Japo sipendi hilo litokee, ukweli ni kwamba Yanga wanabeba Ubingwa Shirikisho Afrika

Japo sipendi hilo litokee, ukweli ni kwamba Yanga wanabeba Ubingwa Shirikisho Afrika

Asee kwa hali ilivyo hawa uto niwazi watachukua kombe la shirikisho africa mbele ya usm alger mwarab mbovu kuliko hata wale monastir, kwa niliyoyaona kwenye nusu final wakipata ushindi wa 2-0 dhidi ya asec mbovu kuliko hata ruvu shooting.

Niwazi hawa watani zetu wanabeba ubingwa ambao sisi itatuchukua miongo kadhaa kuupata ama tusiupate kabisa mpaka kiama.

Kongole kwa viongozi wa yanga hasa injinia hersi, huyu jamaa mpira upo damuni na nimpambanaji kwa timu yake, yaan huyu ndo mfano halisi wa mfia timu.

Mwisho kabisa nawaona uto wakishinda ndani nje hii final kwani wale waarab hawawezi kupiga pasi hata 5 bila kumpasia adui, huyu ni zalan mweupe kabisa.
Mungu ajalie maneno yako yakawe heri hiyo Jumapili 28/05/2023 Yanga iwe Bingwa mpya wa CAFCCL.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
cj21125
Acha stori za sizitaki mbichi hizi, last czon tulipambana vyakutosha mbele ya pirates lakini tukafurushwa huku tukimlaumu mugalu kachomesha na tukijisifia eti tumekufa kiume mbele ya mapirates, nashangaa leo unavunga eti shirikisho si lolote?

Hapana, hata kama uto ni mpinzani wetu na hatumpendi ila mpira anaoupiga, jitihada za injinia hersi na uvumilivu wao kwa benchi la ufundi vinawalipa, roho inaniuma kuona uto ndo wanakuwa wa kwanza kuleta kombe la afrika hapa nchini, japo natamani waarabu wafanye chochote kuzuia hilo ila nikikumbuka walivyocheza nusu final na asec, sioni wakifanikiwa.
 
Kwa kweli mimi si Mtanzania. Wala sina timu. Umri umeenda sana
. Mimi ni Muarabu. Naomba tutumie maneno ya staha kwani culture ya Tanzania ni yenye heshima kubwa. Usiwatusi oponents wako. Mimi naomba Tanzania ichukue kombe hili.
Babu samahani sana.
 
Shikran Kaka Pembe. Nimepokea matusi yako kwa mikono miwili. Matusi hayawachi kovu wala hayaondoshi ukweli. Nakuombea kwa Mungu akupe afya na nguvu uzidi kutukana. Mwenyezimungu akuzidishie baraka na neema ya kipato. Mimi ni mefurahi mno kumsikia mzee Mchachu akizungumzia real football facts. Hawa ndio wanaofaa kuwaiga. Whatever the case it is Tanzanians are all one nation and should all fight for the CAF trophy. May The Almighty Creator provide power to players and grant them with the trophy.
 
Hata mimi binafsi nawapongeza sana Uto maana wako serious sana na mambo yao. Simba ingekuwa serious kama walivyo Uto ingeshacheza nusu fainali au fainali ya Champions League.

Yaani Simba ilipofanikiwa tu kucheza robo fainali ya kwanza (ndani ya hii miaka ya karibuni) ilipaswa kufanya usajili wa nguvu ili kwa misimu iliyofuatia ifuzu nusu au fainali kabisa. Cha ajabu ikaendelea kubaki na akina Chris Mugalu ambaye kule South Africa alikuwa anakosa magoli ya wazi kabisa, halafu anaishia kutabasamu na kutafuna jojo mithili ya mbuzi anayekula majani ya mchongoma. Sajili zilizofuata baada ya akina Mugalu kudondoka nazo zikawa za hovyo sana.
Kwa hiyo Yanga ndo wana usajili wa nguvu sio?
 




