January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

Lazima wasubiri kwani ni vigumu shirika kununua vifaa kwa gharama ya zaidi ya tzs 150,000 halafu ufungie mteja kwa tzs 27,000/- kalagabaho
Bilioni 70 za kuwalipa Management ya kukodi ya wahindi zinatoka wapi pale Tanesco. Kwa kweli Tanzania Tunapigwa.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Tanesco wanatengeneza mazingira ya kupiga hela ,mita Tanesco zipo.
 
Siyo kwamba TANESCO hawana nguzo na mita nchi nzima ila mahitaji ni makubwa mno wanashindwa kuhimili kwa wakati
 
Utawala wa kishenzi wa Magu umeleta matokeo mabaya sana. Tumerudi nyuma miaka 20. Haya ya leo ni matokeo.
Mbona sikuelewi rafiki wakati wa Magu wateja waliunganishiwa umeme kwa shilingi 27,000 tu na nguzo zilikuwepo, mita zilikuwepo na vijiji vingi vina umeme. Kwa makamba Hali ni tofauti.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo

Ilikuwaje ikawezekana
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Tuache kuwatisha watu lawama. Rais MagufuliJP alisema watu wa vijijini tu ndo umeme 27000. Mama alipofika pale bungeni alisema nchi nzima umeme 27,000 kasoro Dar es Salaam tu. Wala hakuwa kelemani. Mbona mnapenda kuhamisha matatizo ndugu zanguni dah. Tuache chuki basi.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Ndio siasa ilitufikisha huko mkuu, hiyo gharama ya tzs 27,00 ni siasa tupu na uhalisia haupo hivyo na tanesco wanashindwa kutekeleza
Huelewi hata ALU kwa bei ya kawaida ni Tsh 12000 lakini serikali inauza maximu 2000 kwanini serikali inafanya top up kwaajili ya kurahisisha maisha kwa watu wake. So kusema kuingiza umeme ni 27,000 haimaanishi kuwa tanesco wanalipwa hiyo inamaana kuna ruzuku kutoka serikalini zinatolewa ili kucover hiyo deficit. Ila hatutaki kuelewa. Mbona kipindi cha MagufuliJP yalikuwa yanawezekana tu na walikuwa wanatoa hadi gawiwo?? Nini kinashindikana leo

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Acha ukilaza, hilo ni shirika la uma na linapata luzuku toka seriakalini hivyo kiasi flan kilikuwa kinafidiwa na kodi za wananchi
 
Mimi niko kwenye foleni toka mwezi wa nane nasubiria mita ya 3 phase nikiwauliza wananiambia hawajui zitakuja lini
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Mnaacha kutatua matatizo mnaleta lawama kwa wengine!
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Mita hakuna,nguzo hakuna ila wanatia $30m kuweka mifumo ya blah blah smh!
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Huo ni uongo, manguzo yamejaa kila mahali, kama Kinyerezi kule zimejaa hata pakuyaweka hamna
 
Utawala wa kishenzi wa Magu umeleta matokeo mabaya sana. Tumerudi nyuma miaka 20. Haya ya leo ni matokeo.
Wezi, wala rushwa, mafisadi ndiyo wanaomtukana mwana Mwema wa Africa. Ila Wapenda haki masikini na wanyonge tunamkubali
 
Back
Top Bottom