Aaronrweumbiza
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 577
- 711
Bilioni 70 za kuwalipa Management ya kukodi ya wahindi zinatoka wapi pale Tanesco. Kwa kweli Tanzania Tunapigwa.Lazima wasubiri kwani ni vigumu shirika kununua vifaa kwa gharama ya zaidi ya tzs 150,000 halafu ufungie mteja kwa tzs 27,000/- kalagabaho
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app