Bado hujaamini kuwa hili kombe la loosers na halina madhara kwa soka la Africa? Angalia jedwali chini namba 85 na 395 utakuja kunishukuru.​

Africa Football / Soccer Clubs Ranking​

Updated after matches played on 21 May 2023​

RankClub / CountryPoints1-yr change
1
Al Ahly

Egypt
169219
1731
2
Mamelodi Sundowns FC

South Africa
166232
1614
3
Wydad Casablanca

Morocco
162932
1588
4
TP Mazembe

Congo DR
15852
1584
5
Esperance de Tunis

Tunisia
154755
1576
6
CR Belouizdad

Algeria
153912
1536
7
El Zamalek

Egypt
153281
1575
8
Al Hilal Omdurman

Sudan
152926
1510
9
Pyramids FC

Egypt
152594
1477
10
Etoile du Sahel

Tunisia
15189
1514
11
RCA Raja Casablanca Athletic

Morocco
151688
1553
12
1º de Agosto

Angola
151212
1509
13
Vita Club

Congo DR
150665
1528
14
Atletico Petro Luanda

Angola
15029
1502
15
ASEC Mimosas

Ivory Coast
149252
1466
16
Stade Malien Bamako

Mali
149020
1490
17
FAR Rabat

Morocco
1489246
1417
18
Dynamos

Zimbabwe
148669
1509
19
Al-Merreikh

Sudan
148326
1486
20
Dolphins FC

Nigeria
14737
1472
21
CS Sfaxien

Tunisia
146824
1474
22
Orlando Pirates

South Africa
146741
1453
23
Coton Sport

Cameroon
14650
1463
24
Djoliba AC

Mali
14636
1463
25
CS Constantine

Algeria
1456119
1426
26
ES Sétif

Algeria
145193
1476
27
Bidvest Wits

South Africa
145116
1451
28
USM Alger

Algeria
144977
1429
29
FUS Rabat

Morocco
1449264
1390
30
JS Saoura

Algeria
144656
1458
31
JS Kabylie

Algeria
144313
1439
32
Club Africain

Tunisia
144151
1429
33
US Monastir

Tunisia
1440266
1384
34
Saint-Eloi Lupopo

Congo DR
14363
1434
35
Motema Pembe

Congo DR
142611
1431
36
Akwa United

Nigeria
142667
1443
37
Enyimba

Nigeria
14259
1426
38
Highlanders

Zimbabwe
142111
1418
39
MC Alger

Algeria
142023
1425
40
Olympique de Bamako

Mali
14194
1419
41
Plateau United

Nigeria
1417108
1441
42
Future FC

Egypt
1415365
1353
43
AS Réal Bamako

Mali
14159
1415
44
Supersport United

South Africa
141486
1395
45
Asante Kotoko

Ghana
141293
1433
46
FC Platinum

Zimbabwe
1412152
1381
47
Gunners

Zimbabwe
141112
1411
48
RSB Berkane

Morocco
140821
1411
49
UMS de Loum

Cameroon
140479
1389
50
Cape Town City FC

South Africa
140210
1400

Africa Football / Soccer Clubs Ranking​

Updated after matches played on 21 May 2023​

RankClub / CountryPoints1-yr change
51
Canon Sportif

Cameroon
1402457
1335
52
Bamboutos

Cameroon
140152
1391
53
Kaizer Chiefs

South Africa
140059
1411
54
Chicken Inn FC

Zimbabwe
140020
1403
55
ZESCO United

Zambia
140046
1407
56
Enugu Rangers

Nigeria
1396187
1436
57
Maghreb Fès

Morocco
1395121
1373
58
Motor Action

Zimbabwe
13941
1394
59
Interclube de Angola

Angola
139132
1396
60
Kano Pillars

Nigeria
139042
1383
61
MC Oran

Algeria
139085
1374
62
Smouha SC

Egypt
1389248
1441
63
AS Nika

Congo DR
13854
1385
64
Al Mokawloon Al Arab

Egypt
1384366
1335
65
Union Sportive de Douala

Cameroon
13844
1384
66
Olympic Club de Safi

Morocco
1382478
1323
67
Kabuscorp SCP

Angola
138225
1379
68
Séwé

Ivory Coast
13814
1381
69
Al Masry

Egypt
1379227
1425
70
Sagrada Esperança

Angola
137794
1365
71
ENPPI

Egypt
1377109
1398
72
Apejes de Mfou

Cameroon
1371123
1356
73
ASO Chlef

Algeria
13715
