inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Tunachoona India Sasa dhidi ya uislam/waislam ni upendo toka kwa wahindu!?Hinduism has nothing to do with India..
Ni sawa na Useme Waislam wote wahuni na wanapenda Starehe si unaona Dubai ilivyo...
Thats unlogical arguments
Achana naye huyo..Kwa hiyo hakuna tukio la kafara?
Ahadi ya Mungu ni kuondoa dhambi duniani. Dhambi imesababisha uumbaji mzuri kuliko wote kuharibika.Kila mwaka Wayahudi Wana siku ya Mwisho na Siku ya Hukumu na siku Ya kusamehewa Dhambi kila mwisho wa mwaka na mwanzo wa Mwaka wao wanaziita sikukuu hizo..
Rosh Hashanah and Yom Kippur.
Ila hakuna siku maalum kwamba mwisho wa kila kitu..
Daniel Ipo na inasomwa vizuri ila haijaongea kuhsuu Mwisho wa hkumu kwa kila mmoja..
Kitabu cha Sefer Daniel au Daniel ni kitanu cha narative Na Apocaptical version..
Na kwa Judaism kipi kwenye Aina inayoitwa ketuviim..
Ni alot of Complication but Kwenye Vitu vingi Wasilam na wakristo hufanana ila sio wakristo na wayahdi
India kugombana na Waislam ni Matokeo yale niliyoyasema tangu Zamani ya Chuki za Kidini..Tunachoona India Sasa dhidi ya uislam/waislam ni upendo toka kwa wahindu!?
Swali zuri sana, kwanza nikupongeze kwa kukujuza tu siyo wewe wa kwanza kulisikia kwako bali nimelisikia kwenye tovuti za nje huko ambako watu wanalumbana kweli kwa kutaka kufahamu na siyo kama JF ambayo wengi wapo kwa kubishana "nani zaidi".Ok Then nijibu Kuhusu Aya nilizokuonyesha hapo Chini za Suratul Baqara aya ya 67 na aya ya 71 niliyokupa..
Ambayo imetaja maneno hayo lakini Wakiamrishwa kumfanyia Ngombe Jike ..
Swali langu ni jepesi tu Kwahyo Mungu alimuamuru Musa Awaambie wana wa Israeli wamtahiri Ngombe Jike???
Swali jepesi tu
Basi hizi mambo za Isaka na Ismail hazina ukweli katika hivi vitabu viwili.Hapana Wayahudi walikuwa wakifanya Hiyo kwa ajili ya Pesach/Pasaka... Na haihisiani na Ibrahimu
Wakiristo walitoka kwao ulaya magharibi kwenda kuanzisha Vita na waislam mashariki ya kati,kwa muktadha wa nani alikuwepo kabla ni wakiristo, uislam haukuwepo India,watu walisilimu, waislam wa India ni wahindi,waliachana na Imani ya kunywa mkojo wa ng'ombe kila siku asubuhi na kula kinyesi chake wakamchagua Allah,wahindu hawataki wenzao wawe waislamIndia kugombana na Waislam ni Matokeo yale niliyoyasema tangu Zamani ya Chuki za Kidini..
Waislam wanaamini kuwa Wana Mamlaka ya kuzuia watu wote Duniani kuabudi vingine isipokuwa Allah..
Na wanaaamini kwambwa wanaweza kutoa Adhabu kwa watu hao..
Hilo jambola vita kati yao halijaanza leo lilianza mara baada tu ya kuanza kwa dini ya Kiislmu..
Unajua Hinduism imeanza zamani kuliko.waislmu then why Hakukuwa na machafuko kabla??
Safi umejibu vizuri sana!Ahadi ya Mungu ni kuondoa dhambi duniani. Dhambi imesababisha uumbaji mzuri kuliko wote kuharibika.
