Huu mfano wako wa kuku wa kienyeji na kisasa, ni sawasawa tu na mchina anavyozaa na mswahili n.k.hamna jipya sana...
Sema kutengeneza pure binadamu kama sisi..hawawezi na hawataweza: Mwanadamu ni perfect machine - yenye utashi na personal decisions - ni mashine ambayo sio programmed HAKUNA mashine nyingine yoyote inawezakuwa hivyo..
Hata akili mnemba wakati mwingine anajibu kipumbavu mpaka mtu unastuka