January na Mwigulu mlishiriki kumpokonya Urais Lowasa; Karma inawapukuchua

January na Mwigulu mlishiriki kumpokonya Urais Lowasa; Karma inawapukuchua

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu aliwaonyesha mlivyo na Tamaa na akaamua kuwadhalilisha.

Mmerudi kwenye NEEMA na mnaendelea kuwaongelesha Watanzania Kwa kauli zakuonyesha wazi kwamba kiburi kimewajaa. Bado mnaamini ninyi NI familia za daraja la Kwanza.

Napenda kuwaambia kwamba wote mtaishia kuwa Mawaziri tena Kwa kubebwa. Sukuma gang wameamua kudeal na ninyi; lakini pia ndani ya chama pia watu wamewachoka na wanatamani mkae kando......mtaendelea kuteseka na dhambi ya kuiba Hadi uzee wenu.

Karma
 
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu aliwaonyesha mlivyo na Tamaa na akaamua kuwadhalilisha.

Mmerudi kwenye NEEMA na mnaendelea kuwaongelesha Watanzania Kwa kauli zakuonyesha wazi kwamba kiburi kimewajaa. Bado mnaamini ninyi NI familia za daraja la Kwanza.

Napenda kuwaambia kwamba wote mtaishia kuwa Mawaziri tena Kwa kubebwa. Sukuma gang wameamua kudeal na ninyi; lakini pia ndani ya chama pia watu wamewachoka na wanatamani mkae kando......mtaendelea kuteseka na dhambi ya kuiba Hadi uzee wenu.

Karma
Walitengeneza ofisi Masaki ya kuhujumu uchaguzi .

JamiiForums-787880945.jpg
 
Fitna,majungu,wizi wa kura na taarifa,hujuma,kuvirigana na mengineyo mengi hiyo ndio msingi wa siasa popote pale dunian

Na mifano ipo mingi tu km ishu ya Watergate scandal ndan ya us

Km hutak kuyafanya hayo ujue levo yako ni kugombea uongoz wa kwaya
 
Hapo ndo mnapofeli, unakua unajisikiaje unapomtukana mtu aliyekufa. Hizo ni dalili za kutokua na hekma na busara mkuu.

Kitu ambacho sikipendi ni kuibuliwa nyuzi za Marehemu wangeacha apumzike tuu. Kwa mambo aliyoyafanya wala haitaji watetea Legacy ipo siku tutapita na vitukuu Kigongo Busisi watatuuliza hili daraja ni Rais gani alileta wazo la kujenga nasi tutamtaja JPM, watauliza hii ya umeme nani tutasema JPM, bwala umeme la Nyerere tutasema JPM, nani aliasisi ununuzi wa ndege JPM, meli ya kwenda Bukoba JPM yaani mwacheni apumzike aliyoyafanya yatajiongelea na vitukuu vitaamua vimfanyie nini kama asante.
 
Kitu ambacho sikipendi ni kuibuliwa nyuzi za Marehemu wangeacha apumzike tuu. Kwa mambo aliyoyafanya wala haitaji watetea Legacy ipo siku tutapita na vitukuu Kigongo Busisi watatuuliza hili daraja ni Rais gani alileta wazo la kujenga nasi tutamtaja JPM, watauliza hii ya umeme nani tutasema JPM, bwala umeme la Nyerere tutasema JPM, nani aliasisi ununuzi wa ndege JPM, meli ya kwenda Bukoba JPM yaani mwacheni apumzike aliyoyafanya yatajiongelea na vitukuu vitaamua vimfanyie nini kama asante.
Alishahukumiwa ata wasiposema hawezisamehewa labda kama alitupu wakati anapambania uhai wake
 
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu aliwaonyesha mlivyo na Tamaa na akaamua kuwadhalilisha.

Mmerudi kwenye NEEMA na mnaendelea kuwaongelesha Watanzania Kwa kauli zakuonyesha wazi kwamba kiburi kimewajaa. Bado mnaamini ninyi NI familia za daraja la Kwanza.

