Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Huyu makambako hamna kitu kabisa.
Sasa hivi umeme unakatika katika kichizi, kwani mwanzo walikua wanafanyaje umeme haukatiki hovyo na sasa ni kipi kimetokea tena??
Sasa hivi umeme unakatika katika kichizi, kwani mwanzo walikua wanafanyaje umeme haukatiki hovyo na sasa ni kipi kimetokea tena??