January Makamba ndiye Barak Obama wa TZ

January Makamba ndiye Barak Obama wa TZ

waliosoma nae forest hill wanasema alikuwa kilaza wa kwanza!.yey ni wanawake tuu,hana lolote huyo parpet wa mafisadi.
 
AKIHUTUBIA BUNGE KWA MARA YA KWANZA ALIJITAMBULISHA KAMA MTU ANAYEFUATA NYAYO ZA OBAMA ,ANASEMA NIMEKAA KWA MUDA BILA KUZUNGUMZA NIKIJIULIZA NIMEFIKAJE HUMU,NA KISHA NIKA KAA KIMYA TENA KUJIULIZA HAWA WATU WOTE WAMEFIKAJE HUKU??

HIZI NI KAULI ZILIZOWAHI KUTUMIWA NA OBAMA WAKATI ALIPOCHAGULIWA KWA MARA YA KWANZA KUWA SENETA WA ILLINOUS

SASA MAKAMBA AMEKUWA AKIJITAMBULISHA KAMA OBAMA KWA SABABU YA MAIGIZO HAYO

huyu ni fisadi tuu na ni mtoto wa kilaza hawezi kuwa kama Great Thinker BARAK OBAMA

Tena ni maigizo ya kijinga kwa sababu hana ufanano hata kidogo na huyu Genius anayejaribu kujitambulisha naye. Obama alisukumwa na dhamira na wito wa uongozi kwa manufaa ya wamarekani. Huyu bwana mdogo ni kifaa cha kazi cha waliomtuma na ni mateka na zao la ufisadi. kwa kumtizama na kumsikiliza baba yake unaweza kueleza yeye ni mtu wa namna gani. Atupishe!
 
AKIHUTUBIA BUNGE KWA MARA YA KWANZA ALIJITAMBULISHA KAMA MTU ANAYEFUATA NYAYO ZA OBAMA ,ANASEMA NIMEKAA KWA MUDA BILA KUZUNGUMZA NIKIJIULIZA NIMEFIKAJE HUMU,NA KISHA NIKA KAA KIMYA TENA KUJIULIZA HAWA WATU WOTE WAMEFIKAJE HUKU??

HIZI NI KAULI ZILIZOWAHI KUTUMIWA NA OBAMA WAKATI ALIPOCHAGULIWA KWA MARA YA KWANZA KUWA SENETA WA ILLINOUS

SASA MAKAMBA AMEKUWA AKIJITAMBULISHA KAMA OBAMA KWA SABABU YA MAIGIZO HAYO

huyu ni fisadi tuu na ni mtoto wa kilaza hawezi kuwa kama Great Thinker BARAK OBAMA

Huyu January na Dadake Mwamvita wangekuwa ni watu wenye akili wangenyamaza. wanajitangaza mno, wakati kichwani hawana lolote.... vimeo tu. Wangekuwa Raia wa kawaida unadhani wangesikika, ni kwa sababu watoto wa makamba.

January asijifananishe na Obama, huyu mtu ZERO kichwani, hamuoni speeches za kikwete zilivokuwaga Bomu?
 
Kuna masikitiko makubwa sana kwa mtanzania anakuwa na fikira maskini na weak kama hizi kuona January ni Obama. Upeo mdogo kama huu ndio chanzo cha ujinga wa asilimia ndogo ya kufungua kope za macho yake. Lakini mimi si mlaumu sana kwani Watanzania wengi swala leadership bado swala gumu kwao. Kama January anaonekana hivyo, Baba yake makame ni nani kwa watanzania (Suge Night)? Kwa upende wangu January ni kama mtoto wa Gaddafi.
 
NAFIKIRI DOGO ANATAFUTA UMAARUFU WA GHAFLA KAMA DADA YAKE NA SIDHANI KAMA HUU UMAARUFU UTADUMU SANA KWANI KUNA DALILI ZA RUSHWA KWENYE KAMATI YAKE NA WATANZANIA WA LEO WAKO MACHO ILE MBAYA WATAMUUMBUA TUU

siamini kama CCM kuna mtu kama OBAMA
 
Akiwezeshwa anaweza. Mi nadhani nina imani naye.
Mkuu achana na kibaraka huyo!!!!! Mkakati wa CDM utamlipua tuu, hafai kabisa, naomba tufatilie mwenendo mzima wa sakata la Richmond & Dowans.!!!!! WATCH OUT!!!!!!!!!!Jamaa anafurukuta kurudisha kichwa kwenye reli, kimeteleza, chunga fisadi huyu!!!!!!!!!
 
AKIHUTUBIA BUNGE KWA MARA YA KWANZA ALIJITAMBULISHA KAMA MTU ANAYEFUATA NYAYO ZA OBAMA ,ANASEMA NIMEKAA KWA MUDA BILA KUZUNGUMZA NIKIJIULIZA NIMEFIKAJE HUMU,NA KISHA NIKA KAA KIMYA TENA KUJIULIZA HAWA WATU WOTE WAMEFIKAJE HUKU??

HIZI NI KAULI ZILIZOWAHI KUTUMIWA NA OBAMA WAKATI ALIPOCHAGULIWA KWA MARA YA KWANZA KUWA SENETA WA ILLINOUS

SASA MAKAMBA AMEKUWA AKIJITAMBULISHA KAMA OBAMA KWA SABABU YA MAIGIZO HAYO

huyu ni fisadi tuu na ni mtoto wa kilaza hawezi kuwa kama Great Thinker BARAK OBAMA

huyu ni kuku wa kienyeji kutoka milima ya usambaa.

dunia ni kijiji sasahivi. juzi ghaddafi kawaita raia wake mende hata mwanangu wa miaka miwili anafahamu. usije ukanukuu kauli ukadhani wewe ni wa kwanza na mwisho kuisikia.
 
