Una misemo mikali sanaKuna watu wana damu ya uongozi na kuna wanaojipaka mafuta ya uongozi. Mwenye damu hata ukimwamsha usingizi usiku wa manane, jibu lak linasikilizwa kwa uhakika na kuwekwa maananani na anaowaongoza; yule mwenye kujipaka mafuta, ukimwamsha usiku wa manane atatoa jibu ambalo watu hawatatilia maanani mpaka akaoge ajipake mafuta kwanza. Na hata akishajipaka mafuta ya uongozi, akipigwa jua kidogo tu akatoka jasho au akinyeshewa mvua, mafuta yote yanaondoka anakuwa yule yule asiyetiliwa maanani.
si kupinga sisi tunaka akishndwa hata baada ya kuwafukuza mameneja yeye ajiudhuru maana na yeye atakuwa ameshindwaHii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Hapo sijaelewa, kama viwanda vinalipa mamilion ya tshs. Ila Mimi nalipa so zaidi ya 30 elfu kwa mwezi.Kwa wastani ni 625,000 tsh kwa kila mita kwa mwezi
Je bado una maoni hayo baada ya haya yanayotokea sasa?Hii nayo chadema watapinga as if wanataka umeme ukatike
USSR
Aondoke yeye, kipindi Cha jembe mbona ulikuwa haukatiki namna hiyo, means yeye ndio Tatizo.Ameshafukuza wangapi huko Tanesco?
Wameamua kua wakweli wao tofauti na Magufuli, kukatika kwa umeme ndio ukweli wenyewe sasa
Kua wakweli?Wameamua kua wakweli wao tofauti na Magufuli, kukatika kwa umeme ndio ukweli wenyewe sasa
Wameamua kua wakweli wao tofauti na Magufuli, kukatika kwa umeme ndio ukweli wenyewe sasa
Magufuli alikuwa muongo sana yani alikuwa ana hakikisha umeme haukatiki ili apate sifa sisi tmuamua kuwa wa kweli acha umeme ukatike [emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956][emoji2956]
Wataelewa tu.....kura yangu ya mwisho kupiga ilikuwa kwa JPM....kilichobaki ni kuwa ndugu mtazamaji.Wameamua kua wakweli wao tofauti na Magufuli, kukatika kwa umeme ndio ukweli wenyewe sasa
Da Imekuwa Shida