Napenda kuwaambia kwamba wote mtaishia kuwa Mawaziri tena Kwa kubebwa. Sukuma gang wameamua kudeal na ninyi; lakini pia ndani ya chama pia watu wamewachoka na wanatamani mkae kando......mtaendelea kuteseka na dhambi ya kuiba Hadi uzee wenu.

Karma
Kwa hiyo Gwajiboy ndio atawavusha nyie Sukuma gang au?
 
Kitu ambacho sikipendi ni kuibuliwa nyuzi za Marehemu wangeacha apumzike tuu. Kwa mambo aliyoyafanya wala haitaji watetea Legacy ipo siku tutapita na vitukuu Kigongo Busisi watatuuliza hili daraja ni Rais gani alileta wazo la kujenga nasi tutamtaja JPM, watauliza hii ya umeme nani tutasema JPM, bwala umeme la Nyerere tutasema JPM, nani aliasisi ununuzi wa ndege JPM, meli ya kwenda Bukoba JPM yaani mwacheni apumzike aliyoyafanya yatajiongelea na vitukuu vitaamua vimfanyie nini kama asante.
😁😁😁😁😆😆😆😆 Vijana hawana mda na Madaraja sijui nini Bali maisha.

Mbona tumezaliwa tumekuta ma reli,mara retco sijui viwanja nk yote hayo mbona hayaleto Ugali Hadi tuone ni ma vitu ya maana.?

legacy itakayodumu Kwa watu milele ni Ajira na maisha Bora hayo mavitu kama haya impact kwenye maisha ni kazi bure.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Vijana hawana mda na Madaraja sijui nini Bali maisha.

Mbona tumezaliwa tumekuta ma reli,mara retco sijui viwanja nk yote hayo mbona hayaleto Ugali Hadi tuone ni ma vitu ya maana.?

legacy itakayodumu Kwa watu milele ni Ajira na maisha Bora hayo mavitu kama haya impact kwenye maisha ni kazi bure.
Mwalimu tufanyeje ili tupate kupona, maana walinda legacy wametuzingira [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu aliwaonyesha mlivyo na Tamaa na akaamua kuwadhalilisha.

Mmerudi kwenye NEEMA na mnaendelea kuwaongelesha Watanzania Kwa kauli zakuonyesha wazi kwamba kiburi kimewajaa. Bado mnaamini ninyi NI familia za daraja la Kwanza.

Napenda kuwaambia kwamba wote mtaishia kuwa Mawaziri tena Kwa kubebwa. Sukuma gang wameamua kudeal na ninyi; lakini pia ndani ya chama pia watu wamewachoka na wanatamani mkae kando......mtaendelea kuteseka na dhambi ya kuiba Hadi uzee wenu.

Karma
Si walimhujumu kwa faida ya sukuma Gang leo wamekuwaje wabaya? Ubinadamu kazi kweli. Lakini nataka nikukumbushe kwamba hawa watu siyo level yenu. January anakaa muda mrefu na mzee kinana kuliko anavyokaa na baba yake mzee makamba
 
Mwigulu, Nape na January wakati mnashirikuana na Mzee wa Msoga kumpokonya Lowasa Urais mliaminishwa kwamba ninyi nifamilia Bora na mtaendelea kuneemeka na siasa za Tanzania. Lakini Magu aliwaonyesha mlivyo na Tamaa na akaamua kuwadhalilisha.

Mmerudi kwenye NEEMA na mnaendelea kuwaongelesha Watanzania Kwa kauli zakuonyesha wazi kwamba kiburi kimewajaa. Bado mnaamini ninyi NI familia za daraja la Kwanza.

Napenda kuwaambia kwamba wote mtaishia kuwa Mawaziri tena Kwa kubebwa. Sukuma gang wameamua kudeal na ninyi; lakini pia ndani ya chama pia watu wamewachoka na wanatamani mkae kando......mtaendelea kuteseka na dhambi ya kuiba Hadi uzee wenu.

Karma
Upo msemo unasema ukitumika kufanya mambo yakijinga waliokutuma wanajua wewe ni mjinga hivyo sio rahisi kukupa ufunguo ukafanye ujinga wako. Ndio maana usishangae wanamyafuta mtufuta mtu huko wanampa kiti. Ukileta fyoko fyoko wanakupa za uso
 
Back
Top Bottom