindwa kutengeneza mifumo bora ya kupata maji?
Mpaka sasa ni dhahiri kwamba CCM imeshindwa kwa kila kitu. Haiwezekani kama CCM ipo, inaruhusu mambo ya hovyo kama haya yaendelee kutokea.
CCM na nyie vijana niliowataja hapo juu tutawahukumu hapo mbeleni kwa uzembe mnaoendelea kuonesha sasa hivi kwenye uongozi wenu.
Mwendo huu mnao enda nao, endeleeni kwenda nao mpaka mwaka 2025. Natoka mimi.
Aweza kuwa Rais mzuri sana kwa jinsi anavyotawala Unguja, kaonesha njia.Akitoka SSH 2030 kijiti anapokea Mwinyi.