Ndio Kuna day of atonement lakini siamini kama wanafanya inavyotakiwa. Kwanza Mungu aliapa kuwaondolea Makuhani na sadaka zao zote, pia ili hiyo sikukuu itimie lazima ihusiahe kuhani mkuu wa ukoo wa Aaron, mavazi maalum ya kikuhani, madhabahu iliyotengenezwa kumwa kufuata Sheria zote za kutengeneza madhabahu, moto ambao sio wa kigeni. Kumbuka moto ule haukuzimwa toka wanatoka Misri baada ya kuila pasaka. Kuna mtu alijaribu kutoa sadaka Kwa moto wa kigeni akauwawa na Mungu, je hao wanaosherekea sikukuu hiyo wanaweza kuvifuata hivyo vitu? Je wanatolea dhabihu za asubuhi, jioni na amani?
Kitabu Cha Daniel kilifungwa Kwa watu wa wakati ule. Toka Kristo mpaka Leo vitabu vimefunguliwa maana tunaishi Nyakati za masiha wa Bwana. Yu karibu mawinguni. Ndani ya miaka mia mbili Dunia imeendelea kuliko miaka zaidi ya 6000 inayojulikana. Kuna sababu kiwango Cha elimu kimeongezeka. Miaka ishirini iliyopita imeshuhudia mabadiliko mengi mno huku duniani. Sio bahati mbaya aisee.
Hakuna kwenye Qur'an. ni porojo za watafsiri tu.Kwa hiyo hakuna tukio la kafara?
Aisee Hivi Vitu Vipya Sana Elimu yangu ya Quran na Elimu ya Lugha ya Arabs sijawahi kukutana na hiki kitu nahisi Kila siku najifunza Shukrani sana..Swali zuri sana, kwanza nikupongeze kwa kukujuza tu siyo wewe wa kwanza kulisikia kwako bali nimelisikia kwenye tovuti za nje huko ambako watu wanalumbana kweli kwa kutaka kufahamu na siyo kama JF ambayo wengi wapo kwa kubishana "nani zaidi".
Kwa kuwa hilo swali lako ni zuri na limejibiwa siku nyingi sana, tena kwa kina, kupitia video clip.
Nakuwekea chini hapa link ya hiyo video clip ujipatie jibu lililofanyiwa tafiti kuhusu swali lako:
View: https://youtu.be/bwPSlOxhrzA?si=fm27UJymj0srVtt0
Natumai unafahamu Kingereza vizuri, kama kuna sehemu ya majibu kupitia video cliup hiyo hutayaelewa au ukitaka ufafanuzi zaidi kwa Kiswahili, nipo hapa.
Naona sasa unajidhihirisha kuwa huelewi ukisemacho.Locution nafahamu na hata Lexicon nazifahamu I was a Pastor one najua vizuri..
Hizo terms Angesema Mkristo ningemuelewa Zaidi..
Maana Mara nyingi Wao husema Mpaka Roho Mtakatifu akufunulie Andiko lilikuwa lina maana ipi..
But in quran hakuna Lexicon words kwenye Amri yoyote..
Hakuna dhehebu hapo, Qur'an haijashushwa kwa ajili ya dhehebu fulani au dini fulani, Qur'an ni kwa walimwengu wote.Aisee Hivi Vitu Vipya Sana Elimu yangu ya Quran na Elimu ya Lugha ya Arabs sijawahi kukutana na hiki kitu nahisi Kila siku najifunza Shukrani sana..
Ila nina maswali yanayokuja kichwani kwangu..
Nimesikiliza mpaka dakika ya 10..
Yo've Enlight me ngoja nichunguze zaidi japo hapa naendelea kuangalia Video Inazidi kunishangaza vingi
- Hili ni dhehebu Gani??
