January Makamba unaturudisha Misri


acha ujinga hizo nguzo zimeanza badilishwa toka Jpm akiwepo umeme ulikua unakatoka saa kadhaa tu now tunakaa hata saa 4-5 hakuna umeme
 
acha ujinga hizo nguzo zimeanza badilishwa toka Jpm akiwepo umeme ulikua unakatoka saa kadhaa tu now tunakaa hata saa 4-5 hakuna umeme
Anasifia ujinga bado kidogo hata treni ya moshi isiwepo, mnasigizia JPM alikuwa mkabila lkn Kila mtu alifaidi uwepo wake anaweza kuwa hakuwaamini baadhi ya watu kwa utumishi wao leo januari ni waziri wa nishati umeme haupo anatafuta Mahendra wafanye monitoring kwa dora 30m, mtaelewa tu subirini hawahawa ndiyo waliojenga vyoo kwenye reli.
 
Mkiguswa ndo mnakuja kulalamika hapa.

Tangu lini kiparangoto akasolve matatzo zaidi ya porojo tu na ujanjaujanja tu
Ameingia mkataba na Mahendra kumonitor umeme ambao Kila siku kuna blackout Kila mahali aibu sana. Dora 30m.mzee wa madili ktk ubora wake.
 
Mimi ni mhandisi na nikiwa mwanafunzi UDSM niliwahi kufanya PT pale Kidatu. Hakuna marekebisho makubwa ya kiuhandisi yanayoweza kusababisha umeme ukatike; hizo ni porojo tu. Hydropower generation siyo sawa na kuendesha gari au mashine ya kusaga nafaka! Uliwahi kuisikia Hoover Dam imefungwa kufanyiwa marekebisho makubwa?
 
Siyo huko tu na huku,na alisema mwisho wiki mbili kukatika umeme,kwamba atafukuza mtu.
Anafikiri tumesahau.
Laana ya kumuhujumu Mwendazake hatamuacha salama.
Tukiwa wadogo tulikuwa tunaongea kinyumenyume ili wazazi wasituelewe mishe zetu.
Yawezekana alimaanisha baada ya wiki mbili mgao unaanza rasmi
 
Tukiwa wadogo tulikuwa tunaongea kinyumenyume ili wazazi wasituelewe mishe zetu.
Yawezekana alimaanisha baada ya wiki mbili mgao unaanza rasmi
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kabisa mkuu!
 
Mbolea imefika 95 siwasikii ila tunaona threat za makamba tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…