Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218

Mwishowe mtaja olewa sasa hivyo,kwa mwendo huo,yaani kila kitu Oman wawaletee tu nyie mkalishe kitako Ivyooo!,Mshukuru muumba mmekingwa na balaa kubwa.
 
Kwani Tanzania mna akili,big up Kenya ,Mliisha sahau KANU
 
Hoja zako zipo wapi?
Je, Zanzibar wana Bajeti ya Ulinzi , Mambo ya ndani, nje, Wizara za muungano na taasisi zake?

Hoja yangu ni kwamba hayo mambo uliyoyataja ni masuala ya Muungano, yanahudimiwa kutokana na mapato ya Serikali ya Jamhuri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Hayahudumiwi na Tanganyika wala na Zanzibar. Zanzibar Ina Mambo yake ya kuhudumia.

Kuna sehemu umetaja kwamba elimu sio suala la Muungano. Hapo umepotosha. Elimu ya msingi ndio ambayo sio ya Muungano.

Umezungumzia wanufaika wa Bodi ya Mkopo wa Elimu ya Juu kuwa Mkopo ule kwao ni Grants. Hivi hua mnalipwa kuandika uongo na kueneza chuki kwa wananchi?

Na hata habari ya umeme umeizungumzia ki upotoshaji.



Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Na kwenye kulipa zanziba watalipa walichochukuwa au inakuaje???
 
bakizeni machogo yenu hukohuko bara, mna vichwa kama Thierry Henry nchi nzima, nyie watu gani?
Wewe fala mtwana, mpumbavu usiye na akili kama wazanzibar wenzako nyamaza KIMYA. Mnaweza nini ninyi mabasha watupu huko mnanuka wapumbavu ninyi. Wewe kichwa chako kikoje wewe mtumwa mwenye bwana wa kiarabu.
 
Bila katiba mpya mtarajie zaidi ya hayo. From Chato to Zanzibar.
 
Kwani huu Muungano sisi tunaung'ang'ania una faida gani na sisi, kidhati kabisa mie sioni faida kwetu kwenye huu muungano, halafu kibaya zaidi ni sisi ndio tunafosi, wazanzibar wakitaka nchi yao inakuwa msala.

CCM inauhitaji sana huu muungano kama ulivyo no matter the cost. Na kwa vile hakuna mwenye ubavu wa kubadilisha, it’s a done deal.
 
Na infact Zanzibar kama visiwa vingine ingeshakuwa kama Dubai kitambo Sana ni vile Bara ndio wanaizuia..

Visiwa Maskini hapa Duniani ni Zanzibar na Commoros ila wakikaa peke yao Utalii wote ni Zanzibar.
Nini kimeizuia Comoro kuwa kama Dubai?
 
Na iwe hivyo. Kwa nini kaka mkubwa akope na mdogo ale tu bila kulipa?
 
Na iwe hivyo. Kwa nini kaka mkubwa akope na mdogo ale tu bila kulipa?
Anaekopa hapo ni baba sio Kaka mkubwa.

Kaka mkubwa nae huwa anakopewa kwenye biashara zake zisizoihusu familia namlipaji ni huyo huyo baba.

Umeipata hiyo au nikufafanulie?

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Hii hatari, mbona Zanzibar wamechukua mgao mkubwa hivyo?
Hadi kufika 2025, Zanzibar itakuwa kama Dubai! Nchi inayokopa ni Tanzania na walipaji ni Tanzania!! Zanzibar haiwezi kudaiwa maana haijakopa Zanzibar!!
 
Hadi kufika 2025, Zanzibar itakuwa kama Dubai! Nchi inayokopa ni Tanzania na walipaji ni Tanzania!! Zanzibar haiwezi kudaiwa maana haijakopa Zanzibar!!
Na mwaka huo Tanganyika itakuwa Kama China.
Nchi inayokopa ni Tanzania na walipaji niTanzania. Tanganyika haiwezi kudaiwa maana si iliyokopa. Nadhani tunaelewana

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Usinikumbushe wakati
Yani wangekuwa wanalipa deni kama sisi isingekuwa shida sema ni kwamba hata umeme kulipa huwa unawashinda!
Kiongozi wa juu wa Zanzibar bila kumung'unya maneno alisema tuko tayari mtukatie umeme tutawasha vibatari!! Baada ya kuona hawawezi kulipa deni la umeme!!
 
Nadhani wao wako mil 1 huku Bara tuko mil zaidi ya 40....
 
Wajinga ni sisi ndio tuliwao. Acha tuisome namba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…