4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mzee mgaya kwa sasa anasinzia kila wakatiMzee Mgaya hajambo? Kwani yeye anasemaje kuhusu Chalamila🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mgaya kwa sasa anasinzia kila wakatiMzee Mgaya hajambo? Kwani yeye anasemaje kuhusu Chalamila🤣🤣🤣
Kweli hii dunia kila mtu aishi anavyoamini tu. Hadi kuwaombea viongozi sasa imekuwa ni lazima! Yes, lazima. Kiongozi mkuu katika imani ya waislam anawaagiza masheikh wote nchi zima wamuombee mama. Mungu tunusuru na watu hawa na usikilize tu maombi ya mtu mmoja mmoja yasiyolazimishwa na mtu mwingine kufanyika.Pascal,hii imekaaje maana nasikia ameombewa ulinzi
Mkuu habari.Wanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.
Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.
Paskali
Too lateWanabodi,
Haya ni miongoni mwa mabandiko yangu ya kikubwa, weka mbali na watoto, hakuna kutaja taja majina.
Hili ni bandiko la kumhusu yule Kaka yangu, aliyetwaliwa. Japo hakuna binaadamu yeyote ajuaye sababu halisi za kutwaliwa kwake, isipokuwa YEYE mwenyewe pekee, ndie Aliyetoa, kisha Akatwa, ila kuna watu, “Saw It Coming!“ wakasema, wakapuuzwa, as a result, Kaka akatwaliwa!.
Sasa hao watu wenye jicho hilo la tatu, wanaviona viashiria vya same same likely scenario na wanasema kwa nia njema na dhamira safi ya kumsaidia huyu Dada.
Dada yangu mpenzi, nakuomba sana, ukisikia kitu, sio lazima ukizingatie kila utakacho sikia, maana utasikia vingapi?, ila sikiliza kila utakacho sikia, na ukiisikia sauti kutoka ndani yako, the voices from within, ikimwambia kitu, aifanyie tathmini hiyo sauti kama ni sauti ya YEYE Mwenyewe, au ni yeye tuu!, ikitokea ni sauti kwake YEYE, then, usiipuuzie!.
Leo asubuhi nikiwa bafuni naoga ili kwenda kwenye shughuli zangu, nikaisikia sauti, voices from within, ikiniambia, ukisikia kitu, mwambie tuu Dada yako, kuna watu wamemzunguka, wakimwimbia nyimbo za sifa na mapambio, huku wana jicho la tatu, kuna vitu wanaviona, hawamwambiii, wameamua kunyamaza, hawasemi ila ukweli wanaujua, na wana uwezo wa kumsaidia kwa kumwambia ukweli, ila wanachelea labda Dada atakasirika.
Sauti hiyo imeniambia Dada akiambiwa, akisikiliza, itamsaidia, ila akisikia akapuuza, yule YEYE, anaweza kufanya jambo!.
Paskali
Fanyeni ila ataondokaMkuu habari.
Mimi kama mimi naamini sauti ya ndani na macho ya ndani, Dada anawaani sana 'watu wake' ....
Dua tumefanya,na mimi nafanya dua mwenyewe, naendelea kufanya...je Dua pekee zitatutosha?.
Tutamlinda....Fanyeni ila ataondoka
Uko sahihi kabisaKuna watu humu jamvini hupaswi kabisa kupuuza wanachokiandika akiwemo Paschal, TumiaAkili, Britanicca, TumainiEl, Maharagwe sijui ya ukweni nk.
Kama huna cha ku comment busara ni kuwa msomaji tu.
Hata achinje milioni ila ndo hivyoHuyu analindwa na majini ondoa shaka na kila weekend lazima achinje ngamia
Ni DUA sio MAJINI...Dada yako ameomba Masheikh Watume Majini ya Kumlinda na kumvusha salama
Labda akatae tusimlinde..ila akikubali tutamlinda..Nani? Mwanadamu?
Tutarudi hapa ,utaniambia!
Mimi sijui nini kinaendelea hapa!!!Kama ni kweli hilo tukio litawezekana basi
huo utaratibu wa kutwaliana utakuwa ni mtindo endelevu!
Nini sasa kifanyike kuondoa huu utaratibu wa umwagaji damu kwa viongoz wetu waliolewa madaraka?
Mwache achakate na kuchakachua upya.Kwanza kabisa idadi ya wapiga kura ilikuwa ya kupika. Watanzania tupo 62m kwa mujibu wa sensa ya 2022. Ikasemekana waliojiandika kupiga kura ni 30m? Toka lini watu wazima idadi yao ikalingana na watu wazima? Niendelee au nikuache uchakate kwanza hiyo?
MTumishi Rabbon sema neno lolote la hekima tafadhali.Loh!