Sema alichokosea hakutoa taarifa makao makuu Mana Wanasema dereva anapopata udhuru atoe taarifa makao makuu but kusimamisha ndo ingekuwa na hatari zaid Mana kwenye reli humo zinapita tren zaid ya moja zinazoeenda kwa spidi Kali so
Kuwa delayed kwa dkk 3 tu, ni ajari mbaya sana inaweza kutokea