Mkuu tangu uwekewe vipande vya chupa kwenye msosi umekuwa mpoleeeee hata dhihaka kwa Chadema, Bavicha na mwamba Mbowe huzitoi tena. Umejichimbia zako huko Longido ndani ndani.Sijui ni jambo gani huwa anamwambia mkuu naye anamuamini
Maana umeme unakatika kila mara na mkuu haonekani kuguswa kabisa na hali hii.
Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.
Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.
Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?
Duuh udalali tena??Kuteuliwa kea January Makamba kuongoza Wizara ya Nishati na mara baada ya uteuzi wake kuivunja Bodi ya Tanesco na kuisimika nyingine ikiongozwa na ISSA; ni mkakati wa makusudi wa kutaka kupata sababu za kuanza kuivunja TANESCO kuwa mashirika matatu yanayojitegemea ya GENERATION, TRANSMISSION na DISTRIBUTION halafu baada ya halo yauzwe!!
Kumbukeni kuwa huyo Mwenyekiti wa sasa wa TANESCO ndio alikuwa dalali wa kuliuza shirika la Simu [TTCL] hivyo uteuzi wake ni wa malengo!!
Fichaga uchoko ww mtu analeta hoja yenye mashiko unaleta ngonjera za sukuma gang? Kitobo kweli wwUnasumbuliwa na sukuma gang disorder.
Nani kakwambia Makamba ndiyo nyaya za umeme?
Huna akili wwUnasumbuliwa na sukuma gang disorder.
Nani kakwambia Makamba ndiyo nyaya za umeme?
Umasikini sio point hapa, kwasababu hata kipindi cha Magufuli umasikini ulikuwepo na hakukuwa na tatizo la kukatika kwa umeme hovyo hovyo kama hivi leo. Tatizo ni management inagoongozwa na January kama Waziri wa nishati.Kukatika umeme kunatokana na umasikini wa nchi yako na si vinginevyo. Fanya utafiti utaelewa.
Jitu jinga sana weweUnasumbuliwa na sukuma gang disorder.
Nani kakwambia Makamba ndiyo nyaya za umeme?
Hana uzuri zaidi ya uparaAnatajwa kwa sababu wengi bado wanajiuliza ilkikuwaje really Samia akamuona January anafaa kuwa waziri wa nishati mtu kama mtu Januari ni mtu mzuri lkn siyo kwa wadhifa huo muhimu
Yulr wa foreign ndio hata kusoma hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ni matapeli tuu na madalali wa wqzunguWatz wengi wamejaa ujinga vichwani mwao, utayasikia yakisema mama anaupiga mwingi, anaupiga mwingi kwa kutuletea majina badala ya watendaji,haya huyo January anafanya nini hapo,kuna yule mama wa foreign Mulamula hana lolote, kuna Mchengerwa anasema uongo kila siku eti watumishi watalipwa malimbikizo kabla ya christmas hakuna aliyelipwa anazunguka nchi analipwa pesa anaongea uongouongo tu.Ametutolea jembe Kalemani akatuletea wahuni masela wapiga dili tu,wakate umeme mazima sasa ovyo kabisa.
