January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

January Makamba, Tanesco Hakuna nguzo wala meta kwa wateja wapya nchi nzima , habari hizi unazo?

Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Nguzo zipo bali tanesco hawana fedha na wamekatazwa kuchukua nguzo bila kuzilipia

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
Tulipowambia ukiua demokrasia unajichimbia kaburi la umaskini

Jiwe ameturudisha nyuma kama nchi miaka 20 nyuma.
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
Kama shida ni kalemani kwanini January asipeleke mswaada wa dharura bunheni kupandisha bei ya sh laki 1na nusu ili tuone kama mtakaa kwwnye hivyo viti.PROGRAMME YA rEa vijijina na pembezoni mwa mwiji ni 27000 na wakati wa magufuri rea imefanya kazi nzuri sana kwanini sasa mndanganya watanzania?Tizi zinafanya nini?
 
Samia atakwamishwa kwa kupenda kulipa fadhila.
Huyu makamba hafai.
kwanza ana laana ya marehemu.
 
Kiuhalisia hii Wizara imezamishwa na Kalemani, alipolazimisha gharama ya kuunganisha umeme tzs 27,000/- wakati akijua fika gharama za vifaa husika ni zaidi ya tzs 150,000/- Hii ilikuwa hujuma kwa shirika LA Tanesco na kama yasemwayo ni kweli nilitegemea lazima iwe hivyo
kalemani alikuwa anatoa wapi hela?
 
Makamba again...hahahahah

Hapa inaonekana sasa ni vita binafsi kwa Makamba naye akianza kurudisha mashambulizi nchi itakuwa kwenye mpambano wa gangs za urais 2025....Makamba tuliza akili stick to your lane utaangushwa mapema usipokuwa mtulivu..
 
Lazima wasubiri kwani ni vigumu shirika kununua vifaa kwa gharama ya zaidi ya tzs 150,000 halafu ufungie mteja kwa tzs 27,000/- kalagabaho
Kwani watanzania wote wamefungiwa kwa gharama hyo .au ule mradi maalum wa umeme vijijini wa Rea?
 
TANESCO wenyewe ni wazembe sana wanasubiri majanga ndipo waact. Kuna sehemu nguzo imeinama na kaupepo kakivuma kidogo ile nguzo inanesanesa na mbaya zaidi ipo katikati ya makazi. Najaribu kuwaza siku ile nguzo ikianguka madhara yake ynaweza kua zaidi ya ile ajali ya morogoro. Taarifa imeshatolewa lakini hakuna jitihada zozote.
 
Kwa masikitiko makubwa sana Tanesco nchi nzima hakuna nguzo wala mita kwa wateja wapya. Tatizo ni nini?

Cha kushangaza na kufurahisha mteja mpya akishapimiwa umeme kama line yake inahitaji nguzo mteja haruhusiwi kulipia wala hapewi control number.

Kalemani alikuwa anapata wapi nguzo na mita? Mameneja wa Tanesco mikoa na wilaya nchi nzima wamepigwa marufuku kutoa namba za kulipia line mpya inayohitaji nguzo.

Je, hali hii itaendelea hadi lini? Makamba watanzania wanakuangalia na wanajuta awamu sita inakoelekea na umezidisha maneno kuliko matendo.

Toa taarifa kwa vyombo vya umma na vyombo vya habari kuelezea hali halisi ya Tanesco na ni nini wateja wapya wanachotakiwa kufanya au wasubiri hadi lini wawese kulipia umeme.
 
Mie nime omba kuungiwa umeme mwaka mzima umepita sasa nikisubiria
 
Ni heri waseme kuunganishiwa umeme 150,000 kuliko kuzungusha wananchi Arusha nguzo zimewekwa tangu July hadi sasa Nov wala hatujui waya wataleta lini.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom