sio kwamba sielewi hii ssue naielewa vizuri sana ila naona kama wewe unaichukulia kirahisi sana kuliko uzito halisi wa hii issue.i beg 2 differ....Funza mke alikuwa hana akili ya kumkomoa mume kabisa, miaka miwili mume hajawahi kumgusa mke wake, mke kama binadamu jamani yakatokea yaliyotokea, sio kwamba mke alifanya hivyo kwa ajili ya pesa ya mfanyabiashara bali alifanya kwa ajili ya ammbo ya kimwili, baada ya mazoeano mke na mfanyabiashara wakawa na mapenzi moto moto, ndipo hapo alianza kumwandalia malengo yake ya baadae kama mume hatakuja kuishi tena nae/au mume akamtimua kwenye nyumba bac mke awe na option b ndio wakaafikiana kumjengea, akaona ampe na msaada wa kusomesha watoto/kutunza coz mume alikuwa hayatekelezi, ishu hapa ni kwamba mapenzi ya mfanyabiashara na mke yamenoga....kingine ni kwamba cdhani kama mume anaweza kusema mbele za watu kwamba amfanyabiashara kumwibia mke, kamwibiaje? alimshikia bastola akamchukua mke akakimbia nae? c mume mwenyewe ndio alimkimbia mke?.....haki ya nani mambo haya amgumu sana omba tu uyackie.
The Moral of the Story:::
Kila mwanaume unapogonoka out-of-wed-lock mwanamke naye hufanya hivyo hivyo! The difference is mwanamke "hawezi kukesha"
"To every action there is EQUAL and OPPOSITE reaction" - Thanks to Newton
Mimi siendi kanisani kwasababu sipendi kumuudhi Mungu. Unatoka kumega jumamosi jioni, jumapili unaenda church, ukitoka church unapitia gesti kumega....Huyu Mungu mnamuonaje?
Vipi wewe unaenda kanisani japokuwa unamegwa?
:nono::nono::nono::nono::nono::nono:Afu niPM nikupe namba za mama Matesha umpe mfanyabiashara aje animegee, amjengee nyumba na kumnunulia gari. Hilo kwangu halina shida, ili mradi haondoki na kikojolea cha mama Matesha wangu. Ila ajue akishamaliza kujenga, anatakiwa a-keep distance kabla sijaigeuza sura yake kuwa bucha la kitimoto!
my luv, ni mtu wangu wa karibu sana sana, kuanzia saga ninaanza, bado hajamjua hawara, nilimsaidia kujua hawara na kashkash zote, so kina step inayochezwa naijua.
unadhani huyu mume angekuwa muwazi kwa mke wake kama sio tatizo lililotokea la kumfumania hawara?...mbona alimuumiza sana hapo nyuma na bila kumuonea huruma wowote, yeye katendwa akakumbuak kivuli cha kujifichia jua....muwe mnaongelea kote kote jamani, kila mtu ana roho ya nyama.
my luv, ni mtu wangu wa karibu sana sana, kuanzia saga ninaanza, bado hajamjua hawara, nilimsaidia kujua hawara na kashkash zote, so kina step inayochezwa naijua.
Hapo kwenye blue...Hawa wazinzi wanaenda kufanya nini kanisani? Mbona wanataka Mungu aingiwe na ile hasira yake ya zamani?
Ila huyo mwanaume hana akili timamu kichwani. Inakuwaje unajua huyu ni mke wa mtu ukafanya yote aliyoyafanya? Kumegana, sawa, yaweza kuwa tamaa ya miili. Lakini ndio mpaka umnunulie gari, tena umbadilishie kabisa? Umjengee nyumba? Yani unaweka ushahidi kwenye mahusiano na mke wa mtu? Huyu mfanyabiashara si chizi? Hivi huyu mama akiamua kurudiana na mume wake, huyu chizi mfanya biashara atadai gari na nyumba yake?
Nyamayao darling...mshauri rafiki yako amrudie mume wake. Aftaroo wote wametoka nje ya ndoa. Ni rahisi kusameheana na kusahau na kuendelea na maisha. Tayari wana faida ya gari na nyumba, Mungu awape nini.
