Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

sidhani kama kuna sauti inayoweza kusikika kwake kwa sasa zaidi sifa njema kumuhusu.

hizo sifa jinsi zilivyo nyingi si rahisi sauti nyingine kupenya hadi kumfikia , labda sana ule msemo wa kenge kusikia kwake hadi damu zimtoke masikioni utakapotimia kwake.
 
UKo sahihi, na mi nilisikia safari yake ilishapangwa long long time imepangwa atwaliwe kabla. ya dash dash dash
 
Jangwani 2005 ilikuwa Hatari na Nusu 🐼
 
Hizi kauli ndizo zilizomponza Mwendazake.
 
Wamzungukao Mfalme wamemjaza matope kichwani huku wakimwimbia nyimbo za kumsifu hata nguo alizovaa na hata kutembea kwake...na kumuumbia sifa hewa na kumtafutia vi-tuzo uchwara .. Behind The Scene..wakimwandalia anguko baya na asipokuwa makini atalia na kusaga meno !
 
Alishasema Yeye ni chura Kiziwi, sasa asikie nini tena? Kimsingi hapendeki na kwa sababu kajifanya kuwa chura Kiziwi Wacha aendelee kukumbatia yale anayoyapenda ili akili na moyo wake vifarijike. Hauwezi ukakubalika na kila lakini fanya mambo yatakayo Acha kumbukumbuku nzuri akilini mwa watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…