beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Mbunge wa Vwawa, Japhet Hasunga amesema Vijana wengi wana wamesoma hadi ngazi ya Chuo na kupata Elimu lakini Ajira imekuwa changamoto. Akizungumza Bungeni amesisitiza hatua zisipochukuliwa, litakuja kuwa bomu kubwa.
Amefafanua, "Serikali imesema itatoa Ajira zaidi ya 32,000 lakini hiyo itakuwa hatua moja. Vijana wanaomaliza ni takriban 90,000 - 100,000 kwa Mwaka kwahiyo haitoshi. Pia, sehemu wanayoenda kuajiri zaidi ni Elimu na Afya. Zipo Taaluma nyingine zinahitaji kutoa Mchango lakini Ajira inaendelea kuwa tatizo".
Amefafanua, "Serikali imesema itatoa Ajira zaidi ya 32,000 lakini hiyo itakuwa hatua moja. Vijana wanaomaliza ni takriban 90,000 - 100,000 kwa Mwaka kwahiyo haitoshi. Pia, sehemu wanayoenda kuajiri zaidi ni Elimu na Afya. Zipo Taaluma nyingine zinahitaji kutoa Mchango lakini Ajira inaendelea kuwa tatizo".