Kuwa mstaarabu basi unapomjadili Rais. Maneno yako hayana chembe ya busara na ni ya kihuni sana. Ukikosa nidhamu hadharani tena unaibua maswali ya malezi yako. Si sahihi.January kaletwa hapo na Samia ili watengeneze njia ya kuleta uwekezaji wa kipigaji na ndiyo kinachofanyika angalia Viongozi na watendaji wote wabobezi wa hiyo fani tokea bodi mkurugenzi na waziri wote ni wabobezi some with geniune PhDs wameondolewa na Samia bila sababu ni kupisha njia ya uupigaj
Kipindi cha JPM umeme ukikatika kwa masaa mawili mtu anatumbuliwa either na rais au waziri mkasema JPM ni dikteta,, hakukuwa na mgao wala kukatika kwa zaidi ya masaa mawili Utendaji kazi na Uwizi na Upigaji wa mtz unahitaji kiongozi makini kama the late JPM
Vumilieni ila wa kumlaumu ni Samia na wanaomshauri leo mnagaragazwa na porojo za umeme na uwekezaji wake huko Rufiji mkilala gizani,, toeni wahuni hao
Kama raisi ni Samia na waziri wa nishati ni January Makamba basi mmepigwa za uso
-TANESCO sasa hivi ni majanga,toka Waziri mpya na Bodi mpya viiñgie madarakani,shida siyo kukatika umeme tu,bali hata nyaya za 50mm shirika halina,January kaletwa hapo na Samia ili watengeneze njia ya kuleta uwekezaji wa kipigaji na ndiyo kinachofanyika angalia Viongozi na watendaji wote wabobezi wa hiyo fani tokea bodi mkurugenzi na waziri wote ni wabobezi some with geniune PhDs wameondolewa na Samia bila sababu ni kupisha njia ya uupigaj
Kipindi cha JPM umeme ukikatika kwa masaa mawili mtu anatumbuliwa either na rais au waziri mkasema JPM ni dikteta,, hakukuwa na mgao wala kukatika kwa zaidi ya masaa mawili Utendaji kazi na Uwizi na Upigaji wa mtz unahitaji kiongozi makini kama the late JPM
Vumilieni ila wa kumlaumu ni Samia na wanaomshauri leo mnagaragazwa na porojo za umeme na uwekezaji wake huko Rufiji mkilala gizani,, toeni wahuni hao.
Kama raisi ni Samia na waziri wa nishati ni January Makamba basi mmepigwa za uso
Majibu ya wanufaika na ufisadi ndo hayaUnasumbuliwa na sukuma gang disorder.
Nani kakwambia Makamba ndiyo nyaya za umeme?
Hapa Kalemani alipaweza sn pamoja na madhaifu ya kibinadamu lakini alikuwa mfuatiliaji kupita kiasiAnatajwa kwa sababu wengi bado wanajiuliza ilkikuwaje really Samia akamuona January anafaa kuwa waziri wa nishati mtu kama mtu Januari ni mtu mzuri lkn siyo kwa wadhifa huo muhimu
Bibi ushungi aliingizwa cha kike kwa January-TANESCO sasa hivi ni majanga,toka Waziri mpya na Bodi mpya viiñgie madarakani,shida siyo kukatika umeme tu,bali hata nyaya za 50mm shirika halina,
-juzi nilikwenda TANESCO Chanika,kuna wateja zaidi ya 300 wamejengewa nguzo, lakini hawajaunganishiwa waya wa 50mm,ili mchakato wa kupewa control number,walipie service line na
-wananchi hawa hawalipi kodi ya majengo,( ambayo inalipwa ) kupitia Luku.
-Mama SSH watendaji wako wanakuhujumu,usifikie malengo ya kukusanya kodi ya majengo.
-Wafanyakazi wa TANESCO wanamajibu ya kuudhi na inavyoonekana,Maharage ameishiwa pumzi mapema na hana jipya jahazi linazama.
January Makamba hiyo wizara ni kubwa sana kwake.yeye ilimfaa ile ya utamaduni na michezo au jinsia na watoto.aliyempa hiyo wizara ndio mwenye matatizo sio January.Ni ajabu sana kwamba kwa miaka 5 hatuwahi kuwa na tatizo la umeme kukatika mara kwa mara kama ilivyo sasa. Wote tunajua umeme ulikuwa ukikatika lakini sio kwa kasi hii iliyopo sasa hasa baada ya uteuzi wa January Makamba kama Waziri wa Nishati.
Uteuzi wako ulifuatiwa na uamuzi wa wewe kuvunja bodi ya Tanesco kisha kuingia mkataba wa bilioni 63 za kitanzania kwa madai ya kuboresha mfumo, mfumo ambao wewe hukuwahi kujua mapungufu yake wala uimara wake ila ghafla ndani ya mwezi mmoja tu tokea uingie ofisini unavunja bodi na kuingia mkataba wa mabilioni ya shilingi na kibaya zaidi hatua hizo zilifuatiwa na ukatikaji wa umeme nchi nzima.
Tanesco wakatoka na kauli kwamba hakuna mgao bali ni magengenezo ya kawaida, Waziri ukasema ni kwa wiki mbili tu leo ni zaidi ya miezi mitatu umeme haumalizi siku bila kukata, Je Mh January uliteuliwa ili ukasimamie zoezi la ukataji wa umeme?