Afu niPM nikupe namba za mama Matesha umpe mfanyabiashara aje animegee, amjengee nyumba na kumnunulia gari. Hilo kwangu halina shida, ili mradi haondoki na kikojolea cha mama Matesha wangu. Ila ajue akishamaliza kujenga, anatakiwa a-keep distance kabla sijaigeuza sura yake kuwa bucha la kitimoto!
ni kweli kabisa rose asingerudi bila kukumbwa na mkasa kwa hawara sasa hivi hana pa kushika ndo kaamua kurudi kwa mkewe.wanaume!wanaume!mmmmh!!!!!:doh:et kajirud..kajirud afta machafuko ya awala?
unajua kujirud weew?unajirud katika fare ground ...thats upo poa na hawara yako sema tu unasemayatosha nw naenda kumwangukia mke wangu...apo sawa lakin si km ivi kajirud afta kubaraswa kwa vitendo na hawwara:nono::nono::nono:
yaaan km vile mlev anakwambia ...KUANZIA LEO NIMEACHA POMBE wakat ameishiwa hana ata sent ..wat do u thk akizipata?i nia kaitoa kwa dhat au out of option?
aahh mazingira ya msamaha ndo yananitatiza jeee km wangekuwa hawajagombana na hawara yake akili ya kumrudia mke wake ingekwepo??????????????THK TWCE
ndio maana nimekwambia aombe talaka mahakamani maana hapo hamna ndoa tena ila hutaki kukubali wakati jibu liko wazi. Hakuna sululu hapo zaidi ya kuachana tu au mtu mmoja kufa kati ya hao watatu ndio sululu itapatikana na si zaidiunadhani huyu mume angekuwa muwazi kwa mke wake kama sio tatizo lililotokea la kumfumania hawara?...mbona alimuumiza sana hapo nyuma na bila kumuonea huruma wowote, yeye katendwa akakumbuak kivuli cha kujifichia jua....muwe mnaongelea kote kote jamani, kila mtu ana roho ya nyama.
sio kwamba sielewi hii ssue naielewa vizuri sana ila naona kama wewe unaichukulia kirahisi sana kuliko uzito halisi wa hii issue.
Huo mtandao wa mfanyabiashara wala si kitu kumwogopesha mtu ambaye tayari ameshakwazika na kuhamua kulipiza kisasi na sidhani kama kuna mtanzania mwenye mtandao wa kuweza kumlinda labda wale ma-drug lords wa Mexico ila kama unachukua mke wa mtu na huko happy kabisa eti kisa una hela na mtandao mkubwa ujue unajidanganya huo mtandao utakusaidia kukuzika tu siku ya siku.
Kuibiwa mke ni kitu kibaya sana ndio maana tunasema mke wa mtu ni sumu na huyo mume anavyomtafuta huyo mkewe hujue wazi kabisa kuwa anamtafuta kwa shari na si kwa heri na ndio maana anafuatilia kila nyendo na siku akijiridhisha na hayo mauchunguzi yake ujue kinachofuata ni malipizo ya kisasi. Huyo rafiki kama ni mtu mwenye upeo aachane na mfanyabiashara mara moja au aombe talaka akaishi nae ( kama hajaoa ingawa hilo swali hujanijibu kama m/biashara ana mke)
nadhani mnasikia kila siku watu wanavyochinjana au kurogona na kuuana kutokana na haya mambo ya kuchukuliana wanandoa. Think deep utaona hatari kubwa iko hapo yaani huyo rafiki yako ana wakati mgumu na yuko kwenye mtego ambao ukitoa tu jibu basi janga analo yeye au mfanyabiashara. Na kwa sasa ni sawa na kulala karibu na moto ukipitiwa na usingizi tu ujue umeungua. Usilichukulie kiushabiki ili ni suala zito sana na litakuwa na mwisho mbaya sana. Najiweka katika nafasi ya huyo bwana kuwa usiku analala na mkewe halafu kukicha ana haha kuweka mitego amkamate mgoni wake, kwa hali hiyo huyo dada ni sawa na kulala na chui aliyevaa ngozi ya kondoo
Fikiria siku akigundua kuwa ni kweli aliyoambiwa kuhusu mkewe ni ya kweli tena na ushaidi wote akaupata unadhani atakuwa the same person? nakwambia atakuwa zaidi ya Mtoa roho kwa hasira soma nyakati maana hawezi tena kurudi na kuanza kubembeleza kama mwanzo
