Japhet Hasunga: Deni la kodi ya Ths trilioni 300 za makinikia ni aibu kwa nchi, hazina uhalisia

 
Tufahamishe ww unaejua
Migodi yote Duniani hua chini ya control Kwa familia Moja tu ila hua na maajent kama wote Leo utawatimua Barick utajua umewin kesho inajifanya Kuja kampuni ambayo itaendana na matakwa Yako,utaona hapo sawa kumbe Ndio walewale wanabadirika kama kinyonga baada ya siku kadhaa utakuta Ile kampuni imeuza hisa Kwa wale wale Barick baada ya kushindwa kujidndesha mwisho Barick & co wanarudi Tena kuuendesha mgodi kama mwanzo na wewe ukibaki umetoa macho TU!
Hii Dunia Ina wenyewe na wenyewe ndio kina
Oppenheimer Family & co
Wanaomiliki Migodi yote duniani na wanacontrol masoko yote duniani Kwa kupanga Bei NK!
 
eti tundu ni sawa na bunge ima mmh mawazo ya hovyo kabisa
 
OK so mchango wako ni upi? Atleast tujaribu ku establish na kuimpliment policies ambazo zitawabana kidogo na kutupa return km hii ya trillion 300 au tuwaachie tuu wale wanavyojisikia? Maana nataman kujua ur point point of argument.
 
Nchi yetu inakabiliwa na tatizo kubwa Sana la unafiki na uwepo wa njaa ya tumboni na kichwani. Siku watanzania tukiacha unafiki basi nchi ina move.
 
Huyu ni mpuuzi anastahili kupuuzwa. Wakati wanaunganisha hizo benki yeye hakuwapo?
 
OK so mchango wako ni upi? Atleast tujaribu ku establish na kuimpliment policies ambazo zitawabana kidogo na kutupa return km hii ya trillion 300 au tuwaachie tuu wale wanavyojisikia? Maana nataman kujua ur point point of argument.
Hakuna Kwa kuwabana Hawa jamaa labda ubanwe wewe,wewe unadhani Toka waanze kuchukua Madini wametoa Tani na karat ngapi?
Mimi Sina msaada wowote na sitaweza kufanya kitu labda niandike kujifurahisha au kukufurahisha wewe ila ukweli mchungu Toka walipoanza kuvuna kama taifa hakuna tulichonufaika zaidi ya kupoteza tu na kuachiwa mashimo,
Ni Yao hayo waache wabebe tu hata tukibaki nayo tutafanyia Nini zaidi ya kuwapa wao Tena na Sisi wanatupa papers zisizo na thamani ukilinganisha na kitu tunachotoa?
Hii Ndio Tanzania!

Hii Ndio Afrika tuna Rasilimali lakimi hatuna matumizi nazo kuumia kupo pale pale!
 

Wewe MDA uliiona?
 
Uelewa wako ni mdogo sana huwezi elewa chochote hapo. Wewe unajua c&p tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…