kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Sio kwamba nafatilia sana ngoma za kuimbaimba ila kwa hii track janki kafanya poa sana hadi kawaficha wale jamaa kwe hiyo ngoma
ha ha ha hata mie siijui labda yaitwa "zarinah" ha ha ha sijaisikia mie
haa hiyo hapo juu imeekwa
Hata AY alifanya Collabo na Lil' Romeo.
kwani namba wani ilikuwa nzuri?Inaonekana diomond hawezi tena kutoa nyimbo nyimbo kuzidi number one. Hiyo unayotaka tuamini ni nzuri ni kujidanganya tu. Nyimbo ya kawaida sana labda kama atawekeza pesa kwenye video lkn audio hapana kwa kweli
Itakuwa imetoka leo hiyo ngoma ,,, mimi diamond sijaona kazi yake yoyote zaidi ya ule mdomo wake tu
Hata AY alifanya Collabo na Lil' Romeo.
Inaonekana diomond hawezi tena kutoa nyimbo nyimbo kuzidi number one. Hiyo unayotaka tuamini ni nzuri ni kujidanganya tu. Nyimbo ya kawaida sana labda kama atawekeza pesa kwenye video lkn audio hapana kwa kweli
Itakuwa imetoka leo hiyo ngoma ,,, mimi diamond sijaona kazi yake yoyote zaidi ya ule mdomo wake tu
Inaonekana diomond hawezi tena kutoa nyimbo nyimbo kuzidi number one. Hiyo unayotaka tuamini ni nzuri ni kujidanganya tu. Nyimbo ya kawaida sana labda kama atawekeza pesa kwenye video lkn audio hapana kwa kweli
HAPI KWE RED-Mnakataka tena buku 5? MTANYOKA MWAKA HUU
mwalimu na wewe unawafatilia wasanii wajinga wasio na faida kwa jamii?