Katika hali kama hii heshima lazima ipotee.Maajabu haya.
Toka nchi yenye kuheshimiwa duniani kote hadi kuwa kichekesho cha dunia?
Katika hali kama hii heshima lazima ipotee. View attachment 1699670
Kwaiyo mnashauri serikali itangaze kuwe na lockdown!!!!? watu watakufa njaaWacha dunia itutenga tu.
Sio lock down,watu wasisitizwe kuchukua tahadhari. Kwa sasa watu wanaenda ka mikondoo tu.Kwaiyo mnashauri serikali itangaze kuwe na lockdown!!!!? watu watakufa njaa
Mwenyewe unafurahi ulivyo fala "Miafrika ndivyo tulivyo"Uchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Hivi sometimes huonagi aibu.?Wanasingizia tu corona wana hasira tu za miradi ya barabara kupewa wachina badala ya kampuni yao ya konoike
Uchumi uyumbe vipi mkuu, uchumi wako ndio utayumba, watu wenye HIV zao, wanavyoogopaUchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Yaani watu wanaacha kazi zilizotukuka wanakimbilia siasa. wakienda huko wanapoteza kabisa akili zao za awali.Viongozi wetu ubongo zao zina tunda ya ubuyu
Mpaka makanisani wanakwambia mfalme akisema ndiyo sahihi, maana unapunguza hofu ya watu kupata Malaria hata kama wanapata malaria na kufa.Kwa nini watu wanaamua kukumbatia mambo haya. Ni wazi sasa kwamba mfalme akisema mfano, mbu haenezi maleria watu wanaweza kushangilia tu ili mradi tu wanamwamini. Unawezaje kuiambia dunia yote hakuna korona Tz. Au ni ile tafiti ya kupima mafenesi..
Mpaka dikteta akimbie mwenyeweUchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Hadi lini tutaongozwa na mintunga!!???TOKYO - Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan imetoa onyo kusitisha au kuahirisha kusafiri kwenda Tanzania kwa sababu ya hali mbaya ya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus.
=========
February 10, 2021 (Mainichi Japan)
Japan warns against traveling to Tanzania as country denies existence of coronavirus
This screenshot from the Ministry of Foreign Affairs of Japan's website shows travel warnings for Tanzania. (Mainichi)
TOKYO -- Japan's foreign ministry issued a warning on Feb. 9 to consider suspending or postponing travel to Tanzania due to the rapidly worsening coronavirus infection situation as the African country's president denies the existence of COVID-19.
The Ministry of Foreign Affairs of Japan said the following about Tanzania, home to Africa's highest peak Mount Kilimanjaro at 5,895 meters: "In June (2020), the president declared that 'God has saved Tanzania from the coronavirus,' making it difficult to officially acknowledge the existence of the virus or cases of infection."
According to the ministry, the Tanzanian government "denies the existence of the infectious disease itself and raises doubts about the effectiveness of vaccines."
The foreign ministry's sense of crisis regarding Tanzania is growing, as seen in the Tanzanian "Infectious Spot Information" for the general public on the ministry's website. It uses a series of unusual expressions, including the following: "The government's official release of infection statistics was suspended on May 7, 2020, and has not been updated from 509 infection cases and 21 deaths"; "It could be misconstrued as a relatively safe country";
"There are no Tanzanians wearing masks outside"; "There has been a rush of foreign tourists since the 2020 Christmas season, and the rapid spread of the disease is being reported this year"; "Hospital beds seem to be full all the time"; "The country has seen increasing reports on the deaths of members of parliament, government officials, and popular singers"; and "Only a very small number of Tanzanians are taking preventive measures."
(Japanese original by Ryuko Tadokoro, Political News Department)
Japan warns against traveling to Tanzania as country denies existence of coronavirus - The Mainichi
TOKYO -- Japan's foreign ministry issued a warning on Feb. 9 to consider suspending or postponing travel to Tanzania due to the rapidly worsening coromainichi.jp
Ugonjwa upo ila umebatizwa jina jipya:TOKYO - Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan imetoa onyo kusitisha au kuahirisha kusafiri kwenda Tanzania kwa sababu ya hali mbaya ya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus.