January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

January Makamba, uliteuliwa ili usimamie ukatwaji wa umeme?

Sijui ni jambo gani huwa anamwambia mkuu naye anamuamini

Maana umeme unakatika kila mara na mkuu haonekani kuguswa kabisa na hali hii.
Mkuu tangu uwekewe vipande vya chupa kwenye msosi umekuwa mpoleeeee hata dhihaka kwa Chadema, Bavicha na mwamba Mbowe huzitoi tena. Umejichimbia zako huko Longido ndani ndani.

Vipi Sasa lami kuwekwa kutoka Sanya juu hadi Longido? Tuondoe tofauti na itikadi zetu tupaze sauti Maza labda atatusikia.
 
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?

Kuteuliwa kea January Makamba kuongoza Wizara ya Nishati na mara baada ya uteuzi wake kuivunja Bodi ya Tanesco na kuisimika nyingine ikiongozwa na ISSA; ni mkakati wa makusudi wa kutaka kupata sababu za kuanza kuivunja TANESCO kuwa mashirika matatu yanayojitegemea ya GENERATION, TRANSMISSION na DISTRIBUTION halafu baada ya hapo yauzwe!!

Kumbukeni kuwa huyo Mwenyekiti wa sasa wa TANESCO ndio alikuwa dalali wa kuliuza shirika la Simu [TTCL] hivyo uteuzi wake ni wa malengo!!
 
Watz wengi wamejaa ujinga vichwani mwao, utayasikia yakisema mama anaupiga mwingi, anaupiga mwingi kwa kutuletea majina badala ya watendaji,haya huyo January anafanya nini hapo,kuna yule mama wa foreign Mulamula hana lolote, kuna Mchengerwa anasema uongo kila siku eti watumishi watalipwa malimbikizo kabla ya christmas hakuna aliyelipwa anazunguka nchi analipwa pesa anaongea uongouongo tu.Ametutolea jembe Kalemani akatuletea wahuni masela wapiga dili tu,wakate umeme mazima sasa ovyo kabisa.
 
Kuteuliwa kea January Makamba kuongoza Wizara ya Nishati na mara baada ya uteuzi wake kuivunja Bodi ya Tanesco na kuisimika nyingine ikiongozwa na ISSA; ni mkakati wa makusudi wa kutaka kupata sababu za kuanza kuivunja TANESCO kuwa mashirika matatu yanayojitegemea ya GENERATION, TRANSMISSION na DISTRIBUTION halafu baada ya halo yauzwe!!

Kumbukeni kuwa huyo Mwenyekiti wa sasa wa TANESCO ndio alikuwa dalali wa kuliuza shirika la Simu [TTCL] hivyo uteuzi wake ni wa malengo!!
Duuh udalali tena??

Imekula kwetu.
 
Kukatika umeme kunatokana na umasikini wa nchi yako na si vinginevyo. Fanya utafiti utaelewa.
Umasikini sio point hapa, kwasababu hata kipindi cha Magufuli umasikini ulikuwepo na hakukuwa na tatizo la kukatika kwa umeme hovyo hovyo kama hivi leo. Tatizo ni management inagoongozwa na January kama Waziri wa nishati.

Waziri ameonesha dhahiri kushindwa kusimamia hii wizara kinachoshangaza mamlaka ya uteuzi iko kimya juu yake. Hii inaleta maswali mengi sana;

Je hicho kinachofanyika sasa hivi ndio hasa alitumwa kufanya na mteule wake?

Je mamlaka imekaa kimya kwasababu haijui kinachoendelea?

Au Waziri ni mmoja wa wenye chama kama anavyosema Nape kwamba Chama kimerudi kwa wenyewe?
 
Watz wengi wamejaa ujinga vichwani mwao, utayasikia yakisema mama anaupiga mwingi, anaupiga mwingi kwa kutuletea majina badala ya watendaji,haya huyo January anafanya nini hapo,kuna yule mama wa foreign Mulamula hana lolote, kuna Mchengerwa anasema uongo kila siku eti watumishi watalipwa malimbikizo kabla ya christmas hakuna aliyelipwa anazunguka nchi analipwa pesa anaongea uongouongo tu.Ametutolea jembe Kalemani akatuletea wahuni masela wapiga dili tu,wakate umeme mazima sasa ovyo kabisa.
Yulr wa foreign ndio hata kusoma hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni matapeli tuu na madalali wa wqzungu
 
January kaletwa hapo na Samia ili watengeneze njia ya kuleta uwekezaji wa kipigaji na ndiyo kinachofanyika angalia Viongozi na watendaji wote wabobezi wa hiyo fani tokea bodi mkurugenzi na waziri wote ni wabobezi some with geniune PhDs wameondolewa na Samia bila sababu ni kupisha njia ya uupigaj

