Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
- Thread starter
-
- #61
Ile ya macherano kushika naikumbuka mkuu!! Ile ilikua penalt!! Sema ndio ishatokea mkuu!! Wako mbeleGoli la kwanza - Offside
Goli la tatu - Penalty fake
Goli la tano - Penalty fake
Goli la sita - Ofside
Ukiwa objective unaweza kuona hizi kitu.
Mascherano alishika kwenye 18 refa akaweka coner.
PSG nao washamba sana, unaenda kupaki basi wakati hata kupaki kwenyewe hujui?
Hata pia hii inaingia!! Japo ndio washasonga...binafsi iliniuma ila tutafanyaje?!Umesahau kimoja!!
'Unapobebwa bebeka kaa vizuri sio unajilegeza'
Inauma mkuu!!Barcaaaaaaaaaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupata vichekesho kama hivyo bonyeza 1544Mwaka huu kombe linaenda England
Kama unaupenda mpira hauwezi kuichukia Barca.
..
Ina uma sana ila sina la kifanya!! That was surprise to me!! Nlijua watashinda ila sio kuvuka kwa magoli yale!!wewe ni mwanaspoti wa kweli
Na ulipie kwanza deni lao ndo ubonyeze hizo namba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kupata vichekesho kama hivyo bonyeza 1544