January Makamba, umejaribiwa mapema sana na watendaji wako, kukatikakatika kwa umeme kutakuondolea kuaminika, enzi zenu za majenerator zaja

January Makamba, umejaribiwa mapema sana na watendaji wako, kukatikakatika kwa umeme kutakuondolea kuaminika, enzi zenu za majenerator zaja

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana Jf

Kukatika hovyo kwa umeme ni iShara mbaya sana kwa Wazir J.Makamba, huenda wafanyakazi wanamjaribu au aliowaingiza hawana uweledi wa viongozi, jana watu walishindwa kununua umeme, vijana mnaosema wajiajiri wamekosa pesa.

Siku mzima hawakufanya kazi, leo mkoa wa kagera na sehemu fulani, Chato hakuna taarifa za matengenezo. Kila siku shida, sijui uliobakiza ni zao la mwendambingi ambaye kama vile mlikuwa washindani. Au Genge la sukuma gang linakuhujumu.
 
Wana Jf

Kukatika hovyo kwa umeme ni iShara mbaya sana kwa Wazir J.Makamba, huenda wafanyakazi wanamjaribu au aliowaingiza hawana uweledi wa viongozi, jana watu walishindwa kununua umeme, vijana mnaosema wajiajiri wamekosa pesa. Siku mzima hawakufanya kazi, leo mkoa wa kagera na sehemu fulani , chato hakuna taarifa za matengenezo. Kila siku shida, sijui uliobakiza ni zao la mwendambingi ambaye kama vile mlikuwa washindani. Au Genge la sukuma gang linakuhujumu.
Mtampa lawama tu, yaani matatizo ya liyopo tanesco ni ya toka uhuru, leo mtu ndani ya mwezi mmoja ayamalize?!!yaani mnategemea umeme kukatika nchi hii iwe kama USA?

Hahaaa, tatizo ni siasa tu lakini ukweli wana ujua tatizo shirika kama shirika liko tabani, ki miundo mbinu, shida ni kwenye usambazaji,
 
Mtampa lawama tu, yaani matatizo ya liyopo tanesco ni ya toka uhuru, leo mtu ndani ya mwezi mmoja ayamalize?!!yaani mnategemea umeme kukatika nchi hii iwe kama USA?hahaaa, tatizo ni siasa tu lakini ukweli wana ujua tatizo shirika kama shirika liko tabani, ki miundo mbinu, shida ni kwenye usambazaji,
Mbona haya mambo yalikuwa yamesaulika yamekuja kwa kasi mno.
 
Usiitegemee mabadiliko chanya kutoka kwa January, yupo pale kimkakati...

Akili yangu inaniambia baada ya miaka miwili tunarudi kwenye generator.
 
Nunueni Generators. Acheni kuua biashara za watu kama mwendazake. Hii ni awamu ya kuhakikisha tunawasupport wafanyabiashara "uchumi" ukue
 
Mbona haya mambo yalikuwa yamesaulika yamekuja kwa kasi mno.
Toka lini tatizo la umeme Tz, lilisahaulika?sema kidogo kukatika katika kulipungua, ni mara ngapi waziri kalemani alikuwa akitoa matamko tu bila uhalisia?wewe unafikiria ni kwanini hata ile tarrif 4, imeondolewa kwa wateja wengi?pesa ni shida, miundo mbinu mingi ni chakavu, hata waziri atoe matamko vipi bado haisaidii.
 
Wana Jf

Kukatika hovyo kwa umeme ni iShara mbaya sana kwa Wazir J.Makamba, huenda wafanyakazi wanamjaribu au aliowaingiza hawana uweledi wa viongozi, jana watu walishindwa kununua umeme, vijana mnaosema wajiajiri wamekosa pesa.

Siku mzima hawakufanya kazi, leo mkoa wa kagera na sehemu fulani, Chato hakuna taarifa za matengenezo. Kila siku shida, sijui uliobakiza ni zao la mwendambingi ambaye kama vile mlikuwa washindani. Au Genge la sukuma gang linakuhujumu.
Wapigaji kwenye Sekta ya Nishati wamerudi ! Kukatika katika kwa umeme hovyo maeneo mbalimbali Nchini tena bila ya TANESCO kutoa taarifa kwa Wananchi ni kutuandaa kisaikolojia tujue wapigaji wanataka kuanza kazi!
 
Nunueni Generators. Acheni kuua biashara za watu kama mwendazake. Hii ni awamu ya kuhakikisha tunawasupport wafanyabiashara "uchumi" ukue
Tanzania hatuna wafanyabiashara tuna wachuuzi. Wanadalalia vitu/majenereta kutoka ughaibuni tu basi. Huwezi kukuza uchumi kwa kutegemea wachuuzi.
 
