Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekua bado hai, ningeheshimu wazazi kwanza ,Kwa hiyo Wazazi wako huwa heshimu??.
Palikuea na foleni ndio maana alishindwa kusimama....... HahahahNafikiri labda angesimamisha
Hilo ndilo kosa lake.Kwenye hizo treni anayekaa kwenye usukani anaweza kuwa hata hakusoma wala leseni haina ulazima.Anachokifanya huyo dereva ni kitu kidogo tu mfano kubonyeza kitufe ili injini ianze kazi au izime.Treni lenyewe linapeperuka kama upepo.Sema alichokosea hakutoa taarifa makao makuu Mana Wanasema dereva anapopata udhuru atoe taarifa makao makuu but kusimamisha ndo ingekuwa na hatari zaid Mana kwenye reli humo zinapita tren zaid ya moja zinazoeenda kwa spidi Kali so
Kuwa delayed kwa dkk 3 tu, ni ajari mbaya sana inaweza kutokea