January Makamba unaturudisha Misri

January Makamba unaturudisha Misri

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!
Kwanza huwa na kukubali kwasababu ni moja wa viongozi vijana unayejielewa na unabusara pia.

Ila lazima nikuchane inapotokea jambo ambalo halijakaa vizuri!!

Hili swala la mgawo wa umeme tena ya kushtukiza na kimya kimya..ni tafsiri mbaya kwa wanzania.

Kumbuka swala la umeme ni swala nyeti sana kwasababu kuna watanzania wenzako wanategemea umeme katika biashara zao..mfano wauza samaki na nyama wataifadhi vip bidhaaa zao kama umeleta mgawo wa gafla.

Tokea jana Arusha umeme unakatwa tokea saa moja asubuhi na kurudishwa saa moja jioni...wananchi hawajapewa taarifa yeyote kuhusiana na hili...tafsiri yake nikwamba mwananchi atafanya nini..apate hasara asipate hayakuhusu.

Tunata kujua kama huu ni mgawo au kuna itilafu mahala..na itachukua muda gani iwe fixed..
 
Hapo vip!!
Kwanza huwa na kukubali kwasababu ni moja wa viongozi vijana unayejielewa na unabusara pia.

Ila lazima nikuchane inapotokea jambo ambalo halijakaa vizuri!!

Hili swala la mgawo wa umeme tena ya kushtukiza na kimya kimya..ni tafsiri mbaya kwa wanzania.

Kumbuka swala la umeme ni swala nyeti sana kwasababu kuna watanzania wenzako wanategemea umeme katika biashara zao..mfano wauza samaki na nyama wataifadhi vip bidhaaa zao kama umeleta mgawo wa gafla.

Tokea jana Arusha umeme unakatwa tokea saa moja asubuhi na kurudishwa saa moja jioni...wananchi hawajapewa taarifa yeyote kuhusiana na hili...tafsiri yake nikwamba mwananchi atafanya nini..apate hasara asipate hayakuhusu.

Tunata kujua kama huu ni mgawo au kuna itilafu mahala..na itachukua muda gani iwe fixed..
Kila aliyeshangilia 17/3/2021 laana itamfikia kwa muda wake na atajuta sana.

Na bado
 
Hapo vip!!
Kwanza huwa na kukubali kwasababu ni moja wa viongozi vijana unayejielewa na unabusara pia.

Ila lazima nikuchane inapotokea jambo ambalo halijakaa vizuri!!

Hili swala la mgawo wa umeme tena ya kushtukiza na kimya kimya..ni tafsiri mbaya kwa wanzania.

Kumbuka swala la umeme ni swala nyeti sana kwasababu kuna watanzania wenzako wanategemea umeme katika biashara zao..mfano wauza samaki na nyama wataifadhi vip bidhaaa zao kama umeleta mgawo wa gafla.

Tokea jana Arusha umeme unakatwa tokea saa moja asubuhi na kurudishwa saa moja jioni...wananchi hawajapewa taarifa yeyote kuhusiana na hili...tafsiri yake nikwamba mwananchi atafanya nini..apate hasara asipate hayakuhusu.

Tunata kujua kama huu ni mgawo au kuna itilafu mahala..na itachukua muda gani iwe fixed..
Tanesco hawaheshimu wateja wao, tunahitaji kampuni shindani.
 
Umesema unamkubali then una mchana chana?
IMG_0901.jpg
 
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
 
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Mbwa koko mwenyewe
 
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Kwaiyo hizo nguzo zimeanza kwa January Makamba sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila aliyeshangilia 17/3/2021 laana itamfikia kwa muda wake na atajuta sana.

Na bado
Mungu atusamehe mkuu tulidhani yale mambo yalikuwa yanatokea kwa neema tu kumbe kulikuwa na nguvu ya JPM kuhakikisha mambo yanaenda duh.

Enzi za yule jamaa kila siku mpya ilikuwa bora kuliko jana. Lakini sasa jana ni bora kuliko kesho.

