Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Japo hakuna ajuaye sababu za kutwaliwa kaka, isipokuwa yeye, kuna watu saw it coming, wakasema, wakapuuzwa, akatwaliwa. Dada ukisikia usipuuze hili

Pascal,hii imekaaje maana nasikia ameombewa ulinzi
Kweli hii dunia kila mtu aishi anavyoamini tu. Hadi kuwaombea viongozi sasa imekuwa ni lazima! Yes, lazima. Kiongozi mkuu katika imani ya waislam anawaagiza masheikh wote nchi zima wamuombee mama. Mungu tunusuru na watu hawa na usikilize tu maombi ya mtu mmoja mmoja yasiyolazimishwa na mtu mwingine kufanyika.
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.

Paskali
Mkuu habari.
Mimi kama mimi naamini sauti ya ndani na macho ya ndani, Dada anawaamini sana 'watu wake' ....
Dua tumefanya,na mimi nafanya dua mwenyewe, naendelea kufanya...je Dua pekee zitatutosha?.
 
Wanabodi,

Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.

Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.

Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.

Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.

Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.

Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.

Paskali
Too late
Labda aokoke na Kwa alivyo hawezi

So ndivyo itakavyokua
 
Nadhani dada analijua hilo. Kwamba hata majuzi kati mjomba wetu alijisikia tu kwenda kumsalimia dada lakini dada akajifungia ndani kimyaaaa, kifupi hakumkaribisha mjomba. Acha wee mjomba amelalamika balaa kwa kitendo hicho cha dada. Lakini najua dada hawaamini kabisa wajomba, mashangazi, nk.
 
Kama ni kweli hilo tukio litawezekana basi
huo utaratibu wa kutwaliana utakuwa ni mtindo endelevu!

Nini sasa kifanyike kuondoa huu utaratibu wa umwagaji damu kwa viongoz wetu waliolewa madaraka?
Mimi sijui nini kinaendelea hapa!!!
Kuna watu ukiwapa nguvu sana, kuja kuwanyang'anya ni vigumu sana..Wameshapewa nguvu,.
Na wenyewe wamegawiana nguvu, Japo tuna nafasi ya kujenga upya ila nani wa kuanza.. wakitolewa huku wanapelekwa kule, uwezo wanao na nguvu wanayo..
Wazee' ndio wanaweza kulitatua hili ki aina..
 
Abdul mwanae yuko wapi ajaribu kumponya mamaye..?

Na njia ya kumponya ni moja tu. Ni kumwambia kumshauri:

"...Mama yatosha, waachie ardhi na nchi yao. Wewe twende nyumbani Kizimkazi ukampumzike. Na kwa namna tulivyolimbikiza, utaishi hata miaka 30+ mbele kama babu Ally Hassan Mwinyi alivyojaliwa kuishi miaka 90+.."

Lakini sijui hata kama watoto wake wana HEKIMA hii. Walishanogewa na kulewa madaraka ya mama yao. Sasa ni mwendo wa inzi kufikia kwenye kidonda tu...!
 
Back
Top Bottom