January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

Nguzo zitaletwa toka nje kama zama zile,, Kalemani alipiga stop wamemtoa wakati miti iko kibao huko Njombe
Makamba ni link kati ya wapigaji na wahujumu na serikali na ndiyo kazi aliyoletewa hapo na hiyo wizara mnaijua siyo ya kumuweka mzalendo,,, Habari za daraja la Kigongo Busisi mnazo?????? hatusemi,,,,hakuna pesaaaa na kazi siyo day and night tena
Nadhani wanatengeneza huu uhaba feki ili ionekane njombe nguzo zimeisha, kwahiyo mtu wao wa huko South Africa atapewa dili la kuagiza nguoz ili kuondoa uhaba, Makambako sijawahi kumwamini yule fisadi wa mifuko ya plastiki
 
Huo ni uongo, manguzo yamejaa kila mahali, kama Kinyerezi kule zimejaa hata pakuyaweka hamna
Pigia mameneja wa tanesco wafuatao waulize kama wanazo nguzo na meta 1. 0784-422884
2. 0784-390625
3. 0682-304430
Wakikuambia zipo ingia in box nakupatia 1, 000,000 Tsh
 
Huyu makamba ni tatizo toka awekwe hapo kila siku kelel ni yeye tu sio bure ana utaka u raisi

SUBIRI KIDOGO
Autake mara ngapi? Akat ndo yupo ktk mkakati. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
wateja wanasubiri mita za umeme tangu mwezi July hadi leo, hata dalili za upatikanaji hazipo, kweli hili ni tatizo kubwa sana unajiuliza hivi Tanesco wanafanya biashara ama Huduma ? kwenye hili Makamba sikutetei una kesi ya kujibu.
Mkome!
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Sikia bwanamdogo!

Kuna watu wamelipia kwa garama za 350,000 na bado hawapati umeme!
 
Genge la wahuni na wapigaji limerudi kwa speed ya mwanga. Nguzo zitatoka SA ili muendelee kupiga. Fvck!
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
We kweli maqu, ruzuku ya serikali si inafidia kufukia hiyo 150000
 
We kweli maqu, ruzuku ya serikali si inafidia kufukia hiyo 150000
sijui imekuwaje huko hazina maana kama ni hiyo ruzuku ya serikali unayosema basi haijaenda huko toka july kufidia ili ziletwe!!
 
Gharama za kufunga umeme ni zaid ya sh 200000/ magu akaleta siasa eti 27000/ sasa shirika linazama!!!
 
RUSHWA NI ADUI WA MAENDELEO.........leo hii maendeleo yako binafsi bila kuyatolea rushwa...umekwama hakika
 
Back
Top Bottom