Toka lini tatizo la umeme Tz, lilisahaulika?sema kidogo kukatika katika kulipungua, ni mara ngapi waziri kalemani alikuwa akitoa matamko tu bila uhalisia?wewe unafikiria ni kwanini hata ile tarrif 4, imeondolewa kwa wateja wengi?pesa ni shida, miundo mbinu mingi ni chakavu, hata waziri atoe matamko vipi bado haisaidii.
Waziri January alisema umeme kukatika mwisho wiki mbili. Sisi wadanganyika tumwamini nani, wewe au waziri January?
 
Toka lini tatizo la umeme Tz, lilisahaulika?sema kidogo kukatika katika kulipungua, ni mara ngapi waziri kalemani alikuwa akitoa matamko tu bila uhalisia?wewe unafikiria ni kwanini hata ile tarrif 4, imeondolewa kwa wateja wengi?pesa ni shida, miundo mbinu mingi ni chakavu, hata waziri atoe matamko vipi bado haisaidii.
Kwa hiyo tumeingia kwenye janga ghafla, hiyo treni ya umeme si itaua watu sasa
 
Kwa hiyo tumeingia kwenye janga ghafla, hiyo treni ya umeme si itaua watu sasa
Hii nchi bwana, ni ngumu sana, tatizo ni kutokuwa wakweli, tukiamini kuficha ukweli usisemwe ndio kutatua tatizo kumbe tunajidanganya!!!tunakimbilia mambo makubwa ili kutafuta sifa wakati vitu vidogo tu vimetushinda?!!umeme wa kuendesha hizo treni watauunganisha kwenye lines ambazo umeme haukatiki, kwani hapa hapa Dar, kuna maeneo wao hawajui kama umeme huwa unakatika nchi hii!!
 
Hii nchi bwana, ni ngumu sana, tatizo ni kutokuwa wakweli, tukiamini kuficha ukweli usisemwe ndio kutatua tatizo kumbe tunajidanganya!!!tunakimbilia mambo makubwa ili kutafuta sifa wakati vitu vidogo tu vimetushinda?!!umeme wa kuendesha hizo treni watauunganisha kwenye lines ambazo umeme haukatiki, kwani hapa hapa Dar, kuna maeneo wao hawajui kama umeme huwa unakatika nchi hii!!
Mimi naona waachane kwanza na madhahanati wamalizane na umeme kwanza,
 
Makamba namfananisha na umaarufu wa jk wakati wa kampeni, alingaa sana tulipohoji rekodi yake kiutendaji tulianza kusifiwa eti ni HANDSOME sana.
Makamba hajawahi kushika wizara yoyote nyeti inayogusa wananchi wa kawaida na akaonyesha matokeo, lkn ana umaarufu mkubwa .Wakati umefika tuone uwezo wake halisi sio abebwe na nguvu ya mtandao ya uchaguz.
 
Makamba namfananisha na umaarufu wa jk wakati wa kampeni, alingaa sana tulipohoji rekodi yake kiutendaji tulianza kusifiwa eti ni HANDSOME sana.
Makamba hajawahi kushika wizara yoyote nyeti inayogusa wananchi wa kawaida na akaonyesha matokeo, lkn ana umaarufu mkubwa .Wakati umefika tuone uwezo wake halisi sio abebwe na nguvu ya mtandao ya uchaguz.
Yaani umeona mbali, ndiye kaweka sheria kandamizi kwenye mitandao hivyo hafai kabisa
 
Huna akili kabisa ,ni laana Tanzania kuwa na raia kama wewe.
Kama tulivyokuwa na raia namba moja mwendazake!!ndio maana jk aliwaambia hoja haijibiwi kwa mapovu, ila kwakuwa mwendazake aliwajaza sumu kuwa kukwepa hoja wewe tumia matusi na vitisho, na mwendazake masalia mnateseka sana kwa sasa!!na Membe huyo ndio anaingia sasa!!nakushauri tu kama hutaki KUCHOMEKA, kwa maumivu bora tu mapema mfuate mwendazake.
 
Mtampa lawama tu, yaani matatizo ya liyopo tanesco ni ya toka uhuru, leo mtu ndani ya mwezi mmoja ayamalize?!!yaani mnategemea umeme kukatika nchi hii iwe kama USA?

Hahaaa, tatizo ni siasa tu lakini ukweli wana ujua tatizo shirika kama shirika liko tabani, ki miundo mbinu, shida ni kwenye usambazaji,
Nakubaliana na wewe kabisa. Labda huyu anayepewa lawama alijinasibu ndio mwarobaini wa tatizo la umeme nchi hii!
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Labda huyu anayepewa lawama alijinasibu ndio mwarobaini wa tatizo la umeme nchi hii!
Alisema atayamaliza kwa haraka walioingia hata kalemani anafaa zaidi kama alionewa vile
 
Back
Top Bottom