HII SREAD Y SIASA MKUU MBONA UMEILETA HUKU?? au
 
Mi nadhani pamoja na mambo yote yaliyotokea kisiasa na kiuchumi kati ya Rostam, Richmond, Mzee Shellukindo ( ambae nae hakuwasaidia jimbo lake kwa namna yoyote inayostahili kuwa mfano wa mbunge bora, japokuwa kazi yake katika tume ilikua nzuri...) kuna haja ya kumpa nafasi huyu jamaa tuone atafika wapi na u-OBAMA wake. Kuna aina fulani ya viongozi ambao wanajua 'ku-flirt' na media (Obama, Cameron et al.) huyu jamaa nataka kufwata nyayo zao kisiasa.. Lakini je? Atatumiaje nafasi hizo baada ya kuwatongoza watanzania na utashi na mienendo yaki-obama obama? Mi nadhani mpaka sasa bado anafasi nzuri yakupata anachotaka.. (kwa mtazamo wangu ni nguvu zakisiasa..na nafasi za juu za uongozi). Lakini vilevile ananafasi nzuri ya kutumia fursa hiyo kuleta aina mpya ya siasa katika Tanzania na Africa kwa ujumla, anafursa yakuwa A great Statesman, kama ataweza kuona zaidi ya kujitajirisha na kujitoa yeye na washirika wake kama ilivyo desturi katika Africa hii.

In other words, can January Makamba escape the trappings of power and resist the temtations which have caught most post-WWII African leaders in the modern era. If he can do this, and I hope atasoma hapa japokuwa naamini anajua vizuri kuhusu haya, basi Tanzania na Africa inaweza kupata matumaini kuwa inawezekana tukawa na viongozi waadilifu. Ukweli ni kwamba CHADEMA ambao kwa sasa wanabeba matumaini ya watu wengi waliopata muamko huu mpya wameonyesha dalili mbili tatu ambazo zinatisha kidogo... Uteuzi wa watu ambao ni mke wa fulani au dadsa wa fulani...haionyeshi strong internal democracy and this is an indication of what is to come under a government led by such a party...Could the Gaddafi-Mubarak-Ali-Museveni-Mugabe-CCM sydrome be a universal pandemic in an African sense? I await evidence to disprove this hypothesis with great anticipation. Chadema has so far failed to provide any assurances of such things never happening again, along with NCCR, TLP, CUF! When will we see internal democracy in these parties?? Ingependeza kuona mfano mzuri kutoka kwa viongozi wapya wa karne hii, kama kina J.Makamba nk.

Time will tell....


KK

Wewe nawe pumba tupu, au ndiyo January mwenyewe! Ambacho hujakielewa kilichoandikwa na wadau wengine hapo juu ni nini? Rostam ni fisadi, ndiyo huyo huyo anayetuchanganya, nchi nzima anaichanganya yeye tu, kuanzia Richmondi, Dowans na adhma yao ya kung'arisha nyota ya Lowasa ili 2015 awe Rais. Ndiyo huyo huyo aliyemchagua Makinda, aliyechagua wenyeviti wa kamati zote za Bunge! Huyo January anatekeleza anayotumwa na Rostam! Tumpe chance ya nini tena, wakati anaonekana kabisa yuko kazini pamoja na Ali Hadaiwi (Anayesemekana ndiye mmiliki wa Dowans) kuhakikisha Tanesco inaingia mkataba na Dowans, kuhakikisha wanahujumu uchumi. Napenda kumwambia January, mwisho wa miaka hiyo 5 ndiyo mwisho wake, ubunge haupati ng'o. Na siasa za kifalme hapa kwetu zishindwe kwa jina la Yesu. Kwa sababu baba alikuwa katibu na yuko kwenye mtandao basi mtoto lazima awe mbunge! Kama yeye ni mwanaume, au kiongozi kweli kama mtoa mada hapo anayedai kwamba tumpe chance, angepata huo ubunge hata hiyo nyadhifa ya kuwa muandishi wa Rais, kwa credit zake, na siyo kwa kubebwa na mafisadi. Nadhani Januari umenipata, huna sifa, huna lolote, unalosema ni la Rostam ambaye anawaweka mjini. Rostam ananiudhi, yeye na mtandao wake kutuchezea akili sisi sooote mpaka maisha yanakuwa magumu hivi! Mimi naomba kwa Mungu huyu Rostam AFE atuachie nchi yetu, kwa jinsi gani atakufa namuachia Mungu. Wakuu kama nimeenda kinyume cha sheria za hapa mnipige ban tu, nimechoka na hawa jamaa
 
Hana lolote la maana, yaani Dowans ambayo hata mtoto wa miaka 5 hataki kuisikia, yeye anaifagilia!!!!
 
Aiese we january, hivi kale ka tabia ka kukata urabu mpaka unakata network umeacha?, maana enzi zile pale kona ya shaaban robert/garden kwa Eutropia ulikuwa huwezi kurudi home mpaka grocery ifungwe na mpaka siku nyingine unapelekwa nyumbani na walinzi, angalia isijeikawa walinani hii jicho................
 
Back
Top Bottom