Japan imeruhusu watafiti kuumba binadamu

Japan imeruhusu watafiti kuumba binadamu

Huu mfano wako wa kuku wa kienyeji na kisasa, ni sawasawa tu na mchina anavyozaa na mswahili n.k.hamna jipya sana...
Sema kutengeneza pure binadamu kama sisi..hawawezi na hawataweza: Mwanadamu ni perfect machine - yenye utashi na personal decisions - ni mashine ambayo sio programmed HAKUNA mashine nyingine yoyote inawezakuwa hivyo..
Hata akili mnemba wakati mwingine anajibu kipumbavu mpaka mtu unastuka
Wataweza unajazwa deli za kujua haraka na mavyakula ya hivyo Kama kuku...Kama wanaunga mbegu na yai maabara watashindwa hii ...sidhani
 
Unajikuta unakula demu kumbe ni nguruwe poli, mko mnagongana kumbe mmoja Simba jike mwingine swala dume Kila mtu akili zake zinarudi ghafla.
 
Kiumbe kimoja hapo kwenye picha zako kimefanana na mange kimambi
 
Back
Top Bottom