Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Mwaka wa uchaguzi , Kuna mambo mengi Sana. Lakini ngojea tuone " the voice from within " inamwambia nini
Mungu Muumba asolala Wala kusinzia Amchukue mkononi mwake Amvushe salama. Jicho la Dubu, Simba Wala mbwa mwitu halitamwona.
 
Sisi wengine tunawaheshimu sana nyie mnakuja na hizo sauti from within.
Malaika ndiyo nyinyi hivyo sisi tunakaa mguu sawa tu ili isiwe surprise.
 
Ikiwa ni uasi, au usaliti wa aina yoyote hauna nafasi. Fikiri, mtu anavyojisikia na kuumia anaposalitiwa. Hakuna unafiki,usaliti Wala Hila itafanikiwa Mwaka huu2025 Mark these words.
 
Atleast alikubali kuwa one day i will be no longer with you but he still did whats right according to his beliefs.
 
Ukiwa upande wa shetani lazima akumalize tu
 
Kuna watu humu jamvini hupaswi kabisa kupuuza wanachokiandika akiwemo Paschal, TumiaAkili, Britanicca, TumainiEl, Maharagwe sijui ya ukweni nk.
Kama huna cha ku comment busara ni kuwa msomaji tu.
Ulivyomtaja huyo TumainiEl nimekuona hamnazo ama hufuatilii vizuri mambo wanayoandika watu humu.

Huyo ni wale walokole machizi
 
Sema CCM imechokwa mtandaoni humu ila huku mtaani ya moto sana sana
Laiti ungejua jamii ya humu ndio ile ile iliyoko mtaani usingesema haya uliyoyasema. Tofauti ni kuwa kui diss CCM mtaani imekuwa ni nongwa kwahio zinasikika sauti za upande mmoja wa wale wanufaika tu.

Majority ya walalahoi hawataki hata kuisikia. Ila hawaongelei mbovu kwa sababu za kiusalama. Hamna anayetaka kuacha mkewe na watoto kwa chuki za wapambe tu.
 
Mleta mada kaja na ushauri mzuri, ila sasa je ushauri wake unaweza zingatiwa, Binafsi kiroho ninayo mengi tu Mungu wangu amenionesha wala sio leo , ila hata nikiyasema nani wakuyasikiliza , hakuna cha kupanga hapa
Mimi naonaga watu wa aina yako ni wasanii na matapeli. Kama sio basi mna tabia ya MAJIVUNI na UNAFIKI , kama unafaham jambo na kama una nia njema kwanini usiliseme, kama unajua halaf unasema huna haja ya kusema ina mana Gani Sasa ni kama umekuja kutuchora na kutukebehi au kujionesha kua unajua sana ya rohoni. Unadhani ni wewe pekee TANZANIA hii anayejua, watu wameshachungulia na wanajua, baadhi wamekaa kimya na wengine wameanza kusema, wanachokijua au walichokiona au wanachoona, ila waliokaa kimya hawajjaja kujimwambafai kua wanajua sana halaf waseme hatusemi, ni matured enough kukaa kimya.
 
Yule Sheikh alikuwa ni mtaalamu kweli kweli wa Elimu za Nyota !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…