Na katika hasira haswa za kimapenzi mara nyingi uleta msongo wa mawazo ambao ukizidi umfanya mtu apate kichaa (kuchanganyikiwa) hivyo kuchukua maamuzi mabaya sana. Msijidanganye na huo mtandao wa huyo mfanyabiashara maana kiasi uwa kinalipwa mkiwa wawili tu na huyo jamaa maamuzi akihamua kuyafanya hatashirikisha wanamtandao wa huyo jamaa ataenda peke yake
Hebu mwambie huyo rafiki yako aondoke hapo kabla hajang'olewa utumbo na maini yote mwilini mwake. Leo hii tunachat ila kuna siku utakuja kulia kwa kupoteza rafiki yako hii itatokea
naanza kuhic kama story yako ni ya kufikirika, naomba nikae pembeni nilikuwa nachangia kwa moyo mmoja lakini naona kama ni kitu fictitious hivi sorry my friend Nyamayao ( najua wewe ni mdau wangu humu JF na mie pia ni mdau wako wa ukweli)hapa ckuelewi kitu kimoja, mfanyabiashara hajaiba mke wa mtu, bali ikikuwa makubaliano kati ya mke na mfanyabiashara wakaanzisha huu uhusiano, na nikisema ana mtandao cmaanisha hivyo unavyofikiria, namaanisha kama mume akijua kutaka kumfanyia jambo ya hatari mfanyabiahsara bac yeye ndio atajikuta amefanyiwa liclotegemewa na kutia aibu jamnii, cjui kama naeleweka jamani.....MKE HAJAIBWA NI MAKUBALINO YAKE NA MFANYABIASHARA WAKAFIKIA WALIPOFIKIA....uandhani kama mume angejua mke ana uhusiano wakati ule na yeye kanogewa kwa hawara angejali?
Sina shaka ulimsaidia pia kumpata mfanyabiashara...........:doh::doh::doh:
naanza kuhic kama story yako ni ya kufikirika, naomba nikae pembeni nilikuwa nachangia kwa moyo mmoja lakini naona kama ni kitu fictitious hivi sorry my friend Nyamayao ( najua wewe ni mdau wangu humu JF na mie pia ni mdau wako wa ukweli)
ni rafiki yangu kipenzi sana, alikuwa na matatizo ya kumtosha na mume wake, mume alipata hawara akamfanya kama mke wa pili, kamjengea, kamfungulia biashara nzuri, yaani ni kama mke mdogo, wamezaa na mtoto 1, kipindi hicho my frnd alisota sana kwenye ndoa, manyanyaso yote aliyapata, mume aamua acje nyumbani hata week nzima yupo kwa huyo hawara, mume alifanya vituko vya kutosha, my frnd ktk kutaka kujifariji alitokea mfanyabiashara mmoja wakapendana, pendo limekuwa pendo. my frnd kasahau kama alikuwa kwenye matatizo ya ndoa, ndani ilikuwa kila mtu anakuja kwa ajili ya kulaza ubavu tu, mwanamke hakuwahi kuonyesha kama ana uhusiano nje, cku ya cku mume akamfumania huyo hawara yake yupo na mwanaume mwingine kwenye nyumba aliyomjengea yeye na kumuwekea kila kitu ndani, kasheshe likawa kasheshe, mume akaamua kwenda kufanya DNA ya mtoto aliezaa na hawara akakuta sio wake, kasheshe likaongezeka....alivyoona hivyo alirudi kwa mkewe na kumuomba msamaha wa kutosha na kumuelezea kila kitu kilichotokea kwa hawara...mke kaamua kumsamehe na kwa maelezo ya mke ni kwamba amejirekebisha sana, ishu ya sasa ni mke na mfanyabiashara, mfanyabiashara nae huku amemjengea mke nyumba nzuri, juzi juzi kambadilishia gari nzuri anawasomesha watoto wa my frnd tangu mume alivyotekwa huko alikuwa hajui watoto wanalipiwaje ada au wanakulaje hapo nyumbani, ni kama ndio aligeuka baba mzazi wa watoto..... mume amekuja dokezwa kwamba mke ana uhusiano na mtu fulani, mume amepeleleza vya kutosha lakini hajapata ushahidi, ni jana jioni mume kamtoa mke wake outing na kumuomba mpaka kumpigia magoti na machozi juu kwamba "japo aridhike" tu amwambie ukweli ili wawewze ku solve kikamilifu matatizo yao waaanze maisha mapya, hawakufikia muafaka coz mke aliendelea kukana,ni asubuhi hii kanical kunipa hii ishu ya kwamba amweleze ukweli au aendelee kukana? mie nilimuuliza tu kama bado anaihitaji hiyo ndoa? alinijibu bado anahiitaji, kwa ushauri wangu nilimwambia kama unahiitaji uckae ukasema ukweli, endelea kukana hivyo hivyo, ni leo maongezi yao yataedelea, wewe kama wewe ungemshaurije huyu dada?
