Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
kutesa kwa zamu, acha dogo atese
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akipeleka miradi huko Tanga utaongea haya haha uliyoyaongea hapa ama itabadilika tu.Wacha awafyeke hao sukuma gang waliopenyezwa kila idara ya serikali. Na miradi yote ya upendeleo huko sukuma land fyekelea mbali.
Lazima nchi iendeshwe kwa uadilifu haiwezekani watu waingizwe ingizwe tu kikabila na kindugu
Unakumbuka mabilioni aliyokopa kwenye mfuko fulani wa wafanyakazi na hadi leo hajarudisha!Makando mengi sana yapi hayo mkuu?
Na ni nani huyo unahisi hana makando?
Kusema mtu hasa ukimsema kwa yaliyodhahir ilikiwa ngumu kwa wenye akili kama January kutomsema magufuli yule hakuwa sawasawa. Aliongoza nchi kishamba sana Bora kaondokaUtakua sahihi kama umesahau aliwahi kumsema mkuu wake wa chama.
Chuki hizi zilienezwa na musiba sasa anangoja hukumu yake. Hivi ni nani msafi hapo lumumba????Unakumbuka mabilioni aliyokopa kwenye mfuko fulani wa wafanyakazi na hadi leo hajarudisha!
Baada ya miaka mitatu tukiwa hai nadhani tutakua tunaongea lugha moja, sa hivi endeleeni na akili zenu za kijinga na av yako hiyoJanuri Makamba amejaliwa Hekima, utu, maadili, akili, utulivu, busara vitu ambavyo ni hadimu sana kwa wanasiasa wengi wa ccm.
Januari anapigwa sana vita sababu anavitu ambavyo wenzake hawana. Kiufupi wanamuogopa.