King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hiyo nafasi ni nzito sana kwake sidhani kama anaiweza na kuimudi hata kidogo....Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?
Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.
Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.
Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.
Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Sasa tunakutana na ukweli ule ukweli unatuumiza mpaka kichefu chefu. Siasa za kudanganyika wanyongwaji hazipo tena.Alikuwa muongo sana,huu ndio ukweli.
Kweni Msambaa kuwa Waziri kuna shida gani?Ukiangalia ni kama vile Sukuma gang, limeumia sana, Ma-rope kuwa waziri, lazima kitendo cha kutolewa yule mchato uwaziri wa Nishati kimewatingish
Acheni Ukabila Nchi ilisha washindaSasa tunakutana na ukweli ule ukweli unatuumiza mpaka kichefu chefu. Siasa za kudanganyika wanyongwaji hazipo tena.
Ukiangalia ni kama vile Sukuma gang, limeumia sana, Ma-rope kuwa waziri, lazima kitendo cha kutolewa yule mchato uwaziri wa Nishati kimewatingisha.
Everyday is Saturday................................😎
Ni kwel kabisaaaKama hili ni kweli basi..watanzania tumetekwaa.
Wewe unaongea kama afisa wa tanesco. Sisi walalahoi tulimuelewa Kalemani.Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Aangalie wapi, mhujumu ni yeye mwenyewe, tumechoka na excuses za kipuuziKweni Msambaa kuwa Waziri kuna shida gani?
Hii Tanzania ni yetu sote, January aangalie watu wanaohujumu Shirika la Ugavi, awape onyo au ikibidi warudishe Kitaa wawe Machinga.
Kiuhalisia kuunganishiwa umeme iwe bure kabisa kwasababu unalipia huduma na tozo kibao kila ukinunua tokenKiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Aangalie wapi, mhujumu ni yeye mwenyewe, tumechoka na excuses za kipuuzi
😂😂😂😂sawa sawa.....Makamba ni mchapa kazi.
Je unajuwa Tanesco wanaigiza Trilioni kwa Mwaka, kuwapa wateja kuuganishwa umeme kwa Tsh 27,000 ni sawa na Coca Cola kutoa bure fridge ili vinjwaji viuzwe.Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/-
Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Bhangi,hazijawahi kumwacha mtu salama,pole sana kwa matatizo hayo,Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/-
Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo