Japan yatenga shs. Trillion 120 ili kushinikiza vijana kuzaa kwa wingi

Japan yatenga shs. Trillion 120 ili kushinikiza vijana kuzaa kwa wingi

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Takwimu zinaonyesha taifa la Japan (kizazi cha waJapan) kinaenda kufutika kabisa ndani ya miaka 100 ijayo. Hii inatokana na kiwango kidogo zaidi kuwahi kushuhudiwa cha uzazi huko Japan, ambapo kwa wastani mwanamke mmoja anazaa mtoto mmoja, ‘fertility rate ni 1.2’.

Maana yake wanashindwa hata kureplace watu waliopo ambao tayari wengi ni wazee tayari, na vijana ndio wamegoma kuzaa, hivyo serikali imetenga hizo dollar bilioni 40 ili kuwapa motisha vijana waweze kuzaa.

IMG_9660.jpeg


 
Elezea vizuri pesa hiyo ni Kwa ajili ya ruzuku maalumu Kwa vijana na ili waweze hata kupunguza muda wa kazi na wapate muda wa kuwasiliana na wenza wao lakini pia huduma Kwa mwanamke wa kijapan atakaezaa Kwa mtoto kuhudumiwa na wanasema wataweka mpango pia wa malezi bora Kwa watoto hao
 
Dah! Vijana wabongo wa vijiweni wakiona andiko lako watasikitika sana kwanini hawakuzaliwa Japan kujipatia mbususu huku unalipwa!
Hata huku baada ya ya miaka 10 vijana hawatazaa maisha yanatupeleka puta sanaa.
Watu wataanza kuwa bize na maisha sana na utafutaji kuliko familia na dalili zimeshaanza kuonekana single mothers wanaongezeka daily unadhani watoto wa hao single mathers watakuja kupenda kuwa na familia sio rahisi.
 
Elezea vizuri pesa hiyo ni Kwa ajili ya ruzuku maalumu Kwa vijana na ili waweze hata kupunguza muda wa kazi na wapate muda wa kuwasiliana na wenza wao lakini pia huduma Kwa mwanamke wa kijapan atakaezaa Kwa mtoto kuhudumiwa na wanasema wataweka mpango pia wa malezi bora Kwa watoto hao
Kwahiyo Japan anatenga pesa kwa ajili ya kumotivate vijana kunyanduana tu, ambayo ni mara 4 ya bajeti ya Tanzania? Hii dunia kwanini inakosa usawa kabisa..?!!
 
Hata hapa bongo kijana unaridhikaje kuzaa watoto wawili tu? Kama mwanamke wako hataki kuongeza kazae na wanawake wengine upate hata watoto kumi au zaidi. Watu tumepewa agizo la kuzaana halafu wanatokea majuha wa uzazi wa mpango wanataka tuzae watoto wachache. Huu uchache si mzuri huko mbeleni kizazi kitapotea kabisa
 
Kuna wakati nilitamani nipate watoto wengi kwa wanawake tofauti kama mmoja hawezi kunizalia watoto wengi basi nipate watoto kwa kina mama wengine hata mtoto mmoja mmoja kwa wanawake kumi inatosha. Tuzae kwa wingi kadri afya za miili yetu zinavyoruhusu
 
Hapa bongo utakuta kijana chini ya miaka 30 ana maisha mazuri, hela anazo, kajenga jumba kali la kisasa kubwa lakini kazaa watoto wawili na hana mpango wa kuongeza mtoto na mke wake ni binti mbichi wanasema imetosha hawazai tena. Jumba kubwa wanaishi yeye, mke wake, kijakazi wao na hao watoto wawili tu. Ni maisha ya bata kila uchao, watoto wanasoma shule za mabasi ya njano
 
Hata huku baada ya ya miaka 10 vijana hawatazaa maisha yanatupeleka puta sanaa.
Watu wataanza kuwa bize na maisha sana na utafutaji kuliko familia na dalili zimeshaanza kuonekana single mothers wanaongezeka daily unadhani watoto wa hao single mathers watakuja kupenda kuwa na familia sio rahisi.
ukisikia kuharibika kwa maadili ndiyo hivyo. Single mother wenyewe ndio wametaka wawe hivyo, hawataki kuishi na mwanaume wanaona wanabanwa. Wanachotaka ni watoto mmoja au wawili na ligi ya kuzaa inaishia hapo. Single mother wanajizali na mwanaume wanayemtaka ukizaa naye anakutimua hataki muweke kambi pamoja mlee watoto kwa kuwa ana hela za kuwatunza watoto
 
Tatizo hawa Jap ni wachoyo sana! Achana na Uchoyo wa kunyimana mbususu baina ya vijana. Hao wananyima hadi fahari ya Macho kwa watalii kutazama milima yao.
 
Elezea vizuri pesa hiyo ni Kwa ajili ya ruzuku maalumu Kwa vijana na ili waweze hata kupunguza muda wa kazi na wapate muda wa kuwasiliana na wenza wao lakini pia huduma Kwa mwanamke wa kijapan atakaezaa Kwa mtoto kuhudumiwa na wanasema wataweka mpango pia wa malezi bora Kwa watoto hao
Daaah.. Mabaharia tunakwama wapi kuzamia Japan tujilie vipapatio vyeupe pee 🤔😁

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Hapa bongo utakuta kijana chini ya miaka 30 ana maisha mazuri, hela anazo, kajenga jumba kali la kisasa kubwa lakini kazaa watoto wawili na hana mpango wa kuongeza mtoto na mke wake ni binti mbichi wanasema imetosha hawazai tena. Jumba kubwa wanaishi yeye, mke wake, kijakazi wao na hao watoto wawili tu. Ni maisha ya bata kila uchao, watoto wanasoma shule za mabasi ya njano
"Watoto wanasoma shule za mabasi ya njano".

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Back
Top Bottom