Japo wana udhaifu wao, wanawake ndio nguzo ya familia na dunia kwa jumla

Japo wana udhaifu wao, wanawake ndio nguzo ya familia na dunia kwa jumla

Tuliolelewa na wazee yaani baba, tukakua, wanawake tukawa tunapishana nao tu mtaani bila kuelewa wana umhimu gani hapa duniani, tukajaribu kudate tukapigwa matukio , bado tu hatuoni mchango wao kwenye maisha yetu, wao ni receivers tu but never donors.
Tangu lini watu hao wakawa nguzo tena
wewe alikuzaa nani? alikulea nani?
 
Unaweza kuziorodhesha dosari zao nyingi tu,lakini mwanamke ndio nguzo ya familia na dunia nzima.Ndio wanaleta furaha,wanapamba nyumba,wanazaa na kulea watoto,ndio nguzo ya kiuchumi ya familia.Tuwape maua yao
Wanawake ndio raha ya dunia mwanawane. Yaani mbususu zao zilivyo tamuuu acha kabisa.
Misambwanda ikivibrate huko mtaani unabaki kufurahi kuwa hai.
Women are our source of happiness
 
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake.......

Wanaume wanaoongelewa hapa ni wale wenye akili timamu na wanaojiua na kutimiza wajibu na majukumu yao pasi na kushurutishwa......

Wanawake wanaoongelewa hapa ni wale watiifu , wenye adabu , nidhamu na wanyenyekevu kwa waume zao...
 
Back
Top Bottom