- Kama ndyo maana Yake, Vipi Kuhsu Hijja na al Adha nazo ni Batili
- Vipi kuhusu Kaaba (Maana inasemekana Ilijengwa na Ismaili na Ni kipindi ameenda kuchinjwa
- Vipi kuhusu Nguzo ya Hija (miongoni mwa nguzo za waislamu
I didnt say Najua kila.kitu na ndiyo maana najifunza kwako Dada angu..Naona sasq unajidhihirisha kuwa huelewi ukisemacho.
Kuwa pastor au padri au kasisi hakukufanyi kuwa unajuwa kila kitu bali kinyume chake, unakuwa ni mtu uliyejazwa ujinga unaowajaza wengine.
Usitake kuitafsiri Qur'an kwa "terminology" za Kibiblia na Kikristo, hautaelewa.
Unaelewa maana ya neno "tafsil"? Siyo tafsie, sijakosea hapo.
Soma kuhusu wahyi.
Quran ni kitabu cha kijanja janja tu. Mambo yake makubwa kuoa vibinti vidogo, ugaidi na mabikra 72, majini na kubagua binadamu wengine. Hamna kitabu hapoQur'an haijakopi kwa yeyote, kama una ushahidi wa kukopi uweke hapa, usijaze watu ujinga uliokujaa.
Andiko kuwa la zamani zaidi siyo uthibitisho kuwa ni la kweli . Qur'an ndiyo imekuja kubainisha ukweli (criterion).
Ila mabikra 72 hawapo kwenye Quran Sheikh ni hadithi na sio qurn..Quran ni kitabu cha kijanja janja tu. Mambo yake makubwa kuoa vibinti vidogo, ugaidi na mabikra 72, majini na kubagua binadamu wengine. Hamna kitabu hapo
Kwanini awachane nae?Achana naye huyo..
Kama hakuna Tukio la kafara then Dini ya Kiislam why Wanafanya Hija??
Kwahyo Nguzo ya Dini ya Kiislmu moja wapo Imekufa..
Na kingine Muulize kwanini Mtume alikuwa Anachinja na alikuwa anachinja nini..
Hadithi/Sunna za Mtume zinaelekeza wao.kuchinja kwanini?
Hayo yote uliyoyasema hayapo kwenye Qur'an, umejazwa ujinga na umekujaa.Quran ni kitabu cha kijanja janja tu. Mambo yake makubwa kuoa vibinti vidogo, ugaidi na mabikra 72, majini na kubagua binadamu wengine. Hamna kitabu hapo
Wanabodi,
Leo ni sikukuu ya Eid El Haji, Iddi ya Kuchinja.
Leo ni siku ya Sikukuu ya Idd El Haj, ni iddi ya kuchinja, asubuhi nilikuwa naangalia matangazo ya mubashara ya Baraza la Iddi kupitia TBC, kutoka Msikiti wa Mfalme Mohammed VI wa Morroco, Bwakwata, Kinondoni jijini Dar es Salaam, kumbe Msikiti Mkuu wa Bakwata, sasa umebadilishwa jina!, na kupewa jina la Mfalme wa Morroco!.
Mgeni rasmi kwenye Baraza la Iddi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, ambaye ameandamana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ambaye amesilimishwa na kupewa jina la Aboubakar Chalamila!, na mawaziri akiwemo Waziri Mhe. Mohamed Mchengerwa. Baadhi ya watu maarufu niliowaona ni pamoja na Alhaj Sheikh Ali Nguruko, Alhaj Chande, Idda Azan, Shaweji Abdalah, Salum Mwalimu, Juma Simba Gadafi, Salum Abladaha "TRY Again", Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Mruma, Kadhi wa Dar es Salaam, Shamin Khan, mwenyekiti wa JUAKITA, pia kulikuwa na mabalozi wa Balozi wa Moroko, na wa Comoro.
Katika salam zake, Sheikh Aboubakar Chalamila alisema utulivu wa jiji la Dar es Salaam, unawategemea sana viongozi wa Dini.
