Pole nadhani hujui unachokijua.Kuwa na upinzani wa kuturudisha kwenye ukoloni tulikotoka ni bora tubakie huru tukiwa na chama kimoja, wakishindwa kuelewa nini watanzania tunahitaji watachelewa sana, wasome alama za nyakati, upinzani nchini umepuuzwa baada ya kusariti Taifa na kuanza kushirikiana na agents of neocolonialism kuhujumu juhudi za Magufuli, kumtukana na kumdhihaki Rais kwa uongo mala kaiba mala vile wakati watanzania tunaona anayofanya kumeondoa imani hata ile ndogo ilokuepo kwa upinzani.
Wapinzani watakuwepo,Ila wapinga maendeleo na vibaraka wa mabeberu ndio wasio takiwaMtapata nini kuwa na utawala wa chama kimoja?
Je kitaleta chakula mezani kwenu? au kitawalipa mshahara bila kufanya kazi?
Watu wote watapata ajira? au ndio hata zile za buku 7 zinaenda kukoma!
Ni mpumbavu tu atakayeshangilia kufa kwa upinzani maana hakuna faida kwa mtu yeyote zaidi ya hasara.
Hakuna ambaye hatoguswa kwa kufa kwa upinzani hata yeye uwenda siku moja akawa nje ya madaraka akaguswa tuendelee kuwepo.
Tuwin Mara ngapi?Ndio mta win mioyo ya watanzani??nyie si mmefanya makubwa acha maendeleo ya seme!!bila hata wa bunge upinzani utazidi kushamiri mara 3 tena kwa uchungu na ari zaidi
Asante na hongera kwa kujua kisichojulikana.Pole nadhani hujui unachokijua.
Acha kuidharirisha JF!Paskali ukigombea nitakuunga mkono kama member mwenzangu wa JF na mtu mwenye upeo mkubwa wa siasa zetu.
Watarudi kwa sababu na wewe unashiriki dhambi hiyo kwa uandishi wakoWanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Wanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Magufuli alikuwa bado mchangaMkuu nchi hii ilikuwa chini ya ccm enzi za chama kushika hatamu toka 1961 hadi mwaka 1992.je nchi hii ulishindwa nini kupaa?
Mungu ni wenu tu?Ila Paschal na hao Kijani wenzenu kumbukeni Mungu hasinzii, anawaina vizuri, sisi tumemuachia yeye
Japo siungi mkono utawala wa ccm kwa muda wote ila upande wa upinzani umefeli kwa kiasi kikubwa sana.
Wangejikita kwanza kujenga msingi imara ndio wagombanie madaraka.
Wangejikita kuingia mioyoni mwa watanzania wengi badala wa hawa wa mihemko.
Wangejikita kufanya maendeleo kwa wananchi ama sehemu walichaguliwa badala ya kupambana na serikali ccm na polisi.
Wangejinyima kile walichonacho kama sadaka kwa watanzania ama jamii kama kujenga madarasa vyoo ofisi vifaa.
Hata kwenye huduma za afya walao hata panadol kwa zahanati ya uma nk
Hata kuhamasisha usafi kwenye jamii,msaada kwenye majanga nk, mfano hili la korona sijakia hata wakitoa hata barakoa moja kwa muhudumu wa afya.
Nichukulie mfano wa morogoro mjini nilikoishi mbunge akiwa azizi abood na kawe jimbo ninaloishi sasa.
Abood alikua akishuka mpaka chini kabisa mpaka kuwasaidia wakina mama kuchambua dagaa sokoni akihamasisha usafi na kutatua kero zilizo ndani ya uweza wake, achilia mbali kutoa baadhi ya magari yake kwenye misiba japo unaweza kuhesabika sio msaada lakini mkono mtupu haulambwi.
Hapa kawe kama jimbo bunju kama kata sikuwahi kusikia jambo lolote kuhusu mbunge kwa miaka 3 niliokaa hapa, kama imekuwepo na sijapata taarifa nisamehewe.
Lakini kunatofauti kubwa mno.
MayallaWanabodi,
"Watakao Rudi Bungeni ni 'Wakijani' "
Haya sii maneno yangu, na sio maneno ya kuambiwa ni maneno yaliyotamkwa na ambayo nimeyasikia mwenyewe kwa masikio yangu mwenyewe!.
Japo maneno haya ni maneno machungu kumeza, kwasababu Tanzania ni ya Watanzania wote na siyo ya 'wakijani' tuu, lakini huo ndio ukweli wenyewe!, Watanzania woote katika Umoja wao, wamewakubali sana 'wakijani' na hili watalithibitisha tarehe 25 October, 2020. Mwenye masikio na asikie!.
Sisemi yamesemwa na nani na yamesemwa wapi, bali nawaomba tuu mniamini!.
Hongereni sana 'Wakijani'
Tulipokuwa tukiwaeleza humu kuhusu Watanzania tujifunze kuukubali ukweli hata uwe ni mchungu vipi kama ukweli huu
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Mlinibeza!.
Niliposema kuhusu hoja ya wabunge wasio wa kijani, wakitaka kurejea Bungeni 2020 ni lazima wajitambue
Trend Reading: Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je tunarejea nchi ya Chama kimoja?
Pia mlinibeza humu.
Sasa leo Bunge limevunjwa rasmi, tegemeeni "the mass exodus" kwa wabunge wasio 'wakijani' watakao jitambua, they will do the needful, kwa ving'ang'anizi na wenye misimamo, ambao watashikilia msimamo kwa kusimama na wanachokiamini, hawa ni mashujaa!, watakufa kizungu na tai shingoni na kama ni meli au jahazi, hata likumbwe na tufani kubwa kiasi gani, wao watazama na meli yao au jahazi lao na watatamkwa mashujaa watakufa kishujaa!, hoja ya kati ya "waliojitambua" hai, na 'mashujaa' wafu, nani ni muhimu zaidi, ni debatable!.
Kwaheri ya kuonana hadi Novemba
2020... "ndani ya nyumba" panapo majaaliwa!.
Paskali
Alafu wewe ndiyo utapata nini!!?