Mimi binafsi ni muhanga wa matatizo haya katika ndoa.
Kumbuka kuwa M/UME anajua fika kuwa alifanya kosa (kama ilivyokuwa kwangu) na kama ni fundishi keshalipata kutoka ktk numba ndogo kwa kilichotokea. Kwakuwa mume alifanya KOSA KUBWA tena kwa kipindi kirefu (ingawa sina uhakika kutokana na mtoa hoja kutothibitisha kuwa walikaa na nyumba ndogo kwa muda gani) kwa 100% anajua kwa kipindi hicho mkewe alikuwa na mwanaume.
Istoshe MKEO/MUMEO ni mtu unaemjua udhaifu wake, kwamba anaouvumilivu kiasi gani katika mambomagumu katika maisha kwakuwa mnapita vipindi vya aina tofauti katika maisha, MIMI NINAO UHAKIKA JAMAA ANAJUA MKEWE ANAE MWANAUME!!!!!!!!!!!!!!! ila anataka KAULI YAKE, iliwaweze kushirikiana kuyamaliza.
Kama mke hata mwambia UKWELI INA MAANISHA JAMAA ATAMFUATILIA NG'ADU KWA NG'ADU mkewe ambapo kwa 100%, kuna siku atamkuta, siku ambayo HAKUTAKUWA NA POINT OF NO RETURN, kwa kuwa alishapewa nafasi ya kujisafisha nae lakini akawa hataki.
Kama mume alifanya kosa, na mke akalijua, na jamaa akatambua ni kosa (kwa kuwa aliemfuata kumuomba msamaha ni mkewe) then kunao umuhimu wa mwanamke nae kuomba msamaha kwa kile alichofanya KUTOKANA NA MAKOSA YA MUMEWE, (hiyo ni sababu ya msingi kwa mumewe ingawa NAAMINI ZIPO SABABU ZILIZOPELEKEA MWANUME KUMUACHA HATUJAAMBIWA).
Cha msingi ni Mrs, kutafuta wakati muafaka mapema ( honey, ninaomba tutafute sehemu tuonggee kuuhusu maisha yetu kwa kuwa ulikuwa mbali ya maisha kwa muda mrefu kuna matatizo yalijitokeza...) kinyume cha hapo ndoa/mahusiano haya ni BOMU LILILOTEGWA NA JOAS SAVIMBI
Mimi kwa upande wangu yyamewahi kunitokea haya , ila UONGO wa mwenzangu katika hili ndo umekuwa unatafuna/Umetafuna ndoa yangu kwa kiasi cha kusema SASA BASI kwa kuwa niliamini nilikuwa napigana na adui nisiyekuwa namjua ingawa niliamini yupo mwanaume nyuma yangu.
So ni vizuri AKASEMA UKWELI
Hatujaambiwa kama huyo mfanyabiashara nae kaoa au la!!!! Ila kama hajaoa KUNA SIKU ATAHITAJI KUOA, na kamwe hatamuoa huyo mke wa mtu!!!!!!!, kama kaoa kuna siku atarudisha majeshi yake nyumbani kwake kama ilivyo kwa mkewe, so at the end of TIME Mrs atabaki peke yake akitafuta tena MTU WA KUMLIWAZA , ninamaanisha HATA MIMI KUNA SIKU NITAMLIWAZA alafu nasepa, aseme kweli waanze upya, kinyume cha hapo atakuwa wa kuliwazwa tuuuuuuuuuu maisha yake yooote leo huyu kesho yule.
Nawasilisha hoja