Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.
Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.
Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Tunapaswa kupewa taarifa na kama kuna matengenezo basi waseme mwisho itakuwa lini kwani kila jambo lina mwisho hqkuna matengenezo yasiyoishaMbwa koko mwenyewe
Power bank anaijua huyo lbd solar panel ya sh 60000/-Unaweza kuta hii pimbi inapiga madongo huku inatumia power bank na umeme hakuna kwake!
Hiyo laana ikuanze wewe na uyo mtu wako wa 17/3/2021 popote alipoKila aliyeshangilia 17/3/2021 laana itamfikia kwa muda wake na atajuta sana.
Na bado
Anasifia ujinga bado kidogo hata treni ya moshi isiwepo, mnasigizia JPM alikuwa mkabila lkn Kila mtu alifaidi uwepo wake anaweza kuwa hakuwaamini baadhi ya watu kwa utumishi wao leo januari ni waziri wa nishati umeme haupo anatafuta Mahendra wafanye monitoring kwa dora 30m, mtaelewa tu subirini hawahawa ndiyo waliojenga vyoo kwenye reli.acha ujinga hizo nguzo zimeanza badilishwa toka Jpm akiwepo umeme ulikua unakatoka saa kadhaa tu now tunakaa hata saa 4-5 hakuna umeme
Ameingia mkataba na Mahendra kumonitor umeme ambao Kila siku kuna blackout Kila mahali aibu sana. Dora 30m.mzee wa madili ktk ubora wake.Mkiguswa ndo mnakuja kulalamika hapa.
Tangu lini kiparangoto akasolve matatzo zaidi ya porojo tu na ujanjaujanja tu
Mimi ni mhandisi na nikiwa mwanafunzi UDSM niliwahi kufanya PT pale Kidatu. Hakuna marekebisho makubwa ya kiuhandisi yanayoweza kusababisha umeme ukatike; hizo ni porojo tu. Hydropower generation siyo sawa na kuendesha gari au mashine ya kusaga nafaka! Uliwahi kuisikia Hoover Dam imefungwa kufanyiwa marekebisho makubwa?Taarifa ya waziri ina logic na inaeleweka kabisa, sijui kwanini tumezoea kupiga kelele kama mbwa koko.
Mifumo ya umeme inafanyiwa marekebisho makubwa baada ya kutofanyiwa kwa muda mrefu kutokana na watendaji kumuogopa jiwe na ndio maana waziri akatimuliwa na mama.
Kwa wakazi wa DSM ni mashuhuda, nguzo za miti kwenye njia kubwa zinatolewa na kuwekwa za zege ambazo ni maisha marefu. Labda kama tunataka kuwatoa kafara mafundi wafanye kazi moto ukiwepo
Tukiwa wadogo tulikuwa tunaongea kinyumenyume ili wazazi wasituelewe mishe zetu.Siyo huko tu na huku,na alisema mwisho wiki mbili kukatika umeme,kwamba atafukuza mtu.
Anafikiri tumesahau.
Laana ya kumuhujumu Mwendazake hatamuacha salama.
πππππTukiwa wadogo tulikuwa tunaongea kinyumenyume ili wazazi wasituelewe mishe zetu.
Yawezekana alimaanisha baada ya wiki mbili mgao unaanza rasmi
Kabisa mkuu!Mungu atusamehe mkuu tulidhani yale mambo yalikuwa yanatokea kwa neema tu kumbe kulikuwa na nguvu ya JPM kuhakikisha mambo yanaenda duh.
Enzi za yule jamaa kila siku mpya ilikuwa bora kuliko jana. Lakini sasa jana ni bora kuliko kesho.
Yaani ilikuwa kama hamna umeme basi ujue muda si mrefu umeme utapita, maji hakuna basi ujue kuna mradi wa maji utawapitia muda si mrefu, zahanati hakuna basi mpo kwenye mpango tayari, sijui barabara hazipitiki huku vijijini tukaletewa tarura, na kwenye maji tukaletewa ruwasa.