Yaani ilikuwa kama hamna umeme basi ujue muda si mrefu umeme utapita, maji hakuna basi ujue kuna mradi wa maji utawapitia muda si mrefu, zahanati hakuna basi mpo kwenye mpango tayari, sijui barabara hazipitiki huku vijijini tukaletewa tarura, na kwenye maji tukaletewa ruwasa.
 
Sukuma Gang mnateseka, hafufuki huyo

Ubaguzi mliokuwa mnashangilia, utawageuka tu

Mlitetea maovu, tulieni

Ten % za ndege mlikula wenyewe
Ten what hakuila hata pengine hat ailikiwa haijaja watakula wengineeeee tuu kabisa
 
Mbwa koko mwenyewe

Kwaiyo hizo nguzo zimeanza kwa January Makamba sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nini hujaelewa hapo? Maboresho sio nguzo pekee, kuna transfoma, vituo vya kupooza na njia za msongo mkubwa wa umeme.

Huo umeme wa bwawa la Nyerere ukija kuingizwa kwenye gridi kwa hali ilivyo sasa utakuwa ni mwendo wa kuunguza Mifumo ya kupooza, nyumba na electronics kila siku.
Na ni sisi sisi tutaanza kuilaumu tena serikali kwanini haikufanya maboresho.
 
Mungu atusamehe mkuu tulidhani yale mambo yalikuwa yanatokea kwa neema tu kumbe kulikuwa na nguvu ya JPM kuhakikisha mambo yanaenda duh.

Enzi za yule jamaa kila siku mpya ilikuwa bora kuliko jana. Lakini sasa jana ni bora kuliko kesho.

Yaani ilikuwa kama hamna umeme basi ujue muda si mrefu umeme utapita, maji hakuna basi ujue kuna mradi wa maji utawapitia muda si mrefu, zahanati hakuna basi mpo kwenye mpango tayari, sijui barabara hazipitiki huku vijijini tukaletewa tarura, na kwenye maji tukaletewa ruwasa.
Hakuna kitu kama hicho yaani uje ufananishe yule mwendazake na mama hakuna km hicho mama anajitahidi kufukia yale mashimo nasikitika muda wake utaishia kwenye mashimo
 
Mbwa koko mwenyewe
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Naona umeshashiba umevimbiwa ..na unajamba tu kwenye sofa pasipo kuthamini maumivu ya watanzania wenzako..sasa hivi wewe ndio utazikwa kama umbwa koko
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
 
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.

Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.

Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Kuwatoa kafara?we jamaa vipi tanesko wanakitengo cha live mains waulize jukumu lao ni Nini,huko duniani umeme hauzimi.
 
Hapo vip!!
Kwanza huwa na kukubali kwasababu ni moja wa viongozi vijana unayejielewa na unabusara pia.

Ila lazima nikuchane inapotokea jambo ambalo halijakaa vizuri!!

Hili swala la mgawo wa umeme tena ya kushtukiza na kimya kimya..ni tafsiri mbaya kwa wanzania.

Kumbuka swala la umeme ni swala nyeti sana kwasababu kuna watanzania wenzako wanategemea umeme katika biashara zao..mfano wauza samaki na nyama wataifadhi vip bidhaaa zao kama umeleta mgawo wa gafla.

Tokea jana Arusha umeme unakatwa tokea saa moja asubuhi na kurudishwa saa moja jioni...wananchi hawajapewa taarifa yeyote kuhusiana na hili...tafsiri yake nikwamba mwananchi atafanya nini..apate hasara asipate hayakuhusu.

Tunata kujua kama huu ni mgawo au kuna itilafu mahala..na itachukua muda gani iwe fixed..
Makamba alikuwa mpinzani mkubwa wa mradi huu tangu uanze. Kigezo chake kilikuqa ni uharibifu wa mazingira. Inapokuja sababu yoyote inayokwamisha mradi usiendelee, huwa simuamini Januari kabisa!
 
Back
Top Bottom