January vipi huko kwenu?

Mmmh mbona Matola yeye kasema December ndio matajiri wanaenda kula Bata?Mimi nilikuwa najua Kama wewe everyday is Xmas kwa vibopa
 
Mrembo acha kulialia njoo tule za usa hujaumbiwa shida wewe A
 
Mi umeniacha hoi kwenye miaka yako Dah 53[emoji39][emoji39][emoji12] nilikuwa na lengo fulani hivi sasa naona ndoto yangu haitatimia [emoji24][emoji24]

Kuhusu januari kiukweli toka nije tz kutokea anga za mbali sijawahi kuona mtanzania akisema leo afathari nina kibunda kama wapo hao si watanzania ila kaja muda mrefu hapa nchin[emoji56][emoji56]
 
Mbona huo ndio umri mzuri kumpigisha kwata?
 
Wenyewe wanakwambia jumanne siku ya jini labda Kaka Mshana Jr anajua siri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…