Japo ligi inaelekea ukingoni, NBC bado wanayonafasi ya kuboresha tangazo lao la "kupeleka mbele soka la nyumbani"

Japo ligi inaelekea ukingoni, NBC bado wanayonafasi ya kuboresha tangazo lao la "kupeleka mbele soka la nyumbani"

Imalamawazo

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2021
Posts
1,343
Reaction score
3,269
Kwa wadau wa Sports Marketing, mnaonaje tangazo la mdhamini wa ligi kuu (NBC Bank)?

Kwa maoni yangu, tangazo la mdhamini wetu wa ligi kuu (NBC Bank) ni zuri lakini haliwatangazi. Tangazo lao, haliwatangazi bali linaonesha tu kuwa nao bado wapo.

Segement ya huduma zao ipo kama haipo. Mpaka ligi inaisha wataishia kumtangaza golikipa mdaka mishale tu. Lakini hawajachelewa, watumie muda uliosalia kubadili tangazo lao ili wanufaike na udhamini huo wa ligi kuu.

Wasalaamu
 
Marketing through sports is concerned with the promotion of different goods, services or causes by piggybacking on the popularity of sports and athletes. This is the sector that deals with athletes and sports teams endorsing different products, as well as the use of sporting events by sponsors to advertise their products to the viewers
 
Kwenye hilo Tangazo Umeona Kbs na nembo Yao...?
Unatakaje Sasa..! Bawacha kila sehemu hamkosi.!
 
Kwenye hilo Tangazo Umeona Kbs na nembo Yao...?
Unatakaje Sasa..! Bawacha kila sehemu hamkosi.!
kwenye marketing nembo ina kazi yake lakini bado ubunifu wa tangazo la huduma una nafasi yake. Kwa hilo unawalaumu bure bawacha
 
Back
Top Bottom