January Makamba, umeme umekatika mkoa wa Kilimanjaro masaa 6 hadi sasa

January Makamba, umeme umekatika mkoa wa Kilimanjaro masaa 6 hadi sasa

January makamba, eleza watanzania halisi, hakuna umeme Kilimanjaro sasa ni masaa sita tangu ukatike.

Usitegemee wananchi waishi gizani wapige kura kuchagua chama Tawala na hakuna wizi wa kura tena .

Uswahili ulisahaulika enzi za JK sasa usitegemee uswahili tena.
hawa wahuni wameshaanza kuupiga mwingi, ndo maana aliwarudisha watu wake tanesco, walokuwepo wakatolewa, kumbe jamaa ni mpiga madili, ili waupige mwingi na jopu lake.
 
January makamba, eleza watanzania halisi, hakuna umeme Kilimanjaro sasa ni masaa sita tangu ukatike.

Usitegemee wananchi waishi gizani wapige kura kuchagua chama Tawala na hakuna wizi wa kura tena .

Uswahili ulisahaulika enzi za JK sasa usitegemee uswahili tena.
Piga simu Tanesco waje fix....
 
Back
Top Bottom