eugeneamani01
Member
- Feb 17, 2017
- 31
- 21
Alafu kwanini messi alikataa kupiga penati ya pili?? Au ndio ilikua presha na hofu angekosa?
Kwa mpira wa jana hata haikua refa mkuu!! Mi siipend barca ila that wa effort!! Walipigana na tuliona hilo!
Hayo ni mawazo yako ndugu!! Baki kama ulivyo!Messi ni mtu tofauti sana na ni mtu ambaye anapenda mafanikio kwa watu wengi. Hana uchoyo na si mbinafsi. Ila ingekuwa Real Madrid jana, Ronaldo angepiga zote, kwani anajiangalia yeye sana
Acha tu mkuu,bado nawatafutia tusi zuri sijapata badoKwa kweli PSG ni wapuuzi sana .....shenzi zao.....
Aiseee hongera bwnaaNimelala bila shuka kwa sababu ya ushindi wa Barca
Walishhimdwa hata kupaki.basi ?? Just 1 or 2 minutes unashindwa kupaki basi just utumie mbinu zako kulinda goli hilo mojaWaliniudhi sana mkuu!! Iliniuma zaidi cavvan kukosa nafasi za wazi
ha ha ha ha haKwa kweli PSG ni wapuuzi sana .....shenzi zao.....
Yani jana siku ya wanawake hakika kwangu iliisha vizuri.Valentine's Day: PSG 4- BARCA 0.
Women's Day: BARCA 6-PSG 1.
We don't care about love, but we love our women!!
Hayo ni mawazo yako ndugu!! Baki kama ulivyo!
Kwanza kabisa, hamna timu ya mpira siipendi kama barca kwenye hii dunia!! Barca wametoka kwenye 4 bila mpaka kuvuka 16 bora kitu ambacho wengi wetu tulijua ndio mwisho wa barca!!
PSG waliingia uwanjani wakiwa na uhakika wa kuvuka baada ya ushindi wa nyumbani! PSG watajilaumu kwa na nafasi za wazi ambazo cavanni alikosa akiwa na kipa, di maria alizokosa akiwa kipa!!
Haya ndiyo nimejifunza:
1. Usiridhike na ulicho nacho hata kama ni kikubwa (hii inawahusu psg)
2. Usikate tamaa hata ukiwa down kiasi gani (hii inawahusu barca)
3. Unapoanguka pigana kuamka tena. Usikubali yaishe!
4. Sometimes kujilinda sio njia nzuri ya defence, but attacking is the best defensive option!
5. Tumia nafasi vizuri unapopata nafasi (hii inamuhusu cavanni na di maria kwa kukosa goli wakiwa na kipa)!
All in all japo mmepita ila siwapi nafasi ya kubeba ndoo maana kuna wataalam wengine akina juve buyern borrussia na real madrid najua watawanyoosha tu!!
Hongereni kwa ushindi barca fans!!
Goli la kwanza - Offside
Goli la tatu - Penalty fake
Goli la tano - Penalty fake
Goli la sita - Ofside
Ukiwa objective unaweza kuona hizi kitu.
Mascherano alishika kwenye 18 refa akaweka coner.
PSG nao washamba sana, unaenda kupaki basi wakati hata kupaki kwenyewe hujui?
Njoo Taifa jmosi uone mechi ya kimataifa....ngumu kumeza mikia fcPSG haina tofauti na NDALA FC
Sawa mkuu tuombe uzimaHii sasa ndio ndoto! Kwangu naipa nafasi timu ya ujerumani au italy!
Bado utaendelea kujifunza tuKwanza kabisa, hamna timu ya mpira siipendi kama barca kwenye hii dunia!! Barca wametoka kwenye 4 bila mpaka kuvuka 16 bora kitu ambacho wengi wetu tulijua ndio mwisho wa barca!!
PSG waliingia uwanjani wakiwa na uhakika wa kuvuka baada ya ushindi wa nyumbani! PSG watajilaumu kwa na nafasi za wazi ambazo cavanni alikosa akiwa na kipa, di maria alizokosa akiwa kipa!!
Haya ndiyo nimejifunza:
1. Usiridhike na ulicho nacho hata kama ni kikubwa (hii inawahusu psg)
2. Usikate tamaa hata ukiwa down kiasi gani (hii inawahusu barca)
3. Unapoanguka pigana kuamka tena. Usikubali yaishe!
4. Sometimes kujilinda sio njia nzuri ya defence, but attacking is the best defensive option!
5. Tumia nafasi vizuri unapopata nafasi (hii inamuhusu cavanni na di maria kwa kukosa goli wakiwa na kipa)!
All in all japo mmepita ila siwapi nafasi ya kubeba ndoo maana kuna wataalam wengine akina juve buyern borrussia na real madrid najua watawanyoosha tu!!
Hongereni kwa ushindi barca fans!!
Kweli kabisa mkuu!! Wangekaa wote golini hamna jinsi!!Acha tu mkuu,bado nawatafutia tusi zuri sijapata bado
yan ufungwe magoli 2 ndan ya dakika 1...ujinga gan huo
walishindwa hata kupaki basi si hua kuna lisaa flan likubwa lunaonesha mda uliobakia walishindwa kuangalia
walinde hilo goli moja hata kwa kupaki basi japo kwa hizo dakika 2 ama 1
Lakini pia kumbuka messi ni mtu ambaye anapanic...na ile ndio ilikua penalt ya mwimu...may be walijua hilo ndio maana wakampa neymar!!Ila huo ndio ukweli, Na si mara moja kufanya hivyo. Kuna mechi nyingi sana Messi huwa anatoa nafasi na kwa wengine. So alichofanya jana ni jambo ambalo huwa anafanya mara kwa mara.