January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

January Makamba: Umeme mwisho kukatika wiki mbili, baada ya hapo nitafukuza watu

Kuna watu wana damu ya uongozi na kuna wanaojipaka mafuta ya uongozi. Mwenye damu hata ukimwamsha usingizi usiku wa manane, jibu lak linasikilizwa kwa uhakika na kuwekwa maananani na anaowaongoza; yule mwenye kujipaka mafuta, ukimwamsha usiku wa manane atatoa jibu ambalo watu hawatatilia maanani mpaka akaoge ajipake mafuta kwanza. Na hata akishajipaka mafuta ya uongozi, akipigwa jua kidogo tu akatoka jasho au akinyeshewa mvua, mafuta yote yanaondoka anakuwa yule yule asiyetiliwa maanani.
Una misemo mikali sana
 
Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike

USSR
si kupinga sisi tunaka akishndwa hata baada ya kuwafukuza mameneja yeye ajiudhuru maana na yeye atakuwa ameshindwa
unapowafukuza watu kazi na bado tatizo likawepo basi jua kuwa tatizo ni wewe
 
Magufuli alikuwa muongo sana yani alikuwa ana hakikisha umeme haukatiki ili apate sifa sisi tmuamua kuwa wa kweli acha umeme ukatike [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]

Kuna mambo yanafurahisha sawa na yule wa maji anakwambia serikali inamtua mama ndoo hapa nilipo nagonga wiki ya tatu bila maji, ukikutana na yule naibu wa afya anasema serekale hii afya juu madawa hospitalini hakuna yaani wamechagua kua wakweli Magufuli alikua muongo sana
 
Back
Top Bottom