Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
- #61
Ile ya macherano kushika naikumbuka mkuu!! Ile ilikua penalt!! Sema ndio ishatokea mkuu!! Wako mbeleGoli la kwanza - Offside
Goli la tatu - Penalty fake
Goli la tano - Penalty fake
Goli la sita - Ofside
Ukiwa objective unaweza kuona hizi kitu.
Mascherano alishika kwenye 18 refa akaweka coner.
PSG nao washamba sana, unaenda kupaki basi wakati hata kupaki kwenyewe hujui?