Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Tunaweka kumbukumbu tu na wala hatusahau.

1. Damu ya Sativa
2.Damu ya Mzee Kibao
3. Damu ya Soka
4. Damu ya Mbise
5. Na Damu za waliotekwa wote na kuumizwa bila haki

Hizi damu zote hizi zinalia na zinatafuta haki.
 
Wacha moto uwake!
 
Sidhani unayosema yatatenda kwa 2025. Actually Karma ambayo inatoka kwa Mungu mwenyewe huwa inakuja ktk majira/nyakati ambazo sio watu wala wahusika wenyewe wanahisi.

Mungu huwa anakuja kupasua nyakati ambazo watu wamejisahau na akija kupasua anapasua haswa. Kila mtu atakayesikia lazima masikio yake yawashe.
 
!
 
Njaa inakusumbua ila usipuuzwe
 
Basi tuletee Mayala og kwenye hili .
Kwenye hili hoja zake alishazitoa hapahapa JF zaidi ya mwaka uliopita. Na baadae akachukua likizo mpaka haya ya CCM yalivyotokea bado yupo likizo. Akiibuka ni kwa wagombea wa 2030.
 
Lisu hawezi ingia ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…