Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Uchaguzi 2020 Japo ni mchungu 'Kumesa' lakini ndio ukweli wenyewe; watakaorudi Bungeni ni 'wa kijani', kubali kataa. Mwenye masikio na asikie!

Kuwa na upinzani wa kuturudisha kwenye ukoloni tulikotoka ni bora tubakie huru tukiwa na chama kimoja, wakishindwa kuelewa nini watanzania tunahitaji watachelewa sana, wasome alama za nyakati, upinzani nchini umepuuzwa baada ya kusariti Taifa na kuanza kushirikiana na agents of neocolonialism kuhujumu juhudi za Magufuli, kumtukana na kumdhihaki Rais kwa uongo mala kaiba mala vile wakati watanzania tunaona anayofanya kumeondoa imani hata ile ndogo ilokuepo kwa upinzani.
Pole nadhani hujui unachokijua.
 
Mtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?

Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?

Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!

Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.

Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Wapinzani watakuwepo,Ila wapinga maendeleo na vibaraka wa mabeberu ndio wasio takiwa
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Watarudi kwa sababu na wewe unashiriki dhambi hiyo kwa uandishi wako
Unafurahia machungu ya wengine
Hebu punguza kebehi zako wakati mwingine
Unakera
Kulia kwangu leo imegeuka furaha kwako

Unabariki dhuluma za sisiem
Hali ikiwa ndivyo si you usishangae
 
Japo siungi mkono utawala wa ccm kwa muda wote ila upande wa upinzani umefeli kwa kiasi kikubwa sana.

Wangejikita kwanza kujenga msingi imara ndio wagombanie madaraka.

Wangejikita kuingia mioyoni mwa watanzania wengi badala wa hawa wa mihemko.

Wangejikita kufanya maendeleo kwa wananchi ama sehemu walichaguliwa badala ya kupambana na serikali ccm na polisi.

Wangejinyima kile walichonacho kama sadaka kwa watanzania ama jamii kama kujenga madarasa vyoo ofisi vifaa.

Hata kwenye huduma za afya walao hata panadol kwa zahanati ya uma nk

Hata kuhamasisha usafi kwenye jamii,msaada kwenye majanga nk, mfano hili la korona sijakia hata wakitoa hata barakoa moja kwa muhudumu wa afya.


Nichukulie mfano wa morogoro mjini nilikoishi mbunge akiwa azizi abood na kawe jimbo ninaloishi sasa.

Abood alikua akishuka mpaka chini kabisa mpaka kuwasaidia wakina mama kuchambua dagaa sokoni akihamasisha usafi na kutatua kero zilizo ndani ya uweza wake, achilia mbali kutoa baadhi ya magari yake kwenye misiba japo unaweza kuhesabika sio msaada lakini mkono mtupu haulambwi.

Hapa kawe kama jimbo bunju kama kata sikuwahi kusikia jambo lolote kuhusu mbunge kwa miaka 3 niliokaa hapa, kama imekuwepo na sijapata taarifa nisamehewe.


Lakini kunatofauti kubwa mno.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali

Paskali ni kuwa umeamua kuanzisha uzi kuwa hiyo nia ya Magufuli kunajisi uchaguz, ili wanaccm tu ndio warejee bungeni ndio umeijua sasa? Mbona hilo alitamka wazi toka alipoingia madarakani, na amekuwa akitekeleza tokea kwenye chaguzi za marudio, na hata huu uchaguzi wa serikali za mitaa.m? Halafu ww ndiyo unasema hii ni ccm imara na inayokubalika! Kutoka kwenye haya madaraka yanayotumuka vibaya, humo ndiko kura za ccm zilipo.
 
Japo siungi mkono utawala wa ccm kwa muda wote ila upande wa upinzani umefeli kwa kiasi kikubwa sana.

Wangejikita kwanza kujenga msingi imara ndio wagombanie madaraka.

Wangejikita kuingia mioyoni mwa watanzania wengi badala wa hawa wa mihemko.

Wangejikita kufanya maendeleo kwa wananchi ama sehemu walichaguliwa badala ya kupambana na serikali ccm na polisi.

Wangejinyima kile walichonacho kama sadaka kwa watanzania ama jamii kama kujenga madarasa vyoo ofisi vifaa.

Hata kwenye huduma za afya walao hata panadol kwa zahanati ya uma nk

Hata kuhamasisha usafi kwenye jamii,msaada kwenye majanga nk, mfano hili la korona sijakia hata wakitoa hata barakoa moja kwa muhudumu wa afya.


Nichukulie mfano wa morogoro mjini nilikoishi mbunge akiwa azizi abood na kawe jimbo ninaloishi sasa.

Abood alikua akishuka mpaka chini kabisa mpaka kuwasaidia wakina mama kuchambua dagaa sokoni akihamasisha usafi na kutatua kero zilizo ndani ya uweza wake, achilia mbali kutoa baadhi ya magari yake kwenye misiba japo unaweza kuhesabika sio msaada lakini mkono mtupu haulambwi.

Hapa kawe kama jimbo bunju kama kata sikuwahi kusikia jambo lolote kuhusu mbunge kwa miaka 3 niliokaa hapa, kama imekuwepo na sijapata taarifa nisamehewe.


Lakini kunatofauti kubwa mno.

Kama huna ujualo ni vyema kukaa kimya. Wapinzani sasa hivi ni marufuku kutoa chochote kwenye jamii kwani inaonekana watakubalika sana kwa wananchi. Tumeona kwa macho yetu misaada na michango ya wapinzani ikizuiwa, na hata kukataliwa kwa amri toka juu. Sasa hivi ni ngumu mpinzani hasa cdm, kukubaliwa kufanya lolote la maendeleo kwenye eneo lake eti kisa itakubalika. Hizi siasa za kishenzi zimekuwa wazi sana kipindi hiki cha awamu ya tano. Inaonekana una ufahamu mdogo sana wa uhalisia, ndio maana umeandika hiki ulichoandika.
 
Wanabodi,

"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "

Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.

Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.

Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.

Hongereni sana 'Wakijani'

Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.

Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.

Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.

Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.

Paskali
Mayalla

Chukua fom ndugu
 
Unataka kuniambia mkakati wa CCM uliopo wa kumfanya Mbatia kuwa KUB wa Bunge lijalo siyo wa kweli? Labda ungesema wapinzani watarudi ila siyo kwa kiwango kikubwa Kama ilivyokuwa.
 
Back
Top Bottom