If all africa could be one. Our voice would be heard all over.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
definetely
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If all africa could be one. Our voice would be heard all over.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
If all africa could be one. Our voice would be heard all over.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
Hata hilo neno atheist wamekufundisha wao! Hivyo wakimsikia Mtu kama wewe unaongea na kuwaponda wanakudharau tu, na kukutafutia ndizi wakutupie!
Kumfundisha mtu isiwe sababu ya kumtawala kwani ww umefundishwa na walimu wangapi na wingapi wanakuamlia vitu vyakufanya? Kumbuka mwalimu ni njia tu anaweza kukufundisha lkn baadaye ukamzidi utashi
Ungeelewa kwa nini nilimjibu jinsi nilivyomjibu labda ungeelewa! Yeye anawahukumu watu wengine na Maisha yao na ndio mimi nikamwambia hata hilo neno atheist wamekufundisha hao hao Wazungu unaowahukumu!
Ndio, kama Mtu kakufundisha kila kila kwa nini asikutawale? Sio ndio ukweli wenyewe? Kwani Wazungu hawatutawali? Mbona hawawalazimishi Wachina kukubali huo ushoga? Si ni kwa sababu wamekataa kutawaliwa?
Bt me naona sababu kubwa ya western economies kututawala ni nguvu ya pesa,vitu vingine hivi ni subsidiary tu.
Bt me naona sababu kubwa ya western economies kututawala ni nguvu ya pesa,vitu vingine hivi ni subsidiary tu.
Na power ya pesa inajulikana mkuu , dunia nzima inaheshim pesa,, kama hatuwezi kuwa na pesa ya kutosha basi tunajitia kitanzi wenyewe .. kwa hiyo suala la msingi ni kujisimamia kiuchumi mambo ya kuletewa ushoga yatajiondoa yenyewe ..
Haki kwa mashoga la sivyo mtakula mizizi na div 5 zitaongezeka...mashoga oyeeeee!
definetely
If all africa could be one. Our voice would be heard all over.
Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
You mean United States of Africa? Sidhani kama kuna kiongozi yeyote wa Africa ataongea hayo baada ya Gaddafi.
Viongozi wa kiafrica na manafiki mno, kutwa kujipendekeza wakati sisi tuna mali ghafi ya kutufanya tuwe kiburi.