Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Hakuna mtu anaekosa utu moja kwamojaRejea maandishi yangu.
Kijana kutoka "KOGELO" alituwakilisha vizuri uzunguni.
Tuonyeshe angalau mfano wa kina Colin Powell wawe jeshini uchinani!!
Wazungu wana utu japo kwa mbaali.
Kuna kitu cha kujifunza kwenye hii nukuu.That has renewed talk of reducing Japan’s reliance on China as a manufacturing base. The government’s panel on future investment last month discussed the idea of shifting manufacturing of high-added-value products back to Japan, and for production of other goods to be spread across Southeast Asia.
Wizi wa Technology au kukua kwa Technology yao....?!!!!
Badili neno wizi....kisha weka neno kukua
Kama wizi hataqao waliiba kwahio wawe wapole tuuuuNimesema wizi wa Technology, China bado sana kwenye Technology.
Why China’s Technology Theft Poses a Bigger Challenge Than That of the Soviet Union
Kama wizi hataqao waliiba kwahio wawe wapole tuuuu
UCHINA kinachowaeka pale walipo kwasasa niteknolojia walokua nayo haijalishi waliipataje kwawizi ama sio kwawizi
Mataifa makubwa yote kwawizi hawasemwi iwe wateknolojia ama mengineyo
Wakue tu wapole maama hakuna namna sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo Japan wameshaanza mkakati wa kutoa incentives kwa makampuni yao yaondoke China na Nchi za magharibi zikifanya hivyo China kwisha kazi kwani unemployment rate will shoot to double digits .
Sio kwamba we ndo unanunua vitu bei rahisi, na wafanye biashara wanatuletea vitu bei rahisi, the entire world ukosi vitu vilivyotengenezwa na mchina na watu wanatumia na viko na standards with high qualityAcha mjapan arudi kwenye biashara tumechoshwa na vitu fake vya China
TV Fridge kila kitu ni fake vya kutoka China
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unadhani kufanya hivyo kma kulala nakuamka ?!
Wakithubutu kufanya unistue MKUU
Ungewasaidia huo ujamaa wangekuja Africa kuuza karanga na kufanya dhulma ?unafahamu kuna wachina wanakuja hapa hata hela ya work permits wanashindwa ku afford? utasema huyo mtu kwao yupo njema?Ujamaa wahapo nchini kwenu unawahusu nini WACHINA maana wao WACHINA ujamaa unaoukataa wewe wao umewasaidia ila hapo nchini kwako kwan bado kuna ujamaa ?!
Tatizo lake ana mahaba hadi anasahau factsKwani hii article inahusu nini? Unadhani Serikali ya Wajapan ni wapuuzi mpaka waamue hivyo? Eti wewe unajua kuliko Serikali ya Japan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wengine kwa KUJIKWEZA!!!! Hahahahaha
Get exposed dude , mchina hana technology inayosimama kwa nguvu zake , zote ni copy na zina mizizi ya wamarekani na ujerumaniKama wizi hataqao waliiba kwahio wawe wapole tuuuu
UCHINA kinachowaeka pale walipo kwasasa niteknolojia walokua nayo haijalishi waliipataje kwawizi ama sio kwawizi
Mataifa makubwa yote kwawizi hawasemwi iwe wateknolojia ama mengineyo
Wakue tu wapole maama hakuna namna sasa
5G kaiba wap ?!Get exposed dude , mchina hana technology inayosimama kwa nguvu zake , zote ni copy na zina mizizi ya wamarekani na ujerumani
Hao ambao hawaendi Afrika kuuza hayo mahindi mbna wapo kwao huko wanaomba omba ?!Ungewasaidia huo ujamaa wangekuja Africa kuuza karanga na kufanya dhulma ?unafahamu kuna wachina wanakuja hapa hata hela ya work permits wanashindwa ku afford? utasema huyo mtu kwao yupo njema?
Akiwa Africa mchina ana practise ubepari sio ujamaa , unalijua hill?
Silicon inatoka kongo na mteja mkuu ni USA umewashawahi kumuona mmarekani huko kongo
Wangekua wanajua wasingeyaruhusu hayo mashirika kutoka JAPAN kwenda kuwekeza UCHINAKwani hii article inahusu nini? Unadhani Serikali ya Wajapan ni wapuuzi mpaka waamue hivyo? Eti wewe unajua kuliko Serikali ya Japan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wengine kwa KUJIKWEZA!!!! Hahahahaha
Kilichomsababisha akatoka kilikua kipi eti ?1Acha mjapan arudi kwenye biashara tumechoshwa na vitu fake vya China
TV Fridge kila kitu ni fake vya kutoka China
Wangekua wanajua wasingeyaruhusu hayo mashirika kutoka JAPAN kwenda kuwekeza UCHINA
Kama walishindwa kulijua hili wanashindwa kushindwa kujua kipi tena ?!
Sent using My COVID-19
unafahamu china ilizalisha masikini wengi ndio sababu makampun mengi yalipeleka viwanda huko kwa sababu ya cheap labour?Wangekua wanajua wasingeyaruhusu hayo mashirika kutoka JAPAN kwenda kuwekeza UCHINA
Kama walishindwa kulijua hili wanashindwa kushindwa kujua kipi tena ?!
Sent using My COVID-19
Yah nikweli kabisa ilizalisha(unaujua wakat gani huo) nasasa hv unajua tunaongelea wakati gani ?!unafahamu china ilizalisha masikini wengi ndio sababu makampun mengi yalipeleka viwanda huko kwa sababu ya cheap labour?
Nilitaka nikuonyeshe tu kama hata wao pia kuna muda wanakua hawana akili nandio maana wanafanya maamuzi yakipumbavu kama hayo waliyoyafanya yakupeleka makampuni yao huko UCHINA kwenda kuwatajirisha wenzaoKama Serikali yao iliwaruhusu waende kuinvest huko na sasa wamegundua ilikuwa ni makosa makubwa what is your problem for Government of Japan to use huge amount of incentives to change their previous decision!? [emoji15][emoji15][emoji15]