Hapa Hong Kong haihusiki. Na wao Wana timu yao na leo imecheza mechi ya kirafiki na wameshinda!Japo China hana mpira mkubwa sana lakini hii iko ndani ya Kila mchina kuwa hapendi kupigwa au kupitwa na mjapani Hawa ni washindani wa kudumu
Hapa naangalia namna Japan anampiga china najua viunga vya Beijing na Hong Kong wanchina wanaugulia kwa maumivu
Yah ila huwa hawapendi kabisa kupigwa na mjapani heri wafungwe na mtu mwingineChina hakuna mpira hawajui iwe Hong-Kong, Taiwan, Macau hata Beijing wapo poor.
Japan na Korea wapo vizuri ukanda huo
China hakuna mpira hawajui iwe Hong-Kong, Taiwan, Macau hata Beijing wapo poor.
Japan na Korea wapo vizuri ukanda huo