Kipindi cha JPM umeme ukikatika kwa masaa mawili mtu anatumbuliwa either na rais au waziri mkasema JPM ni dikteta,, hakukuwa na mgao wala kukatika kwa zaidi ya masaa mawili Utendaji kazi na Uwizi na Upigaji wa mtz unahitaji kiongozi makini kama the late JPM

Vumilieni ila wa kumlaumu ni Samia na wanaomshauri leo mnagaragazwa na porojo za umeme na uwekezaji wake huko Rufiji mkilala gizani,, toeni wahuni hao
Kama raisi ni Samia na waziri wa nishati ni January Makamba basi mmepigwa za uso
Kuwa mstaarabu basi unapomjadili Rais. Maneno yako hayana chembe ya busara na ni ya kihuni sana. Ukikosa nidhamu hadharani tena unaibua maswali ya malezi yako. Si sahihi.
 
Hivi hotuba ya Mheshimiwa Waziri wakati anafungua mafunzo ya uongozi mbona hamuileti jamvini?

Anasema uongozi pamoja na mambo mengine ni ule uwezo wa mtu kuelekeza watu na watu kufuata maelekezo yako (kama nilimuelewa vizuri). Najiuliza, wale aliowaelekeza wasikate umeme ndani ya wiki vinginevyo atashughulika na mtu lakini umeme bado unakatwa, Je. Anaturuhusu tutilie mashaka ushawishi wake kwa anaowaongoza?
 
January kaletwa hapo na Samia ili watengeneze njia ya kuleta uwekezaji wa kipigaji na ndiyo kinachofanyika angalia Viongozi na watendaji wote wabobezi wa hiyo fani tokea bodi mkurugenzi na waziri wote ni wabobezi some with geniune PhDs wameondolewa na Samia bila sababu ni kupisha njia ya uupigaj

Kipindi cha JPM umeme ukikatika kwa masaa mawili mtu anatumbuliwa either na rais au waziri mkasema JPM ni dikteta,, hakukuwa na mgao wala kukatika kwa zaidi ya masaa mawili Utendaji kazi na Uwizi na Upigaji wa mtz unahitaji kiongozi makini kama the late JPM

Vumilieni ila wa kumlaumu ni Samia na wanaomshauri leo mnagaragazwa na porojo za umeme na uwekezaji wake huko Rufiji mkilala gizani,, toeni wahuni hao.

Kama raisi ni Samia na waziri wa nishati ni January Makamba basi mmepigwa za uso
-TANESCO sasa hivi ni majanga,toka Waziri mpya na Bodi mpya viiñgie madarakani,shida siyo kukatika umeme tu,bali hata nyaya za 50mm shirika halina,
-juzi nilikwenda TANESCO Chanika,kuna wateja zaidi ya 300 wamejengewa nguzo, lakini hawajaunganishiwa waya wa 50mm,ili mchakato wa kupewa control number,walipie service line na
-wananchi hawa hawalipi kodi ya majengo,( ambayo inalipwa ) kupitia Luku.
-Mama SSH watendaji wako wanakuhujumu,usifikie malengo ya kukusanya kodi ya majengo.
-Wafanyakazi wa TANESCO wanamajibu ya kuudhi na inavyoonekana,Maharage ameishiwa pumzi mapema na hana jipya jahazi linazama.
 
Anatajwa kwa sababu wengi bado wanajiuliza ilkikuwaje really Samia akamuona January anafaa kuwa waziri wa nishati mtu kama mtu Januari ni mtu mzuri lkn siyo kwa wadhifa huo muhimu
Hapa Kalemani alipaweza sn pamoja na madhaifu ya kibinadamu lakini alikuwa mfuatiliaji kupita kiasi
 
-TANESCO sasa hivi ni majanga,toka Waziri mpya na Bodi mpya viiñgie madarakani,shida siyo kukatika umeme tu,bali hata nyaya za 50mm shirika halina,
-juzi nilikwenda TANESCO Chanika,kuna wateja zaidi ya 300 wamejengewa nguzo, lakini hawajaunganishiwa waya wa 50mm,ili mchakato wa kupewa control number,walipie service line na
-wananchi hawa hawalipi kodi ya majengo,( ambayo inalipwa ) kupitia Luku.
-Mama SSH watendaji wako wanakuhujumu,usifikie malengo ya kukusanya kodi ya majengo.
-Wafanyakazi wa TANESCO wanamajibu ya kuudhi na inavyoonekana,Maharage ameishiwa pumzi mapema na hana jipya jahazi linazama.
Bibi ushungi aliingizwa cha kike kwa January
 
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.

Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.

Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
January Makamba hiyo wizara ni kubwa sana kwake.yeye ilimfaa ile ya utamaduni na michezo au jinsia na watoto.aliyempa hiyo wizara ndio mwenye matatizo sio January.
 
Back
Top Bottom