Japan haiwafai Waafrika?

Japan haiwafai Waafrika?

asantw kwa taarifa. kwa hiyo hili lawezekana kuwa sio la kweli au wewe unaweza kuwa exception. hebu jaribu kucheki washkaji uliokuwa nao huko na muda walioishi na watoto waliowazaa baada ya stay yao huko.

mkuu nawajua Mapopo wawili pia wana vijidume, lkn vimodels viwili viwili sasa kama yeye ameishi kweli huko aseme na sio kusikia tu....btw wanawake nao ni bomba tuuu...
 
Duuh... hii aise yawezekana kuwa kweli, maana washikaji wote wamebahatika watoto wa kike!!

Mkuu sio kweli vihandsome vya mix kibao tu japan moja lao dume langu....magulu junior....soon ataregister hapa JF
 
Back
Top Bottom