Japo sipendi hilo litokee, ukweli ni kwamba Yanga wanabeba Ubingwa Shirikisho Afrika

Mungu ajalie maneno yako yakawe heri hiyo Jumapili 28/05/2023 Yanga iwe Bingwa mpya wa CAFCCL.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
cj21125
Acha stori za sizitaki mbichi hizi, last czon tulipambana vyakutosha mbele ya pirates lakini tukafurushwa huku tukimlaumu mugalu kachomesha na tukijisifia eti tumekufa kiume mbele ya mapirates, nashangaa leo unavunga eti shirikisho si lolote?

Hapana, hata kama uto ni mpinzani wetu na hatumpendi ila mpira anaoupiga, jitihada za injinia hersi na uvumilivu wao kwa benchi la ufundi vinawalipa, roho inaniuma kuona uto ndo wanakuwa wa kwanza kuleta kombe la afrika hapa nchini, japo natamani waarabu wafanye chochote kuzuia hilo ila nikikumbuka walivyocheza nusu final na asec, sioni wakifanikiwa.
 
Kwa kweli mimi si Mtanzania. Wala sina timu. Umri umeenda sana
. Mimi ni Muarabu. Naomba tutumie maneno ya staha kwani culture ya Tanzania ni yenye heshima kubwa. Usiwatusi oponents wako. Mimi naomba Tanzania ichukue kombe hili.
Babu samahani sana.
 
Shikran Kaka Pembe. Nimepokea matusi yako kwa mikono miwili. Matusi hayawachi kovu wala hayaondoshi ukweli. Nakuombea kwa Mungu akupe afya na nguvu uzidi kutukana. Mwenyezimungu akuzidishie baraka na neema ya kipato. Mimi ni mefurahi mno kumsikia mzee Mchachu akizungumzia real football facts. Hawa ndio wanaofaa kuwaiga. Whatever the case it is Tanzanians are all one nation and should all fight for the CAF trophy. May The Almighty Creator provide power to players and grant them with the trophy.
 
Kwa hiyo Yanga ndo wana usajili wa nguvu sio?
 
Kama kawaida yenu Majedwali fc.
 
POle
Baba Yunge😂
 
Hivi kauli ya Mafisango lazima tuichukulie kwa tahadhari kubwa sana, hawa jamaa zetu Kolos walitumia nguvu kubwa sana kuiombea timu yetu kila lililo baya toka mashindano haya yanaanza.

Wamengamua kuwa Kila wakiombea baya ndiyo kwanza Yanga inafanikiwa zaidi na zaidi, hivyo kisaikolojia wamejionea kuwa kauli zao haziumbi wameamua kuja tofauti kusikilizia kimtindo.

Ni kama vile wameenda kwa mganga wakaambiwa ili Yanga wafanye vibaya basi wainenee mazuri.
 
Hilo lipo wazi kabisa, mkibinuliwa na mwarabu nitafurahi zaidi ya nilivyofurahi ile siku kibu d alivyombinua mdaka mishale ya udongo,
ila kiuhalisia hii ni ndoto uto kufungwa na huyu mwarabu mbovu iwe nnyumbani ama ugenini.
 
Kwa hiyo Yanga ndo wana usajili wa nguvu sio?
Uwezo wa wachezaji waliopo Yanga unaweza kulingana na ule wa waliopo Simba? Simba ilikuwa ya kwanza (kabla ya Yanga)kutaka kumsajili Azizi Ki ikamkosa, ilikuwa hivyo hivyo na kwa Khalid Aucho. Hilo pekee linakuambia nini?
 
Uwezo wa wachezaji waliopo Yanga unaweza kulingana na ule wa waliopo Simba? Simba ilikuwa ya kwanza (kabla ya Yanga)kutaka kumsajili Azizi Ki ikamkosa, ilikuwa hivyo hivyo na kwa Khalid Aucho. Hilo pekee linakuambia nini?
Sio hao tu, tuseme target karibia yote katka usajili simba tulifeli, ukianza na manzok, aziz k, morlaye silla, adebayor pamoja na mudathir dirisha dogo, niseme viongozi wetu wanapenda porojo na misifa mitandaoni ila yule injinia mtopolo ni kiboko kwelikweli.

R.I.P Hanspope, tunakukumbuka hakika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…