#COVID19 Japan yatoa tahadhari kusitisha au kuahirisha safari za Tanzania kufuatia hali mbaya ya maambukizi ya Covid-19

#COVID19 Japan yatoa tahadhari kusitisha au kuahirisha safari za Tanzania kufuatia hali mbaya ya maambukizi ya Covid-19

Majirani zetu waliokuwa wanatoa takwimu za wagonjwa na vifo vya covid kila siku naona sasa hivi baada ya kutafuta pesa za mabeberu za covid sasa hivi wapo kimya...nashangaa sisi TUNAOMTANGULIZA MUNGU MBELE NDIO TUNAANDAMWA!
Lakini mbona watanzania wanaosafiri nje ya nchi wakiwemo wanamichezo huko wakipimwa wanaonekana hawana corona?
MUNGU OYEEE!, CORONA ZIII!
 
Maajabu haya.

Toka nchi yenye kuheshimiwa duniani kote hadi kuwa kichekesho cha dunia?
Katika hali kama hii heshima lazima ipotee.
IMG_20210211_074347.jpg
 
Hiyo hali mbaya ya maambukizi iko sehemu gani, mbona sisi huku Namtumbo tunadunda tu na tunajamiiana kwa kwenda mbele hakuna maambukizi?
 
Uchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Mwenyewe unafurahi ulivyo fala "Miafrika ndivyo tulivyo"
CcNyaningabu
 
Uchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Uchumi uyumbe vipi mkuu, uchumi wako ndio utayumba, watu wenye HIV zao, wanavyoogopa
 
Viongozi wetu ubongo zao zina tunda ya ubuyu
Yaani watu wanaacha kazi zilizotukuka wanakimbilia siasa. wakienda huko wanapoteza kabisa akili zao za awali.
Hii siasa imegeuka kama dini mpya na mtume mpya.
Mtume anatukuzwa na kusujudiwa.
Hata kama mfalme hapendezi watapaaza sauti zao, Kapendezaaaaa!!!
Ipo haipooo, Haipoooo na ole usikike ukisema, Ipoooo!
Nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwa nini watu wanaamua kukumbatia mambo haya. Ni wazi sasa kwamba mfalme akisema mfano, mbu haenezi maleria watu wanaweza kushangilia tu ili mradi tu wanamwamini. Unawezaje kuiambia dunia yote hakuna korona Tz. Au ni ile tafiti ya kupima mafenesi..
Mpaka makanisani wanakwambia mfalme akisema ndiyo sahihi, maana unapunguza hofu ya watu kupata Malaria hata kama wanapata malaria na kufa.

So viongozi wa pande zote wote wana hofu na maisha yao.
 
Uchumi wa nchi utayumba sana. Pia naona kama MABEBERU AKA Nchi za Wafadhili wamechukua attitude ya “let’s wait and see” kuhusu hii Serikali haramu hivyo kusimamisha misaada/mikopo yao kimya kimya. Kama hii dhana yangu ni kweli na hili shambulizi la kutisha la corona litaendelea basi tusishangae kusikia punguzo kubwa la Wafanyakazi Serikali AKA fagio la chuma.
Mpaka dikteta akimbie mwenyewe
 
KWANI LINI JAPAN ILIWAHI KUTOA TAMKO KURUHUSU WAJAPANI KUTEMBELEA?
 
TOKYO - Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan imetoa onyo kusitisha au kuahirisha kusafiri kwenda Tanzania kwa sababu ya hali mbaya ya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus.

=========



Japan warns against traveling to Tanzania as country denies existence of coronavirus​

February 10, 2021 (Mainichi Japan)

This screenshot from the Ministry of Foreign Affairs of Japan's website shows travel warnings for Tanzania. (Mainichi)'s website shows travel warnings for Tanzania. (Mainichi)

This screenshot from the Ministry of Foreign Affairs of Japan's website shows travel warnings for Tanzania. (Mainichi)

TOKYO -- Japan's foreign ministry issued a warning on Feb. 9 to consider suspending or postponing travel to Tanzania due to the rapidly worsening coronavirus infection situation as the African country's president denies the existence of COVID-19.

The Ministry of Foreign Affairs of Japan said the following about Tanzania, home to Africa's highest peak Mount Kilimanjaro at 5,895 meters: "In June (2020), the president declared that 'God has saved Tanzania from the coronavirus,' making it difficult to officially acknowledge the existence of the virus or cases of infection."

According to the ministry, the Tanzanian government "denies the existence of the infectious disease itself and raises doubts about the effectiveness of vaccines."

The foreign ministry's sense of crisis regarding Tanzania is growing, as seen in the Tanzanian "Infectious Spot Information" for the general public on the ministry's website. It uses a series of unusual expressions, including the following: "The government's official release of infection statistics was suspended on May 7, 2020, and has not been updated from 509 infection cases and 21 deaths"; "It could be misconstrued as a relatively safe country";

"There are no Tanzanians wearing masks outside"; "There has been a rush of foreign tourists since the 2020 Christmas season, and the rapid spread of the disease is being reported this year"; "Hospital beds seem to be full all the time"; "The country has seen increasing reports on the deaths of members of parliament, government officials, and popular singers"; and "Only a very small number of Tanzanians are taking preventive measures."

(Japanese original by Ryuko Tadokoro, Political News Department)

Hadi lini tutaongozwa na mintunga!!???
 
Hasira zao Japan za kampuni yao ya konoike kuporwa tenda za barabara na kupewa wachina!!! Corona kisingizio tu
 
Wanyarwanda wakitoa statement kama hiyo ya Japan naomba munitag
 
TOKYO - Wizara ya Mambo ya Nje ya Japan imetoa onyo kusitisha au kuahirisha kusafiri kwenda Tanzania kwa sababu ya hali mbaya ya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus.
Ugonjwa upo ila umebatizwa jina jipya:
'Changamoto ya kupumua'
 
Japan hawanaga ujinga- wajapani ni wazungu.... very smart nation.
 
Corona imewavuruga watu hakuna anayejua usahihi wa anachokifanya kila mtu anajaribu kufanya anachodhani kinafaa,kwa kifupi ni kutapatapa tu.
 
Tumeambiwa kuna shida za upumuaji tuendelee na maisha...alisikika mmliki wa Tanzania
 
Back
Top Bottom