1371
74
Lobi Stars

Nigeria
1371102
1358
75
Fovu de Baham

Cameroon
1370135
1353
76
Remo Stars

Nigeria
1370470
1316
77
Eding Sport FC

Cameroon
137039
1366
78
Power Dynamos

Zambia
1370301
1333
79
Colombe du Dja et Lobo

Cameroon
137066
1361
80
CAPS United

Zimbabwe
136975
1383
81
Al Khartoum SC

Sudan
13694
1369
82
Abia Warriors

Nigeria
1369146
1350
83
Jeanne d'Arc de Bamako

Mali
13672
1367
84
Al-Ittihad

Libya
13674
1367
85
Simba SC

Tanzania
1367125
1351
86
Medeama SC

Ghana
136784
1355
87
Unisport FC Du Haut-Nkam

Cameroon
13676
1367
88
Ashanti Gold FC

Ghana
136612
1365
89
Paradou AC

Algeria
1366171
1395
90
Bendel Insurance

Nigeria
1365439
1315
91
Ben Guerdane

Tunisia
136510
1367
92
SO Armée

Ivory Coast
1364121
1350
93
Sunshine Stars

Nigeria
136427
1361
94
Astres FC de Douala

Cameroon
136330
1367
95
CA Bizertin

Tunisia
136265
1354
96
Stellenbosch FC

South Africa
1362189
1340
97
Stade Renard de Melong

Cameroon
1362200
1395
98
Aduana Stars

Ghana
135834
1365
99
Recreativo do Libolo

Angola
1357207
1391
100
Sporting Gagnoa

Ivory Coast
1357226
1332
.
.
.
.
.

Africa Football / Soccer Clubs Ranking​

Updated after matches played on 21 May 2023​

RankClub / CountryPoints1-yr change
351
Berekum Arsenal

Ghana
12609
1260
352
Kiglon

Zimbabwe
126010
1260
353
Saint George

Ethiopia
126011
1260
354
Njube Sundowns

Zimbabwe
125914
1259
355
El Raja

Egypt
125913
1259
356
Accra Lions FC

Ghana
1259272
1245
357
AS-FAN

Niger
125911
1259
358
Black Rhinos

Zimbabwe
125993
1266
359
KAC Kénitra

Morocco
125810
1258
360
Hasaacas

Ghana
12589
1258
361
Gabès

Tunisia
125810
1258
362
NAPSA Stars FC

Zambia
1258441
1232
363
Al Sharkeyah

Egypt
125711
1257
364
AS Bamako

Mali
125711
1257
365
Eleven Wonders FC

Ghana
125766
1254
366
Liga Muçulmana

Mozambique
125710
1257
367
J.S. Groupe Bazano

Denmark
1257118
1250
368
Inter Allies FC

Ghana
12579
1257
369
Yobe Desert Stars

Nigeria
12568
1256
370
Ocean Pacifique

Denmark
12565
1256
371
Forest Rangers

Zambia
1255355
1236
372
Amidaus Professionals FC

Ghana
12551
1255
373
CS Hammam-Lif

Tunisia
12551
1255
374
Aswan FC

Egypt
1255393
1233
375
Gaborone United

Botswana
12552
1255
376
Alamal Atbara

Sudan
125517
1256
377
Ittihad Zemouri de Khemisset

Morocco
12552
1255
378
CA Batna

Algeria
12551
1255
379
Teungueth FC

Senegal
12550
1255
380
El Mansura

Egypt
12540
1254
381
Crown FC

Nigeria
12542
1254
382
Nkoyi Bilombe

Denmark
12542
1254
383
RC Relizane

Algeria
1254172
1267
384
Sahel

Niger
12543
1254
385
EO Sidi Bouzid

Tunisia
1254301
1277
386
Likasi

Congo DR
12545
1254
387
Canon Buromeca

Congo DR
12534
1253
388
Scorpion FC de Bé

Cameroon
12535
1253
389
Nchanga Rangers

Zambia
1253175
1265
390
El Minya

Egypt
12532
1253
391
Merreikh Nyala

Sudan
12531
1253
392
USGN

Niger
12522
1252
393
Lys Sassandra

Ivory Coast
1252251
1241
394
Zimbabwe Saints

Zimbabwe
12520
1252
395
Young Africans

Tanzania
12520
1252
396
PA Sambizanga

Angola
1252135
1246
397
Cosmos de Bafia

Cameroon
12521
1252
398
Ghazl El Mehalla

Egypt
12516
1251
399
Ibanda Sport

Congo DR
12514
1251
400
AS Police

Mali
12515
1251
Kama kawaida yenu Majedwali fc.
 