Salaam za Waislamu, zimetolewa na Alhaj Sheikh Nuru Mruma, Katibu Mkuu wa Bakwata ambaye amewasisitiza Waislamu kudumisha amani na kuilinda amani. Wazazi watakiwa kulea watoto wao kwa tabia njema, kujenga taifa la kizazi cha watu wema ambao hawatapokea rushwa wala kufanya ufisadi.
Amesema kupanda miti na utunzaji wa mazingira ni ibada muhimu kwa Waismamu wote.
Pia amewataka Waislamu kujitokeza kwa wingi, kujiandikisha kwenye uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura.
na wametakiwa kujitokeza kwa wingi kutumia haki yao ya kidemokrasia kugombea nafasi mbalimbali za uongozi.
Salaam za Mufti, zimetolewa na Kaimu Mufti Sheikh Ali Muhidin Mporogore, Mjumbe wa Baraza la Maulamaa wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania, Bwakwata. Aamezungumzia Watanzania tutafakari, sadaka ya kuchinja siku ya Iddi El Haj, ni iddi ya kuchinja. Zamani ilikuwa sio kuchinja tuu wanyama, bali walichinja hata binadamu ana akatolea mfano Sadaka ya Nabii Ibrahim kutaka kumtoa mwanae Ismail, kwa sadaka ya kuchinja.
Hakuna ubishi kuhusu Wakristo na Waislamu, kuwa ni watoto wa Baba mmoja, Nabii Ibrahim hivyo huu ni uthibitisho wa Mungu wa Wakristo na Waislamu ni Mungu Mmoja, na sheria za dini hizi zote mbili Wakristu na Waislamu, ni sheria moja ile ile ya Musa, ila kuna watu wanafundishwa ukweli na kuna watu wanadanganywa!.
Hakuna ubishi kuwa mtoto wa kwanza wa Ibrahim ni Ismail aliyezaa na mjakazi wa Kimisri, Hagir, na Isaka ni mtoto wa pili wa Ibrahim, aliyemzaa na mkewe Sarah.
Hakuna ubishi Ibrahim alitaka kumtoa mtoto wake Sadaka ya kuchinja.
Waislamu na Kitabu chao Kitukufu cha Quran Tukufu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Ismail.
Wakristo na Kitabu chao Kitakatifu cha Biblia Takatifu, kinamtaja mtoto huyo aliyetaka kutolewa sadaka ya kuchinja ni Isaka.
Jee ukweli halisi ni upi?.
Hii maana yake
Kama tukio la Ibrahim kutaka kumchinja mwanae kumtoa sadaka ni tukio moja, then
1. Hii maana yake ni kuna watu wanadanganywa, haiwezekani kwa Waislamu mtoto huyo awe ni Ismail na kwa Wakristu mtoto huyo awe ni Isaka, hii maana yake kuna kitabu hapo kinasema kweli na kuna kitabu kinasema uongo!, jee ukweli ni upi?.
Umuhimu wa kuujua ukweli huu, unakupa fursa ya kujua ukweli ni upi, hivyo ufuate mafundisho yapi ambayo ndio mafundisho ya kweli!.
Bandiko hili linakutaka kwanza uwe open minded, kama wewe ni mfia dini, unaamini dini yako ni ya ukweli mtupu, bandiko hili halikufai.
Pili unatakiwa uwe na ngozi ngumu ya kuukubali ukweli halisi hata uwe mchungu vipi!, ikitokea ni dini yako unayoiamini kuwa ni dini ya kweli, kumbe ni dini ya uongo, uwe na uwezo wa kustahimili maana...
Nawatakia Waislamu wote,
Iddi Mubarak njema ya kuchinja.
Paskal
Naelewa Vizuri ila Kama Nimekunote mwanzoni Ulizungumza kuwa Ismaili sio mtoto wa ibrahimu..Kwanini awachane nae?
Labda hujuwi kwanini Waislam wanakwenda Haj na hata maana ya neno Hija hulijuwi, Haj au Hija siyo kafara.