POle
Asee kwa hali ilivyo hawa uto niwazi watachukua kombe la shirikisho africa mbele ya usm alger mwarab mbovu kuliko hata wale monastir, kwa niliyoyaona kwenye nusu final wakipata ushindi wa 2-0 dhidi ya asec mbovu kuliko hata ruvu shooting.

Niwazi hawa watani zetu wanabeba ubingwa ambao sisi itatuchukua miongo kadhaa kuupata ama tusiupate kabisa mpaka kiama.

Kongole kwa viongozi wa yanga hasa injinia hersi, huyu jamaa mpira upo damuni na nimpambanaji kwa timu yake, yaan huyu ndo mfano halisi wa mfia timu.

Mwisho kabisa nawaona uto wakishinda ndani nje hii final kwani wale waarab hawawezi kupiga pasi hata 5 bila kumpasia adui, huyu ni zalan mweupe kabisa.
Baba Yunge😂
 
Hivi kauli ya Mafisango lazima tuichukulie kwa tahadhari kubwa sana, hawa jamaa zetu Kolos walitumia nguvu kubwa sana kuiombea timu yetu kila lililo baya toka mashindano haya yanaanza.

Wamengamua kuwa Kila wakiombea baya ndiyo kwanza Yanga inafanikiwa zaidi na zaidi, hivyo kisaikolojia wamejionea kuwa kauli zao haziumbi wameamua kuja tofauti kusikilizia kimtindo.

Ni kama vile wameenda kwa mganga wakaambiwa ili Yanga wafanye vibaya basi wainenee mazuri.
 
Hivi kauli ya Mafisango lazima tuichukulie kwa tahadhari kubwa sana, hawa jamaa zetu Kolos walitumia nguvu kubwa sana kuiombea timu yetu kila lililo baya toka mashindano haya yanaanza, sasa wamengamua kuwa Kila wakiombea baya ndiyo kwanza Yanga inafanikiwa zaidi na zaidi, hivyo kisaikolojia wamejionea kuwa kauli zao haziumbi wameamua kuja tofauti kusikiliza kimtindo.

Ni kama vile wameenda kwa mganga wakaambiwa ili Yanga wafanye vibaya basi wainenee mazuri.
Hilo lipo wazi kabisa, mkibinuliwa na mwarabu nitafurahi zaidi ya nilivyofurahi ile siku kibu d alivyombinua mdaka mishale ya udongo,
ila kiuhalisia hii ni ndoto uto kufungwa na huyu mwarabu mbovu iwe nnyumbani ama ugenini.
 
Kwa hiyo Yanga ndo wana usajili wa nguvu sio?
Uwezo wa wachezaji waliopo Yanga unaweza kulingana na ule wa waliopo Simba? Simba ilikuwa ya kwanza (kabla ya Yanga)kutaka kumsajili Azizi Ki ikamkosa, ilikuwa hivyo hivyo na kwa Khalid Aucho. Hilo pekee linakuambia nini?
 
Uwezo wa wachezaji waliopo Yanga unaweza kulingana na ule wa waliopo Simba? Simba ilikuwa ya kwanza (kabla ya Yanga)kutaka kumsajili Azizi Ki ikamkosa, ilikuwa hivyo hivyo na kwa Khalid Aucho. Hilo pekee linakuambia nini?
Sio hao tu, tuseme target karibia yote katka usajili simba tulifeli, ukianza na manzok, aziz k, morlaye silla, adebayor pamoja na mudathir dirisha dogo, niseme viongozi wetu wanapenda porojo na misifa mitandaoni ila yule injinia mtopolo ni kiboko kwelikweli.

R.I.P Hanspope, tunakukumbuka hakika.
 
Back
Top Bottom